Harmonize ft Diamond Platinumz - Bado

Harmonize ft Diamond Platinumz - Bado

sawa kwa taarifa,ila mwandishi wa therad hii unatakiwa upimwe akili na madaktari bingwa,unaandika story wakati tukio lipo on line katika tarehe,ungebainisha kwa kutumia maneno rahisi ya kiswahili yanayoweza kueleweka zaidi,jifunze kwenda na wakati ,unapoweka bandiko lako hapa hakikisha linauhai au linaweza kuish muda,ahaaaaaaaaaaaa,unachosha sana wewe
 
Eti superbrand nyie watu wa clauz ovyo sana,redio ina vipind vya kipuuzpuuzi,anywy tunasubiri huo wimbo.
 
Yan wimbo huu ndo wa kufananishwa na Romantic...
 
mwenye nao atuwekee humu.
[HASHTAG]#Simba[/HASHTAG]
[HASHTAG]#Lion[/HASHTAG]
[HASHTAG]#Leone[/HASHTAG]
 
sawa kwa taarifa,ila mwandishi wa therad hii unatakiwa upimwe akili na madaktari bingwa,unaandika story wakati tukio lipo on line katika tarehe,ungebainisha kwa kutumia maneno rahisi ya kiswahili yanayoweza kueleweka zaidi,jifunze kwenda na wakati ,unapoweka bandiko lako hapa hakikisha linauhai au linaweza kuish muda,ahaaaaaaaaaaaa,unachosha sana wewe
Kapimwe ww kwanza maana thread toka jana ipo sema we umechelewa kuona usisahau kunipa matokeo ya akili yko
 
mmh sijui uzee au ushamba ,maana mambo haya sana yamenipita kushoto kabisa
 
Huyu jamaa bila Platnumz leo hii hata jf msingemuandika, style yake ya kawaida sana hakuna kipya.
Platnumz yuko mbali sababu ana style ya kipekee sijui kwa nini wasanii wengine hawalioni hili.
 
Back
Top Bottom