Harmonize ft Diamond Platinumz - Bado

Harmonize ft Diamond Platinumz - Bado

Itakuwa kali tu bada ya kuwa imezoeleka. Big up Hormonizer , big up Mondi
dah! me napenda sana shabiki wa namna hii, angekuwa fulani hapa ningeoga matusi ya kutosha, teh!
 
Dogo muoga sana wa maisha. Nilimuamin sana huyu dogo ila hapa kidogo ananipa mashaka sijajua bila kuwepo diamond humo ndani hii ngoma ingekuaje. Diamond kaikamata na kuitawala kila pande. Ngoma ya kawaida sana ila hivi punde itakuwa ndio habari si unajua wakiishampenda mtu wanapenda kila kinachomuhusu
 
Naona unatumia msuli kimbunga sana kumpromote huyu cjui unamuita harmonize cjui homone cjui testestoleni lakini hamna hata cha maana anachoimba zaidi ya kupoteza urithi wa mwanao na nguvu zako za uzeeni icon wetu hv kwa nn huyo jamaa usimfanye kuwa bodyguard wako namba mbili baada ya yule jibaba kama kweli umeamua kumsaidia !!? Maana me naona anadeserve tu kwa hyo position na cyo kufanya mziki, kifupi huyo cyo mwanamziki na wala hafanani nakuwa hvyo
Hivi kwa nn hyo nguvu unayotumia kumpa huyu jamaa usiwape labda nuh mziwanda au timbulo ukaongeza idadi ya wanamziki wa kimataifa kutoka tz kama ww ndugu yangu!!?

Tafadhali zingatia ushahuri wangu ingawa naamini kabisa hii post nimeandika ki sntch lakini ukweli ndo huo [HASHTAG]#inshallaiposikuutanielewa[/HASHTAG].
 
Ulichoandika na avatar yako hakuna tofauti. !
 
Kasikilize kwanza aiyola alafu urudi hapa useme kama dogo anajua au vp
 
Nilisikia stori ya Harmonizer kupitia Millard Ayo, wametoka mbali sana na Mondi ni wa kuigwa!
Sikubahatika kusikiliza lkn ukiwaza kwa fikra yakinifu diamond na huyo ambonise cjui inaonekana wametoka mbali na wapo kulipana fadhila
 
Sikubahatika kusikiliza lkn ukiwaza kwa fikra yakinifu diamond na huyo ambonise cjui inaonekana wametoka mbali na wapo kulipana fadhila
Harmonizer alikuwa anatafuta pa kutokea 2014 nafikiri, akapewa kama zari na jamaa fulani namba ya Mondi, akaambiwa mtafute DEE, atakusaidia, the rest is history!
 
jamaa linazubaazubaa tu yaani hata hana traits za u-celebrit ....kaka mondi utakuja jutia hizo hela zako na kwa mwendo huo huyo harmonize hatapiga show za maana kurudisha fweza wanazopoteza kwa kutoa hizo shootng na promo
 
Dogo yuko vizuri we muache nae aingie kwa wala bata na hao ndio ni wazuri wasikate tamaa watatoka
 
Hii ni maalum kwa wale ambao bado hawajaipata hii. Ipo sasa tokea jana.
Kijana harmonise kaonyesha kua habaatishi na kama kawa kaka D kapita kama kawa yani
Link hii hapa sifa ziwaendee kokote walipo wanywe soda ntalipa asee
 
Back
Top Bottom