5. Furaha kutokana na labda walikuwa wanataniana siku hiyo ikifika itakuaje na kweli ikatokeaKulia si usafi. Yawezekana machozi yalisababishwa na
1. Kapigwa kalenda mwaka wa nane nwishowe kaolewa.
2. Hajiamini kama anaweza kuwa na mwanaume wa hadhi hiyo.
3. Kaachika mara kumi na tisa ya ishirini kabahatika
4. Anahisi kaukata
Kulia kunaweza kuwa ni maonesho pia!
Tumbo kutovimba haimaanishi hana mimba!
Kutovimba tumbo haimaanishi hawajazini!
Pengine analia kwakuwa hakutegemea kuolewa na ndio ameitafuta kwa muda mrefu!
Kulia wakati wa harusi ni moja ya fashion ya mabinti walio wengi
5. Furaha kutokana na labda walikuwa wanataniana siku hiyo ikifika itakuaje na kweli ikatokea
wengine wanalia kwa kumuonea huruma bwana harusi kwamba kaangia choo cha kichina
Mhmmmmm!, Kumbe bado!!!.Ahaaaaa watu na vijicoment vyenu. Ahaaaaa siku ya harusi yangu nitalia ndoo nzima, iwe ni ishara ya kumisi vitu ka jf na kumuhudumia huby. Tena mashoga zangu ntawamis maana nitamisi umbea fulani hivi mwisho nitamis harakati za cdm yaan nahisi ntakuwa busy sana hapa lazima nidondoshe chozi etc ahaaaaa!
Du! Bado natafuta connection ya kulia na usafi (purity). Analia kwasababu anahofia kinachoenda kutokea honeymoon, analia kwa furaha ya kumpata mume? Analia kwakuwa kapata uhuru toka mateso ya wazazi? Analia akikumbuka alivyotendwa na ndoa haikuwepo au? Just thinking out loud
Kulia si usafi. Yawezekana machozi yalisababishwa na
1. Kapigwa kalenda mwaka wa nane nwishowe kaolewa.
2. Hajiamini kama anaweza kuwa na mwanaume wa hadhi hiyo.
3. Kaachika mara kumi na tisa ya ishirini kabahatika
4. Anahisi kaukata
so machoz ni ishara ya bibi harus bikra??
maana dot com tunaoana watu tuna msururu wa ma x wanajaza yutong.. amemegwa/mega mtaani kwao, chuoni, kazini, kwa ndugu,kazini, kanisani, yaani kila alipowai kuishi ana mtu aliyemmega au kumegwa
wengine wanalia kwa kumuonea huruma bwana harusi kwamba kaangia choo cha kichina