Harusi ya Nape week ijayo Dar es salaam

Harusi ya Nape week ijayo Dar es salaam

Hapo nape anakuwa amakuwa mtu mzima aache mambo ya kujichubua

images
 
Jamani hii habari sio ya kweli! Jana kulikuwa na send off kweli ya maria nikiza massenge lakini bwana harusi mtarajiwa ni bwana paul makonda! Muwe mnafanya utafiti kabla hamjaandika habari za kizushi mtandaoni!
 
Jamani hii habari sio ya kweli! Jana kulikuwa na send off kweli ya maria nikiza massenge lakini bwana harusi mtarajiwa ni bwana paul makonda! Muwe mnafanya utafiti kabla hamjaandika habari za kizushi mtandaoni!

je hiyo picha hapo ni ya nani???
 
Jamani hii habari sio ya kweli! Jana kulikuwa na send off kweli ya maria nikiza massenge lakini bwana harusi mtarajiwa ni bwana paul makonda! Muwe mnafanya utafiti kabla hamjaandika habari za kizushi mtandaoni!

Ndio huyu Paul MAKONDA?

attachment.php
 
Jamani hii habari sio ya kweli! Jana kulikuwa na send off kweli ya maria nikiza massenge lakini bwana harusi mtarajiwa ni bwana paul makonda! Muwe mnafanya utafiti kabla hamjaandika habari za kizushi mtandaoni!

Una maana Nape alikuwa bestman? kwani paul makondo alimchangua nape kama bestman? wana uhusiono wowote wa kimaisha?
 
[WEWE JETHRO NI MUONGO, UNAANDIKA HABARI USIZOKUWA NA UHAKIKA NAZO! MARIA ALOFANYIWA SEND OFF JANA NI NDUGU YANGU NA MUMEWE MTARAJIWA SIO HUYO NAPE! USIANDIKE HABARI ZA KUBUNI]Wana JF,

Kwa taaarifa sahiii kutoka kwenye chanzo chetu kutoka huko Arusha kuwa Nape Nnauye Katibu Muenezi CCM kupata jiko lake week ijayo,

Habari zinasema kuwa leo katika Mji wa Arusha katika viwanja vya General Tyre kunafanyika Send off(Party) na Bibi harusi mtarajiwa kwa jina ni Mary Massenge Sherehe hii iatanyika kuanzia jioni saaa Moja leo.

Na baaada ya Send off Week Ijayo Ndio Harusi itafanyika Dar.

Wadau hizo ndizo habari zilizo tufikia to Arusha.

Siku Njema na SEND OFF NJEMA kwa wakazi wa Arusha
[/QUOTE]
 
Una maana Nape alikuwa bestman? kwani paul makondo alimchangua nape kama bestman? wana uhusiono wowote wa kimaisha?[Wewe Kings of Kings ulikuwepo kwenye viwanja vya general tyre kwenye hiyo sherehe? Ulimwona huyo Nape? Best man wa Paul Makonda alikuwa Godwin Gondwe]
 
Wana JF,

Kwa taaarifa sahiii kutoka kwenye chanzo chetu kutoka huko Arusha kuwa Nape Nnauye Katibu Muenezi CCM kupata jiko lake week ijayo,

Habari zinasema kuwa leo katika Mji wa Arusha katika viwanja vya General Tyre kunafanyika Send off(Party) na Bibi harusi mtarajiwa kwa jina ni Mary Massenge Sherehe hii iatanyika kuanzia jioni saaa Moja leo.

Na baaada ya Send off Week Ijayo Ndio Harusi itafanyika Dar.

Wadau hizo ndizo habari zilizo tufikia to Arusha.

Siku Njema na SEND OFF NJEMA kwa wakazi wa Arusha

Angalia vizuri chanzo cha taarifa hii, Nape ameoa kwa familia moja iliyoko Changanyikeni Dar.Inakuwaje aoe tena? Yeye ni mkristo.
 
Back
Top Bottom