shushushu VIP
JF-Expert Member
- Jul 24, 2016
- 4,806
- 4,303
Huyu jamaa nouma
Hana kazi ila anafanana na mwenye kazi. Usiniambie mkuu huijui hiyo fursa.Hivi huyu Jmaaa anafanya Nn Mjini.... Naona Skendo tu kila Siku Zisizo na Mbele wala Nyuma
Huyu dogo kaimba wimbo upi
Huu hapa....Usitoe Pasi..Siujui wimbo hata mmoja wa huyu dogo zaidi naona vituko vyake tu vya kijinga
Huu hapa....Usitoe Pasi..
HUU MGUU HATARI SANAMjini maigizo mengi.View attachment 467644
HUU MGUU HATARI SANA
Unajua maana ya kuwa sober?