Has Kikwete lost his "Legitimacy" to Lead?

Sioni ni kwavipi JK bado ana legitmacy ya kuisimamia ofisi ya urais.

Sioni kwa kweli.

Mbaya zaidi ni mwenendo huu wa JK ulioudhalilisha uraisi kiasi kwamba hata wapuuzi wanaamini wanweza kuwa maraisi, the likes of Nchimbi, watu wasio na records zozote za uongozi kama Membe (well mashabiki watazungumzia uwaziri wake; has he done anything different ya waliomtangulia?), Majambazi kama EL ili mradi tu!!!!! The leadership bar in Tz is at its lowest position ever!
 
Mbaya zaidi ni mwenendo huu wa JK ulioudhalilisha uraisi kiasi kwamba hata wapuuzi wanaamini wanweza kuwa maraisi, the likes of Nchimbi, watu wasio na records zozote za uongozi kama Membe (well mashabiki watazungumzia uwaziri wake; has he done anything different ya waliomtangulia?), Majambazi kama EL ili mradi tu!!!!! The leadership bar in Tz is at its lowest position ever!

Kuliwahi kuwa na cartoon ya gado
ikisema urais wa Tanzania kuwa 'the most incredible shrinking presidency' sijui kama uliwa kuiona
yaani ni aibu...
 
Mtazamaji,soma hii linki hapo chini utajuwa ninachomaanisha,kwasababu si amemsikiliza Mkapa kwenye uamuzi wa kuuwa issue ya magamba?

Sasa cheki ndo utajuwa unafiki wa watu,ina maana rushwa inapigwa vita nje ya chama na ndani ya chama rushwa is a none issue,yani viongozi wakuu wa chama na serikali ndo vinara wa rushwa wanayodai wanaipoga vita!Onl in Tz!

Africa Review*- WikiLeaks spotlights Tanzania on corruption

YEs unajua ndio maana wakati wa mkapa style alipoguisiwa issue za rushwa wote tunajua response zake . Aitumia "udikteta" kuzizima pale pale. Sasa tunaona mambo ya chama kushsika hatamu. Inawezekana Ben mkapa zile kashfa alizizima kwa sababu ya kichama na sio sababu ya utaifa kwanza. Then inabidi watanzania tujiulize Je UWT ipo kwa ajili ya nani? is it for CCM prosperity

JK knew asingeweza kutumia style ya mkapa. Otherwise angekuwa one term president maana watu tunazidi kuamka usingizini . JK wakati huo huo alijua hawezi kujitenga na marafiki wachafu. Ndio matokeo ya "sanaa" zake za kuuma na kupuliza

Tukiweka criteria moja ya ufisadi kwenye meza kulinganisha mkapa na JK nashindwa kujua who have tried to do bette btn r ben mkapa aliyegoma kabisa au JK anayefanya sanaa wakati anajua sana sana sana tutaishia hata kuwalipa fedha wale aliowafikisha mahakamani...........

Previusly niliona JK was better than mkapa on fighting corruption. Lakin baadaye i nlivyoona kama mwenyekiti wa chama na rais serikali yake imewshataki chenge na mramba mahakamni kwa makosa serious lakini chama chake kimewaruhusu kugombea ubunge nikajua ni movie zile zile kama za mkapa sema zinachezwa in flash back style. Mara unasikia Liyumba akiwa gerezani kampigiasimu JK..........

Sasa ninachoshangaa pamoja na resources zote na machinery zote na "institutions" zote alizonazo na anazotakiwa kuwa nazo Rais wa nchi bado inaonekana kama Lowasa ndio mbabe. Najuliza na najaribu kutafakari hivi JK ndo angekuwa on lowasa shoes na Lowasa ndo angekuwa on JK shoes katika current situation mambo yangekuwaje.

kwa kwei simfaglii sana JK lakini ateast nafurahi uchonganishi wake umeleta mchezo uwanjani atleast Lowasa leo anacheza winga number 7 (na sio kiungo number aliyotaka) . but zaidi nachukia kuona kumbe unaweza kuwa rais wa Tanzania lakini kuna mtanzania au watanzani wakawa wamekuweka mfukoni.


Cha kusikitisha zaidi ni kuwa

  • ndani ya ya maslahi ya chama ni ya muhimu zaidi ya maslahi Taifa .
  • Iinaoenekana hata wa philosphy ya UWT kuna wasi wasi kuwa kuparaganyika kwa CCM. ni jambo baya kwa taifa, but kuparaganyika kwa vyama vingine ni jambo jema kwa taifa.........
 
YEs unajua ndio maana wakati wa mkapa style alipoguisiwa issue za rushwa wote tunajua response zake . Aitumia "udikteta" kuzizima pale pale. Sasa tunaona mambo ya chama kushsika hatamu. Inawezekana Ben mkapa zile kashfa alizizima kwa sababu ya kichama na sio sababu ya utaifa kwanza. Then inabidi watanzania tujiulize Je UWT ipo kwa ajili ya nani? is it for CCM prosperity

JK knew asingeweza kutumia style ya mkapa. Otherwise angekuwa one term president maana watu tunazidi kuamka usingizini . JK wakati huo huo alijua hawezi kujitenga na marafiki wachafu. Ndio matokeo ya "sanaa" zake za kuuma na kupuliza

Tukiweka criteria moja ya ufisadi kwenye meza kulinganisha mkapa na JK nashindwa kujua who have tried to do bette btn r ben mkapa aliyegoma kabisa au JK anayefanya sanaa wakati anajua sana sana sana tutaishia hata kuwalipa fedha wale aliowafikisha mahakamani...........

Previusly niliona JK was better than mkapa on fighting corruption. Lakin baadaye i nlivyoona kama mwenyekiti wa chama na rais serikali yake imewshataki chenge na mramba mahakamni kwa makosa serious lakini chama chake kimewaruhusu kugombea ubunge nikajua ni movie zile zile kama za mkapa sema zinachezwa in flash back style. Mara unasikia Liyumba akiwa gerezani kampigiasimu JK..........

Sasa ninachoshangaa pamoja na resources zote na machinery zote na "institutions" zote alizonazo na anazotakiwa kuwa nazo Rais wa nchi bado inaonekana kama Lowasa ndio mbabe. Najuliza na najaribu kutafakari hivi JK ndo angekuwa on lowasa shoes na Lowasa ndo angekuwa on JK shoes katika current situation mambo yangekuwaje.

kwa kwei simfaglii sana JK lakini ateast nafurahi uchonganishi wake umeleta mchezo uwanjani atleast Lowasa leo anacheza winga number 7 (na sio kiungo number aliyotaka) . but zaidi nachukia kuona kumbe unaweza kuwa rais wa Tanzania lakini kuna mtanzania au watanzani wakawa wamekuweka mfukoni.


Cha kusikitisha zaidi ni kuwa
  • ndani ya ya maslahi ya chama ni ya muhimu zaidi ya maslahi Taifa .
  • Iinaoenekana hata wa philosphy ya UWT kuna wasi wasi kuwa kuparaganyika kwa CCM. ni jambo baya kwa taifa, but kuparaganyika kwa vyama vingine ni jambo jema kwa taifa.........
Mkuu Mtazamaji,nimekupata,hata hivyo umesahau jambo moja la msingi kabisa!Kuwa huyu mtu ndiye rais wa nchi...

Je huwezi kuona haya yote yamempotezea "Uhalali" wa kuwa rais wa nchi?

Ama pia uhalali wa kuendelea kuongoza taifa?
 
Mkuu Mtazamaji,nimekupata,hata hivyo umesahau jambo moja la msingi kabisa!Kuwa huyu mtu ndiye rais wa nchi...

Je huwezi kuona haya yote yamempotezea "Uhalali" wa kuwa rais wa nchi?

Ama pia uhalali wa kuendelea kuongoza taifa?
Kwa Tanzania yetu bado hayajampotezea JK uhalali wa kuwa rais ndio maana hata bado Lowasa, Chenge au RA hawajapoteza uhalali wa kuwa viongozi wa umma ngazi za juu mbeleni

Ingekuwa nchi nyingine Lowasa angeitwa polisi kutoa ufafanuzi. lakini hizi nchi zetu tunaambiwa eti ukishakuwa rais au Waziri mkuu basi u've nothing to worry.

Lakini kwa kweli sioni kwa nini statemnet za lowasa nje offficial government comunication system zimpotezee JK legitimacy ya leadership yake kwa sasa. Lowasa anaplay politics huku aki buy time na anajua weaknnes ya rafiki yake na system ya Tanzania. Na atapata sympathy next time atasema anashanga kwa nini mishara serikalinii imeanza kuchelewa.....So chukulia maneno ya Lowasa kama mwanasiasa anayejpaga upya.Angeyasema hayo bungeni labda. But kama nilvyosema tungekuwa na institutions huru na znazofanya kazi kwa manufaa ya Taifa then Polisi na vyombo vya usalama vinatakiwa kufanya the needful ili public ijue. yale anayosema lowasa yanamaanisha nini. But sababu na vyombo ya usalama vinazingatia chama Inaonekana ni issue ya kichama sio ya Taifa.
 
Mkuu Mtazamaji,nimekupata,hata hivyo umesahau jambo moja la msingi kabisa!Kuwa huyu mtu ndiye rais wa nchi...
Je huwezi kuona haya yote yamempotezea "Uhalali" wa kuwa rais wa nchi?
Ama pia uhalali wa kuendelea kuongoza taifa?

Unaposema JK amepoteza "legitimacy" ya kuongoza, unakubali kuwa alikuwa na hiyo "legitimacy"?
If so, when did he get the "legitimacy" ya kuongoza? I mean how legitimacy is obtained and/or lost?
 
Hakuna anaeweza kusema kuwa alichosema Lowassa ni 100 percent kweli
wote ni wanasiasa na wanazungumza kwa timing na mazingira fulani...
JK kutomjibu haina maana 'alikubali' kuwa Richmond ni yake
Ninavyomuelewa JK 'tactic zake za kisiasa' anaweza kukubali au kunyamaza
ili kupisha jambo fulani...

bado mapema mno kusema alichosema Lowassa ndio ukweli asilimia mia moja...

BOSS hapo ndio utajua kwamba Kikwete ni msanii. Ingekuwa Mwalimu kiao kisngekwisha mpaka mambo yaeleweke au mtu afukuzwe chamani, lakini Kikwete kwa kuwa anajijua ni mchafu na uchafu wake wote Lowassa anaujua ndio maana akatoka kauli ya kufukia mashimo haraka haraka eti wanajenga chama, kumbe anaogopa uchafu wake kwa kuanikwa hadharani na si ajabu kuwa chanzo kikubwa cha msanii kutakiwa ajiuzulu na hivyo kutomaliza awamu yake.

Kwa maoni yangu kama aliyoyasema Lowassa hayana ukweli Kikwete angechachamaa sana na kuita kauli ya Lowassa ni uongo/uzushi mtupu lakini kwa kukaa kimya basi inaelekea kuna ukweli mkubwa katika kauli ile na yeye kwa kulinda kitumbua chake kisiingie mchanga anajibaraguzabaraguza eti wanajenga chama

 
Mbaya zaidi ni mwenendo huu wa JK ulioudhalilisha uraisi kiasi kwamba hata wapuuzi wanaamini wanweza kuwa maraisi, the likes of Nchimbi, watu wasio na records zozote za uongozi kama Membe (well mashabiki watazungumzia uwaziri wake; has he done anything different ya waliomtangulia?), Majambazi kama EL ili mradi tu!!!!! The leadership bar in Tz is at its lowest position ever!

yaani, we acha tu!
 
EL alijiuzulu uwaziri mkuu kwasababu ya RICHMOND...

EL ameweka wazi kuwa alijiuzulu kumlinda JK na kwamba RICMHOND ni JK...

Kwasababu alishawahi kukanusha huko nyuma na kusema hamjui RICHMOND,ni wazi alituongopea, hoja kuu hapa ni kama JK anayo "Legitimacy ya kuliongoza taifa given mazingira yalivyo.

Kwasababu EL alijiuzulu kwa kosa ambalo si lakwake(kudhaniwa kuwa ni RICHMOND),je mwenye RICHMOND mwenyewe ni vipi?

Mods hii sijui kama wataiacha,ingekuwa busara wakafanya hivyo.

Wale wenye uelewa na idea ya constitutionalism and its applications, pia ningependa kusikia mawili matatu kutoka kwenu kuhusiana na hili.

Je ajiuzulu ama asubiri 2015?

Sisemi kwamba kujiuzulu kwa JK basi ndo ticket kwa Lowassa kuwa msafi,hiyo si pointi yangu.

Ila kama waziri mkuu alijiuzulu tukidhania yeye ndo RICHOMD,na sasa kumbe RICHMOND ni ya mwenyekiti wa CCM ambaye pia ni rais.

Binafsi ninaamini kabisa kama asipojibu mapigo hii ya EL,basi "Legitimacy" yake ya kutuongoza watanzania ni very questionable,kwanza hata kuapa kwenye katiba na sasa unawageuka wananchi mchana kweupe?

Bila kutafuna maneno hapa Mh Rais tuna haki ya kusema jiuzulu!

Lowassa alianza kueleweka na mwalimu tangia zamani, hakuna cha maana alichosema mkuu !

 
Unaposema JK amepoteza "legitimacy" ya kuongoza, unakubali kuwa alikuwa na hiyo "legitimacy"?
If so, when did he get the "legitimacy" ya kuongoza? I mean how legitimacy is obtained and/or lost?
Mkuu wangu fuatilia maana halisi ya legitimacy,nimeweka kipande cha definition hapo kwenye bandiko la kwanza.

Tafadhali jiridhishe mwenyewe pale legitimacy inapoanzia na pale inapoishia...Legitimacy ni za aina nyingi depending on the type of govt.

Ukitaka nitakuwekea hapa,however legitimacy inakwisha kwa namna nyingi tu,achilia mbali kuwadanganya wananchi na kuwalazimishia uongo kwenye issue ambayo ni dhahiri ni uhujumu wa uchumi na Taifa!

Au umesahau kuwa RICHMOND walishindwa kuzalisha umeme licha kutakiwa kulipwa $100,0000(sikumbuki kwa mwezi ama kwa siku)...Mbali na kutumia mabavu kuongoza ambayo ndiyo sababu kubwa ya viongozi wengi kupoteza legitimacy,pia...Legitimacy inaweza kwisha endapo viongozi/kiongozi ataamuwa kufanya kinyume na haya...

on the grounds that these leaders' acquisition and exercise of power has been in accordance with the society's generally accepted procedures and political or moral values.

 
Kwa Tanzania yetu bado hayajampotezea JK uhalali wa kuwa rais ndio maana hata bado Lowasa, Chenge au RA hawajapoteza uhalali wa kuwa viongozi wa umma ngazi za juu mbeleni

Ingekuwa nchi nyingine Lowasa angeitwa polisi kutoa ufafanuzi. lakini hizi nchi zetu tunaambiwa eti ukishakuwa rais au Waziri mkuu basi u've nothing to worry.

Lakini kwa kweli sioni kwa nini statemnet za lowasa nje offficial government comunication system zimpotezee JK legitimacy ya leadership yake kwa sasa. Lowasa anaplay politics huku aki buy time na anajua weaknnes ya rafiki yake na system ya Tanzania. Na atapata sympathy next time atasema anashanga kwa nini mishara serikalinii imeanza kuchelewa.....So chukulia maneno ya Lowasa kama mwanasiasa anayejpaga upya.Angeyasema hayo bungeni labda. But kama nilvyosema tungekuwa na institutions huru na znazofanya kazi kwa manufaa ya Taifa then Polisi na vyombo vya usalama vinatakiwa kufanya the needful ili public ijue. yale anayosema lowasa yanamaanisha nini. But sababu na vyombo ya usalama vinazingatia chama Inaonekana ni issue ya kichama sio ya Taifa.
Mkuu refer to the last post,ni lini tutawafanya wawe accountable for their actions and words kama we are going to be thinking this way?

Ndo kosa lile lile la kuchanganya issue za kitaifa na kuzipeleka huko kwenye NEC na ile seriousness ya issue mnaifanya ni porojo za kisiasa eti za kujitetea kwenye public?

Mkuu kuapa kwa kutumia katiba kuwa utalilinda Taifa na maadui wa ndani na nje,halafu eti useme vikao vya NEC ndo vinasafisha viongozi wasiwe accountable?

This way of thinking bana...Duh!
 
EL alijiuzulu uwaziri mkuu kwasababu ya RICHMOND...

EL ameweka wazi kuwa alijiuzulu kumlinda JK na kwamba RICMHOND ni JK...

Kwasababu alishawahi kukanusha huko nyuma na kusema hamjui RICHMOND,ni wazi alituongopea, hoja kuu hapa ni kama JK anayo "Legitimacy ya kuliongoza taifa given mazingira yalivyo.

Kwasababu EL alijiuzulu kwa kosa ambalo si lakwake(kudhaniwa kuwa ni RICHMOND),je mwenye RICHMOND mwenyewe ni vipi?

Mods hii sijui kama wataiacha,ingekuwa busara wakafanya hivyo.

Wale wenye uelewa na idea ya constitutionalism and its applications, pia ningependa kusikia mawili matatu kutoka kwenu kuhusiana na hili.

Je ajiuzulu ama asubiri 2015?

Sisemi kwamba kujiuzulu kwa JK basi ndo ticket kwa Lowassa kuwa msafi,hiyo si pointi yangu.

Ila kama waziri mkuu alijiuzulu tukidhania yeye ndo RICHOMD,na sasa kumbe RICHMOND ni ya mwenyekiti wa CCM ambaye pia ni rais.

Binafsi ninaamini kabisa kama asipojibu mapigo hii ya EL,basi "Legitimacy" yake ya kutuongoza watanzania ni very questionable,kwanza hata kuapa kwenye katiba na sasa unawageuka wananchi mchana kweupe?

Bila kutafuna maneno hapa Mh Rais tuna haki ya kusema jiuzulu!

Kikwete hawezi lazimishwa legally or otherwise kujiuzulu urais kwa sababu Mh Lowassa hajaweka wazi ushiriki wa kikwete katika Richmond na kama alivunja sheria za nchi katika hilo, (inawezekana alikua anapiga simu tu kwa makatibu, na kwa lowassa mwenyewe ipitishwe bila ya yeye kwenda a step further) itabidi lowassa aelezee zaidi umma kwenye bunge na tume Huru iundwe kumchunguza JK kama inawezekana kikatiba hii mbovu au njia nyingine ni bunge 3/4 kumpigia kura ya kutokua na imani nae yaani impeachment ambayo ni ngumu sana katika mazingira haya kwa sababu Lowassa alijua uozo kwa nini aliingiza ofisi yake katika mchakato wa Tender pale TANESCO kinyume na taratibu zilizopo, (hii inamfanya Lowassa kuwa mshiriki mkuu hata kama alikua anatumiwa na Kikwete na serikali ilishawajibika na baraza kuvunjwa tayari hamna kuwajibika kwingine tena...

JK anaweza kuonekana **** ila ni mjanja nimegundua
 
Kikwete hawezi lazimishwa legally or otherwise kujiuzulu urais kwa sababu Mh Lowassa hajaweka wazi ushiriki wa kikwete katika Richmond na kama alivunja sheria za nchi katika hilo, (inawezekana alikua anapiga simu tu kwa makatibu, na kwa lowassa mwenyewe ipitishwe bila ya yeye kwenda a step further) itabidi lowassa aelezee zaidi umma kwenye bunge na tume Huru iundwe kumchunguza JK kama inawezekana kikatiba hii mbovu au njia nyingine ni bunge 3/4 kumpigia kura ya kutokua na imani nae yaani impeachment ambayo ni ngumu sana katika mazingira haya kwa sababu Lowassa alijua uozo kwa nini aliingiza ofisi yake katika mchakato wa Tender pale TANESCO kinyume na taratibu zilizopo, (hii inamfanya Lowassa kuwa mshiriki mkuu hata kama alikua anatumiwa na Kikwete na serikali ilishawajibika na baraza kuvunjwa tayari hamna kuwajibika kwingine tena...

JK anaweza kuonekana **** ila ni mjanja nimegundua
Lowassa ameweka wazi kuwa kila alichofanya kuhusu RICHMOND,basi alipokea amri kutoka kwa JK, yeye mtendaji,orders JK,ama wewe umeisomaje?

Mambo JK aliyoyayafanya yamemuondolea uhalali hata wa kikatiba wa kuongoza nchi.

Mkuu,EL alimwambia mwenyekiti kuwa "Nilikupigia simu" sijui akiwa nje ya nchi or something...

Na ni pale ambapo kamati ya buge ilishabaini kuwa RICHMOND haiwezi kufua umeme,na pia bado wanatakiwa walipwe millions of dollars,fo their failure to produce?

Ama ni kwasbabu ni kampuni ya nani?Unadhani wao ni wajinga?

Ingekuwa kampuni ya kweli,basi yenyewe ndo ingekuwa responsible,lakini kwasababu ni flani muhujumu,basi inapeta na ni just ajali za kisiasa?

Issue hii ililicost taifa na bado inaendelea kufanYa hivyo.

Tatizo aliwadanganya wananchi kwamba he knows nothing about RICHMOND.

Wananchi wanakosa imani na uwezo wa rais wa kutoa maamuzi pamoja na uwezo wa kulilinda taifa.

Toka lini kuhujumu uchumi si kosa lakuvunja katiba ya nchi?
 
Lowassa ameweka wazi kuwa kila alichofanya kuhusu RICHMOND,basi alipokea amri kutoka kwa JK, yeye mtendaji,orders JK,ama wewe umeisomaje?

Mambo JK aliyoyayafanya yamemuondolea uhalali hata wa kikatiba wa kuongoza nchi.

Mkuu,EL alimwambia mwenyekiti kuwa "Nilikupigia simu" sijui akiwa nje ya nchi or something...

Na ni pale ambapo kamati ya buge ilishabaini kuwa RICHMOND haiwezi kufua umeme,na pia bado wanatakiwa walipwe millions of dollars,fo their failure to produce?

Ama ni kwasbabu ni kampuni ya nani?Unadhani wao ni wajinga?

Ingekuwa kampuni ya kweli,basi yenyewe ndo ingekuwa responsible,lakini kwasababu ni flani muhujumu,basi inapeta na ni just ajali za kisiasa?

Issue hii ililicost taifa na bado inaendelea kufanYa hivyo.

Tatizo aliwadanganya wananchi kwamba he knows nothing about RICHMOND.

Wananchi wanakosa imani na uwezo wa rais wa kutoa maamuzi pamoja na uwezo wa kulilinda taifa.

Toka lini kuhujumu uchumi si kosa lakuvunja katiba ya nchi?

lying under the oath is an impeachable offence...but still lazima tujue ukweli na uhusikaji wa JK katika Richmond...Lowassa inabidi aongee zaidi na kuweka mazingira ya kumhusisha Jk kisheria na kiumiliki( kwa sababu alidanganya hajui wamiliki)
 
lying under the oath is an impeachable offence...but still lazima tujue ukweli na uhusikaji wa JK katika Richmond...Lowassa inabidi aongee zaidi na kuweka mazingira ya kumhusisha Jk kisheria na kiumiliki( kwa sababu alidanganya hajui wamiliki)
Nashukuru mkuu,nilikuwa nawasubiri wachangiaji wenye kuweza kutoa maoni kama haya na kutupa more insight,karibu great thinker,tuko pamoja.
Uzuri ni kwamba wako on record...

Unajwa hapo awali waliloose credibility,sasa this is too much!
 
Nchi ya kizungumkuti hii...Mahojiano haya ni ya yule aliye iclaim Dowans.

4. Kwani wewe ndio mmiliki wa Dowans? Au jina lako tu ndio linafanana na jina la ile kampuni, ndugu Brigedia?

Jina langu kamili ni Sule Mudi Al Nawadai Dowans. Dowans ni jina la ukoo wa Sultani ambapo mimi natokea pia.
Dowans ni jina la Kisultani.

Lakini nimedokezwa kuwa kuna viongozi wawili-watatu wa Tanzania ambao wamepachikwa jina Dowans. Kuna "Azizi Dowans" na "Jay Kay Dowans". Hawa watu siwafahamu na sijui wamelipataje hilo jina la Kisultani.

Kwa hiyo, ningependa Watanzania walitambue hilo: Mimi ndio Dowans! Hilo jina halina wingi wala umoja… I mean, it's not like Azizi is a Dowan; or Jay Kay is a Dowan. And the three of us together make up Dowans.

Ni mambo ya ngeli tu ndugu mhariri… tehe-tehe-tehe!

5. Nadhani Watanzania wangependa kujua kama wewe ndio mmiliki pekee wa Dowans. Kwanini umejitokeza sasa hivi? Siku zote hizo wakati tunahoji wewe ulikuwa wapi?

Ebo! N'shakwambia mi' ndio Dowans! Ukiendelea na huu upuuzi n'taanzisha varangati hapa halafu nchi nzima ikose umeme.

Kawaambie Watanzania kuwa nitatembelea mitambo ya kuzalisha umeme pale Ubungo, halafu nakipa. Nikiona upuuzi wowote ule kwenye tovuti yako mi' nazima mitambo yote. Hadi ambayo siyo ya Dowans!

Kwa unyonge nikachukua makabrasha yangu na kurudi ofisini.

Tunamshukuru Brigedia kwa kutupa nafasi hii kutumika kama chombo cha kuwafumba macho Watanzania.
Habari yote hapa...
Five Questions with Sule Mudi… aka Dowans

Na pia habari hii kutoka kwa "muuza samaki"

Muuza Samaki said:
Ndugu zangu, miezi michache iliyopita, ndugu yangu ambaye ni mbunge alinipa taarifa kuwa kuna baadhi ya wabunge waliokuwa wameongwa pesa nyingi kuitetea Dowans na kusaidia kufanikisha uuzwaji wake. Aliniambia Mkurugenzi wa fedha wa Dowans Tanzania Ltd Ndg Stanley Munai alikuwa akisafiri kwenda Dodoma na sanduku lililojaa pesa na kuwagawia wahusika mbalimbali.

Aliniambia pia kuwa huyu jamaa alikuwa kati ya watu wa kwanza kufanikisha uanzishwaji wa kampuni ya Richmond Tanzania lakini wakati huo hakuna aliyemtaja.

Richmond ilipowauzia mkataba Dowans, na yeye pia akaenda Dowans kama Mkurugenzi wa fedha na jana nilikuwa Tanesco nikasikia eti yeye ndiye Mkurugenzi mtendaji wa Symbion Power Ltd.

Huyu jamaa nasikia anatokea Kenya ana biashara nyingi hapa nchini zikiwemo za madini ya Tanzanite. Pia amekuwa middleman wa makampuni ya Kenya amabayo yanakuja kuwekeza hapa nchini.

Swali langu na msingi ni kwamba kwanini watu kama hawa hawajakamatwa na sheria ikachukua mkondo wake? Je, kama baadhi wa watuhumiwa wa Richmond kama Naeem Gire wamefikishwa mahakamani, kwanini yeye hajafikishwa mahakamani?

Je, ni kwanini ameshiriki kwa karibu katika makampuni yote matatu? Mwenye taarifa zaidi atupashe.
Watuhumiwa wa RICHMOND walifikishwa mahakamani?
 
Ninachoendelea kukifanya hapa,ni kuweka wazi ni kwa jinsi gani serikali hii imepoteza uhalali kabisa wa kutawala chini ya sheria na katiba ya Taifa letu,wakati tunataka katiba mpya,tunataka pia uwajibikaji...

dotto said:
Ndg. Wana JF tumekuwa tukishuhudia jinsi sakata hili la kuhalalisha ununuzi wa mitambo hii ambayo ilipelekea Ndg. Lowasa na wengineo kujiuzuru madaraka waliyokuwa nayo.

Kumekuwa na juhudi za nguvu na za makusudi kuuza mitambo hiyo kwa kampuni ya Tanesco ingawaje Bunge lililomaliza muda wake 2010 lilipinga.

Tumeshuhudia pia kunapokuwa na tatizo la umeme wenye kampuni hiyo wamekuwa wakihaha mpaka kutaka taratibu za manunuzi ya vitu chakavu ibadirishwe.

Kitendo cha Richmond kuhamisha umiliki wake kwenda Dowans Mitambo ambayo ilikuwa na Utata hakina tofauti na Money Laundering:

Defn:"
Money laundering is the practice of disguising the origins of illegally-obtained money. Ultimately, it is the process by which the proceeds of crime are made to appear legitimate. The money involved can be generated by any number of criminal acts, including drug dealing, corruption, accounting and other types of fraud, and tax evasion.The methods by which money may be laundered are varied and can range in sophistication from simple to complex.

Kitendo cha Hillal Clinton Kuja Tanzania na Kutembelea Mitambo Hii kana kwamba hajui Sakata hili linamaaisha Nini kwa siasa za Tanzania hapo baadae?

Nanukuu na soma hapa
"According to a 2009 U.S. Department of State (DoS) International Narcotics Control Strategy report, Tanzania is characterized by weak anti-money laundering (AML) and combating the financing of terrorism (CFT) regulatory and supervisory framework, in particular with regards to financial institutions and law enforcement capabilities".

Wana JF: Kitendo cha mama huyu kutembelea mitambo hii ambayo kwa waliokuwa na mamlaka nayo kimedhalilisha bunge letu ambalo tangu mwanzo limekuwa mwiba mkali kwa umiliki wake na jinsi ilivyogharimu pesa ya walipa kodi wa Tanzania. Napendekeza Wabunge wetu wahoji nini kimepelekea dharau hii na hawa wamiliki wapya ni lazima tununue umeme kwao? Kitendo hiki ni njia mojawapo ya kuhararisha Money Laundering katika nchi yetu.Nawasilisha kwa maoni zaidi.
 
Hivi kuna mtu anayeweza kutizama mtiririko wote RICHMOND-DOWANS-SYMBION, na akaweza kuniambia hiki ni kitu gani?

Hivi ni kweli akili za mtanzania hazifanyi kazi kwa kiasi kikubwa namna hii?

Ama movie za kihindi zishawaharibu?

Kuna mtu anaweza kuniambia huu ni mkorogo gani?
 
Back
Top Bottom