Kumbe alikuwa bado hajaoa? Ndiyo maana alikuwa anamwanga pumba kwa kwenda mbele!!!
Nape mbona ni mume wa mtu?au atafunga ndoa bomani?au muislamu?
Wana JF,
Kwa taaarifa sahiii kutoka kwenye chanzo chetu kutoka huko Arusha kuwa Nape Nnauye Katibu Muenezi CCM kupata jiko lake week ijayo,
Habari zinasema kuwa leo katika Mji wa Arusha katika viwanja vya General Tyre kunafanyika Send off(Party) na Bibi harusi mtarajiwa kwa jina ni Mary Massenge Sherehe hii iatanyika kuanzia jioni saaa Moja leo.
Na baaada ya Send off Week Ijayo Ndio Harusi itafanyika Dar.
Wadau hizo ndizo habari zilizo tufikia to Arusha.
Siku Njema na SEND OFF NJEMA kwa wakazi wa Arusha
Ukitoa ''a'' katika hilo jina la yf unatafuta balaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa.
Vipi umekeleka sana kusikia Nape anaoa nini teh teh teh teh
Ongera sana PAKA NAPE kwa kupata kilaza mwenzio
Sasa hapo kinakuchekesha nini?jamani mbavu dhanguu!
Kwani huyu nape kule kwa brigedia hemed hakuwa ameoa????
jamani mbavu dhanguu!
Na wale wengine wanaoapproach 40 lakini bado hawajaoahongera umempiku yule dr aliyeiba mke wa mtu