BPM
JF-Expert Member
- Mar 10, 2011
- 2,760
- 573
Hapo alikuwa bestman ila huyu dada naona anamumezea mate
huyo dada ni mkewe na nape
Hapo alikuwa bestman ila huyu dada naona anamumezea mate
kumbe huyu bwana mdogo alikuwa bado kapera[/QU kumbe,! "ndo maana alikuwa vile"
nape alishaoa ..kisha akaanza kumnyanyasa mke wake sana tu..na hii ilitokana na tabiayake ya uhuni ....baadae akafikia hatua akamtelekeza ke na mtoto wao...mpaka sasa najua nape anatoka na yule mbunge wa singida viti maalimu amabaye anajifanya kaokoka.....
nape alishaoa ..kisha akaanza kumnyanyasa mke wake sana tu..na hii ilitokana na tabiayake ya uhuni ....baadae akafikia hatua akamtelekeza ke na mtoto wao...mpaka sasa najua nape anatoka na yule mbunge wa singida viti maalimu amabaye anajifanya kaokoka.....
Wana JF,
Kwa taaarifa sahiii kutoka kwenye chanzo chetu kutoka huko Arusha kuwa Nape Nnauye Katibu Muenezi CCM kupata jiko lake week ijayo,
Habari zinasema kuwa leo katika Mji wa Arusha katika viwanja vya General Tyre kunafanyika Send off(Party) na Bibi harusi mtarajiwa kwa jina ni Mary Massenge Sherehe hii iatanyika kuanzia jioni saaa Moja leo.
Na baaada ya Send off Week Ijayo Ndio Harusi itafanyika Dar.
Wadau hizo ndizo habari zilizo tufikia to Arusha.
Siku Njema na SEND OFF NJEMA kwa wakazi wa Arusha
kati ya wanawake waliosoma nyakati na kusoma dira n huyu Mkewe mtarajiwa blv me mwaka ujao !!!!
Duuh Huyo anae muoa nape kawin kale kawowo kake Jaman daaah, Ningekuwa na uwezo wa kumpumulia ningefurah
Ukiona wanachelewa sana kajirengeshe wakuoe wewe
anapasha kiporombona mi najua ana mke?? au anaoa mke wa pili??
Huyu dada na yeye ana kazi ngumu maana kidume kiongo sana na mbaya zaidi dada ni CDM damu sijui patakuwaje! Nape utulie mdogo wetu maana kumbe ulikuwa huna majukumu.