Harufu zinazokera

Mbona bado tuko sawa.. niliuliza ina uogaji special tofauti na huu huu? Au ukimaliza unatakiwa uioshe na jik ๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€

Au unasemea wale wanaomaliza wanaenda nje kuendelea na ratiba zingine bila kuoga

Hapana sio special, sio uoshe na JIK, mimi nasemea tuu kwamba, watu wengi Me na Ke, (sio wote), hawajui kuoga janaba. Sio wote lakini.
 
Wanaonuka midomo WENGI Huwa wanakula sana protein au waloshimda njaa.

AISE mkuu papuchi inanuka baana MTU kavaa vizuri suruali yake kajipodoa Kwa basi umekaa nae ikifika saa 7 mpaka10 aiseh, combination ya jasho na harufu mbaya.
 
Wanaonuka midomo WENGI Huwa wanakula sana protein au waloshimda njaa.

AISE mkuu papuchi inanuka baana MTU kavaa vizuri suruali yake kajipodoa Kwa basi umekaa nae ikifika saa 7 mpaka10 aiseh, combination ya jasho na harufu mbaya.
Pole kwa kukutana na kipochi manyoa kinatema
 
kuna mdudu fulani kama kobe , mdogo sana , wanapenda kufauta mwanga wa taa .. kipind hiki cha mvua wanajaa sana kama ukiwasha taa . Aisee , mdudu ananuka huyo .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ