Harusi ya Mengi na K-Lyn

Harusi ya Mengi na K-Lyn

kwa mwendo huu vijana tutatafta watoto wa prmary

heheehe siku hizi hivo ndo vimezibuka kama choo... juzi juzi nilikuwa bata pande flani hivi
..vitoto vya 99 vimejazana kila nyimbo vinacheza huku vimelala chini kama wazaramo basii nikaviangaliaaa
 
hahahhahahhahahhahah...vijana wanalia sana hapa,mzee kama madrid vile fainal ya UCL kafunga goli dakika za mwisho saafi kabisa anaondoka na ushindi mnene....
 
hlf hao utawapata kama unakibanda cha kuazima CD au unaweka nyimbo kwenye simu...vinapendaga sijui kwaninii...???

dah itabidi nianze kuvitega uko ila hizo mvua zake gerezan... kuanzia miaka 30 sijui itakuaje!!!! bora kukimbizana na kina mengi mpaka kieleweke
 
Tunaita "Ya Moto Band- aka Mkubwa na mwanae.

Hongera maharusi.
 
Mengi kawa na mwonekano wa kijana kabisa,kweli pesa ni nyooko.
 
Lakini mbona kwenye hii harusi mdogo wake Benjamin Mengi simwoni?? Au yeye alisusia, maana yule mzee nae ana misimamo yake na huwa hapindishwi na kaka yake
 
Kutoka uzee wa kanisa hadi hapo yataka moyo. Hongera Reginald.
Mamndenyi bana, kwani uzee wa kanisa unaondoa ubinadamu wa mtu, au ukiwa mzee wa kanisa hutakiwi kupenda?Mtaani kwangu mzee mmoja wa kanisa ana michepuko kadhaa. Labda ungekuja na gia ya kifamilia ningekuelewa angalau kidogo
Pamoja na yote maharusi wamependeza sana na waliobuni msemo wa uzee mwisho chalinze hawakukosea hata kidogo.
 
Last edited by a moderator:
Maisha siyo kutesa kila siku, japo pesa ndiyo kila kitu.
 
Sasa mlitaka aendekeze michepuko? Si bora akamate Haki miliki kabisa? Michepukowala au Kulia wengi bila soni. Angalau hapo wasaidizi watamwibia kwa kujificha wakiogopa kutinduliwa wakinaswa na paparazzi
 
Lakini mbona kwenye hii harusi mdogo wake Benjamin Mengi simwoni?? Au yeye alisusia, maana yule mzee nae ana misimamo yake na huwa hapindishwi na kaka yake

Huyo hapo
 

Attachments

  • 1428150673031.jpg
    1428150673031.jpg
    90.7 KB · Views: 574
Back
Top Bottom