Unatafuta kutekwa sasa hahahahahAhahaha kweli hii lugha ililetwa na meli. Yuko mwingine alisema "front fedi"
Inawezekanaharmolapa jinsi anavyopenda kiki na kuongelewa... si ajabu amejikosesha makusudi ili tumuongelee..
maana tunavyomjadili humu yeye anaona raha sana na amani tele