Watu wanaona anavyoact kama mtoto anabebwa mgongoni wanafikiri ni mdogo
Usije UKAWA niwwSorry wakuu mwenye clip hiyo plz aiweke hapa!
sawazisha kawaida coz hata wife wake mstaarabu sana kwanini hakumshauri bwana wake mwanamke mzuri kinoma but kwa hilo alizubaaUkristo ni kunyoa kipara?
hizo ni fikra zako wewe kilaza hivi hujui mambo mengine yanatengenezwa tu ili kuhamishana kikazi basi kilaza wewe unajua kwelii ukiulizwa uliwaona live utatoa jibu???! au ndio wale nyumbu fata upepo tu amka weweIsee wewe ni mjinga sana, wanaochafuwa ukristo ni wale maparoko wanaobaka na kuvilawiti vivulana.
shangilia sana ndugu yangu wote tunaujua usasa huo but nyumba ya ibada iheshimiwe kidogokidogo huzaa kikubwa okMahusiano ya yeye kuoa na kuwa na kiduku.
Kinamletea madhara gani kiduku, styke ya kunyoa hauna mahusiano na kuulithi uzima wa milele kwa sababu ni masuala ya utamaduni na fashion na si masuala ya Mungu.
Mungu hajawahi kuwa na mahusiano na mwonekano huangalia yaliyondanj yetu.
Tumwombee adumu vyema katika ndoa.
Kazi yake ya usanii inataka awe hivyo kama identity yake hawezi katazwa kusali kwasababu tu anakiduku labda kama kinamadhara yoyote kiimani
Hawezi kuacha milupo huyu.Vimada sasa kwaheri
Huyo ni msanii, ni comedian, n.ksawazisha kawaida coz hata wife wake mstaarabu sana kwanini hakumshauri bwana wake mwanamke mzuri kinoma but kwa hilo alizubaa
kwa iyo sasa hivi atakua anavaa nguo za huyu mke wake
Tena bila usumbufu mkuu.ha ha ha nimecheka sana, kuna kaukweli vinakuja tu vyenyewe
ajabu sana sana...duniani kuna mengi sanaTena bila usumbufu mkuu.