Huyu naye ni wale wale. Si ninasikia ni mchaga huyu jamaa aisee?? Sasa ni kitu gani hiyo anafanya. Ulimbukeni tu, wabongo bwana utawajua tu hata akiishi mbinguni!!.
Sasa unatupa hela maana yake kwamba ukoo wake wote na familia yake yote wako vizuri kiasi kwamba hawahitaji tena hela. Nasema hivyo kwa sababu angeweza kwenda huko mgombani akawapa watu wanaomuhusu, nao wangemshukuru kwa dhati.
Anyway ndo hivyo.
nani kakuambia mie mwanaume?Yoyo acha kufuatilia mambo ya mwanamume mwenzako, yaani nimeiangalia thread yako hujatoa solution kama alichokifanya Thabeet ni tatizo. Angalia, akina Rose wasije wakakutafuta wakuvalishe Khanga
Unataka My 7 inches rooster???i'll hit your G-spot on every thrust.....Hivi wewe mbona unammaindi sana huyo dogo? Kutwa kucha una google habari zake. Hizo ni stalker tendencies Queen Yo Yo
Yo Yo at it again na thread zake za kimbeambea. Badala ya kutafuta pesa na nyie mnahangaika kuangalia jirani amekula nini anavaa nini..ha ha ha. Mwacheni dogo ale maisha, hamkumsaidia kupata hiyo hela na wala hana ubia na nyie kwene mikataba yake ya NBA, na wala hajawaomba ushauri.
hayo ni maisha yake binafsi!
ili mradi hakuzichana wala kuzichoma moto mie akha! inawezekana ilkua style yake ya kuwapa watu wake raha!
Tuache kumhukumu jamani!
nani kakuambia mie mwanaume?
Unataka My 7 inches rooster???i'll hit your G-spot on every thrust.....
Hivi wewe mbona unammaindi sana huyo dogo? Kutwa kucha una google habari zake. Hizo ni stalker tendencies Queen Yo Yo
Kila mtu ana style yake ya kula maisha. Sasa sielewi nyie kinawauma nini mazee.? Hamjamsaidia kuosha viatu vyake wala kufanya laundry sasa iweje leo mjifanye mna-care sana. Toeni upuuzi wenu huu.hayo maneno yote ya mikataba yametoka wapi? Wewe unafurahi nn? Kurusha hela ndo starehe? Hivi maendeleo tutayapata kweli kwa mawazo ya hayo,waache wakemee ujinga huu.umeshasikia watu wenye fedha za kutosha kama billgates anagawa ela kijinga badala ya kufanya vitu vya maendeleo.
YouTube - ‪YouTube Crazy girl on train with funny subtitles‬‏You are acting like a real groupie queen.
cant talk to you psycho.....u gotta zip your stink month...huyu yo yo kama ni demu basi atakuwa X kicheche wa hasheem!au kama mwanaume basi wapumulia visogo wanamuharibu!
....huyu dogo sijui washauri wake wakina nani....
nani kakuambia mie mwanaume?
jikate kislesi wewe.....hakuna mtu mwenye mpango na wewe bwabwa.....Nilipata taabu sana kukushauri hapa maana nilihisi unaweza ukawa Si ridhiki
https://www.jamiiforums.com/mambo-ya-kikubwa/108154-nahisi-sidindishi-shauri-ya-kazi-nyingi.html