Manumbu
JF-Expert Member
- Oct 28, 2009
- 1,746
- 1,282
swali/hoja ni has JK lost his legitimacy to kead Tanzania? kuna mchangiaji ambaye ameuliza legitimacy na inapatikane/inapoteaje. nadhani tunapaswa kuanzia hapo.
nijuavyo mimi JK had legitimacy to lead this country kwenye awamu yake ya kwanza. baada ya watz kutoridhika na utendaji wake, hawakumchagua kuwaongoza kwenye uchaguzi wa mwaka jana. badala ya kukubaliana na maamuzi ya watz, tume na watendaji wa chinichini walichakachua matokeo na kumpachika ushindi. from thereon, JK has no legitimacy ya kuongoza nchi ya watu wasiomtaka. kwa hiyo haya mengine yote yatokeayo, hayawezi tena kumwongezea/kumpunguzia legitimacy, ambayo in the first place HANAYO!
nijuavyo mimi JK had legitimacy to lead this country kwenye awamu yake ya kwanza. baada ya watz kutoridhika na utendaji wake, hawakumchagua kuwaongoza kwenye uchaguzi wa mwaka jana. badala ya kukubaliana na maamuzi ya watz, tume na watendaji wa chinichini walichakachua matokeo na kumpachika ushindi. from thereon, JK has no legitimacy ya kuongoza nchi ya watu wasiomtaka. kwa hiyo haya mengine yote yatokeayo, hayawezi tena kumwongezea/kumpunguzia legitimacy, ambayo in the first place HANAYO!