Harusi ya Mengi na K-Lyn

Harusi ya Mengi na K-Lyn

Hapendwi mtu bali pesa iliua dada yangu kwa Ukimwi; baada kuachana mmewe wa kwanza na kuolewa na tajiri !
 
Ndg.Mengi siyo mwanafunzi wa mwl. Mwakasege wa huduma ya Mana, na akiwa pia mzee wa kanisa la kilutheri ....... ?
 
Sawa ngoja tu nikubali yaishe,
Huyu kaka hata hivyo naona ana kiu ya watoto,
Acha tu aoe, maisha ni hayo hayo tu.

Mamndenyi bana, kwani uzee wa kanisa unaondoa ubinadamu wa mtu, au ukiwa mzee wa kanisa hutakiwi kupenda?Mtaani kwangu mzee mmoja wa kanisa ana michepuko kadhaa. Labda ungekuja na gia ya kifamilia ningekuelewa angalau kidogo
Pamoja na yote maharusi wamependeza sana na waliobuni msemo wa uzee mwisho chalinze hawakukosea hata kidogo.
 
Fedha heshima shikamoo kelele.

Muacheni aolewe tu, alikuwepo siku zote vijana hawakumuona leo babu kajichukulia chombo mnalia, mwacheni babu aongeze siku za kuishi, nyie endeleeni kuwaoa wanaume wenzenu.
 
Back
Top Bottom