usicholielewa hapo ni kipi?Kuna mahali ameandika wachungaji hapo juu au ni chuki zako kwa wachungaji?
Jumamosi hii nimehudhuria ibada ya ndoa
Akiendelea na mahubiri Kasisi alikiita kitendo kile cha kutokwa na machozi cha bi arusi, kama ishara ya usafi, uadilifu, malezi na makuzi mema, ambayo binti amekua nayo katika kipindi cha maisha yake.
Aidha aliendelea kuwa enzi hizi ndoa nyingi ni kama maonesho au fashion ndio maana imekuwa kawaida kuona ndoa inafungwa na bibi arusi ni mjamzito, bibi arusi kuingia madhabahuni na nguo za aibu akiwa nusu uchi, ndoa nyingi kutodumu maana upendo wa Ki-Mungu haupo tena bali upendo wa vitu na unafki na kadhalika.
Nadhani lipo zuri la kutafakari hapo!
Sasa na make up ilikuwaje.......?.....au walirudia.......?.......
Sasa na make up ilikuwaje.......?.....au walirudia.......?.......
Kaazi kweli kweli duh!!so machoz ni ishara ya bibi harus bikra??
maana dot com tunaoana watu tuna msururu wa ma x wanajaza yutong.. amemegwa/mega mtaani kwao, chuoni, kazini, kwa ndugu,kazini, kanisani, yaani kila alipowai kuishi ana mtu aliyemmega au kumegwa
Make up kitu gani bana....
Mbele ya uadilifu....
umenivunja mbavuuuKulia si usafi. Yawezekana machozi yalisababishwa na
1. Kapigwa kalenda mwaka wa nane nwishowe kaolewa.
2. Hajiamini kama anaweza kuwa na mwanaume wa hadhi hiyo.
3. Kaachika mara kumi na tisa ya ishirini kabahatika
4. Anahisi kaukata
Mmmh !! C'O umenichekesha.... hicho kilio cha furaha au Msiba!!!!Haya mambo ya kulia ni ujinga wakati mwingine.. Eti Bwashee wangu siku amekuja kutoa mahari nyumbani basi dada yetu kuitwa pale na baada ya kulipa jamaa akaanza kulia... Kwa Kweli nilishangaa sana. Unaliaje ukiwa ukweni!? Tena umeenda kuoa wala si msiba!!!