Harmonize ft Diamond Platinumz - Bado

kedrick

JF-Expert Member
Apr 25, 2015
5,059
4,867
Msanii alie chini ya W.C.B, Harmonize amezindua Wimbo wake mpya unaoitwa 'Bado' aliomshirikisha Diamond Platinumz


Naweza sema tumeshudia kwa Mara ya kwanza kuona label ya WCB namna inavyokua kwa kasi kubwa na kuweza kuteka industry ya muziki bongo na Afrika kwa ujumla.

Naamin italeta changamoto kubwa ya kimuziki kwa label kama [HASHTAG]#YBNL[/HASHTAG] ya Olamide [HASHTAG]#Mavins[/HASHTAG] ya Don jazz [HASHTAG]#MadeManMusic[/HASHTAG], [HASHTAG]#HKN[/HASHTAG] just to mention afew.

Tayar mastaa kibao washaanza kutoka sapot kwa kijana @harmonize_tz..WCB imeonyesha namna inaweza kufanya investment kubwa ambao msanii uitaji ili kubwa marketable..

Mfno..Image ya msanii(Appearance),Branding an artist, lini ngoma mpya itoke..n Promotion nzito.

Bravo kwa uongozi wote wa @wcb_wasafi kwa kazi nzuri.Namna ya kufanya consistency yan hit after hit nikazi sana kwa wasanii wetu tz ,believe me [HASHTAG]#Bado[/HASHTAG] ni kiboko ya [HASHTAG]#Aiyola[/HASHTAG] japo haters wapo hawakosi oh Mara ubunifu..but wanasahau kua hii ni mwendelezo wa [HASHTAG]#Aiyola[/HASHTAG] baada ya kuachwa na anasema [HASHTAG]#Bado[/HASHTAG] maumivu hayajaisha wapi ngumu kuelewa??!!

1. Audio iko superb,ina mashairi kuntu imepangiliwa, producer kafanya kazi yake haswaa pia mzee King Maru ktk saxophone katisha mbaya

2. Video cna usemi, storyline iko njema sasa kwenye rangi mixing(quality ya kiwango cha juu sana) kwenye shots apo ndo nikasema directors watz wajfunze..Huyu ameua balaa

3. Dance sasa, kiukwel mko vzur sana, saiv nafanya mazoez mpka niweze imenivutia sana diamond pale anatikisa kichwa palinogaje.Thumbs up 10/10.

Mission accomplished [HASHTAG]#Masterpiece[/HASHTAG]
 
Msanii alie chini ya lebel na management ya W.C.B harmonizer kesho anatarajia kutoa wimbo wake mpya aliomshirikisha Icon wa Tanzania Diamond platinumz.
Na huu wimbo ndio utakaompeleka harmonizer kwenye level za kimataifa kuanzia audio hadi video yake na kuleta changamoto kwa upcoming artist kutoka Nigeria kama kiss Daniel, korredo bello, Lil kesh.
Nyimbo hii itazandiliwa katika kipindi cha Leo tena kuanzia saa nne asubuhi hadi saa saba mchana kupitia radio brand namba moja Tanzania super brand clouds fm
umesahau kututajia siku na saa bas tukae mkao wa kula
 
Dogo mbona hajiamini, mapema Hivi kashaanza kutaka mbeleko wa Diamond? Angesubiri atoe hit kama 4 mwenyewe bila collabo la staa, mi hapo namchukulia mwoga. Halafu kwanini wanazindua kwenye Leo tena, Ni taarabu nini?!
 
Dogo mbona hajiamini, mapema Hivi kashaanza kutaka mbeleko wa Diamond? Angesubiri atoe hit kama 4 mwenyewe bila collabo la staa, mi hapo namchukulia mwoga. Halafu kwanini wanazindua kwenye Leo tena, Ni taarabu nini?!

Kufanya collable haina shida Mkuu ni maamuzi tu, kama ni watu kumkubali lazima wimbo uwe mkali na si kwakuwa tu amemshirikisha fulani kumbuka ommy dimpoz alivyotoka alianza na collable na kiba, ubora wa wimbo ndio ulimtoa na si kitu kibaya maana alisimama pekeyake na baadaye kitu ambacho harmo kakifanya kwenye Aiyola..!! Afu Leo tena ya clouds huwa naona ipo poa zaidi hawabani muda kama XXL..!!
 
Msanii alie chini ya lebel na management ya W.C.B harmonizer kesho anatarajia kutoa wimbo wake mpya aliomshirikisha Icon wa Tanzania Diamond platinumz.
Na huu wimbo ndio utakaompeleka harmonizer kwenye level za kimataifa kuanzia audio hadi video yake na kuleta changamoto kwa upcoming artist kutoka Nigeria kama kiss Daniel, korredo bello, Lil kesh. Reekado banks
Nyimbo hii itazandiliwa jumatatu tarehe 29. 02.2016 katika kipindi cha Leo tena kuanzia saa nne asubuhi hadi saa saba mchana kupitia radio brand namba moja Tanzania super brand clouds fm

Unajuwa wenzetu wapo mbali sana kwa soko lao, linawabeba saaaana..! harmonize kufika kwa hao watu anatakiwa kufanya kazi kubwa sana aisee... Hasa Hugo korede belo mwaka Jana kautumia vizuri mnoo, angalia atavyosumbua mwaka huu..!!
 
Msanii alie chini ya lebel na management ya W.C.B harmonizer kesho anatarajia kutoa wimbo wake mpya aliomshirikisha Icon wa Tanzania Diamond platinumz.
Na huu wimbo ndio utakaompeleka harmonizer kwenye level za kimataifa kuanzia audio hadi video yake na kuleta changamoto kwa upcoming artist kutoka Nigeria kama kiss Daniel, korredo bello, Lil kesh. Reekado banks
Nyimbo hii itazandiliwa jumatatu tarehe 29. 02.2016 katika kipindi cha Leo tena kuanzia saa nne asubuhi hadi saa saba mchana kupitia radio brand namba moja Tanzania super brand clouds fm
Thread umeandika saa 6 dakika 38 usiku halafu unasema kesho kwa maana ya Jumanne ilhali jamaa wao wanasema wanaachia leo Jumatatu.
News Alert: Harmonizer ft Diamond Platinumz
Discussion in 'Celebrities Forum' started by kedrick, Today at 12:38 AM.

Halafu sio lebel ni Label.
 
Haya sasa kumekucha sikiliza kipindi cha [HASHTAG]#LeoTena[/HASHTAG] ya Clouds FM SAA 5:00 Harmonize%DaimondPlatnumz watakuqepo pale mjengoni kwaajili kushusha ngoma mpiya ya Harmonize%DaimondPlatnumz.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom