Nyambala
JF-Expert Member
- Oct 10, 2007
- 4,465
- 1,170
Sioni ni kwavipi JK bado ana legitmacy ya kuisimamia ofisi ya urais.
Sioni kwa kweli.
Mbaya zaidi ni mwenendo huu wa JK ulioudhalilisha uraisi kiasi kwamba hata wapuuzi wanaamini wanweza kuwa maraisi, the likes of Nchimbi, watu wasio na records zozote za uongozi kama Membe (well mashabiki watazungumzia uwaziri wake; has he done anything different ya waliomtangulia?), Majambazi kama EL ili mradi tu!!!!! The leadership bar in Tz is at its lowest position ever!