Phobia
JF-Expert Member
- Mar 29, 2021
- 1,151
- 1,783
Ipo siku utamjua mungu ni naniMungu Kama yupo au kama hayupo, mimi hainihusu!
Huyu Mungu hanisaidii kwa chochote, wala hanisaidii kwa lolote!
Maisha yangu hayahitaji wala hayategemei Mungu.
Ipo siku utamjua mungu ni naniMungu Kama yupo au kama hayupo, mimi hainihusu!
Huyu Mungu hanisaidii kwa chochote, wala hanisaidii kwa lolote!
Maisha yangu hayahitaji wala hayategemei Mungu.
Nacheka lakin naogopaMungu Kama yupo au kama hayupo, mimi hainihusu!
Huyu Mungu hanisaidii kwa chochote, wala hanisaidii kwa lolote!
Maisha yangu hayahitaji wala hayategemei Mungu.
Kwanza siyo kweli ya kila kitu kizuri kinaitwa cha Shetani. Kwa munasaba huu huyo msanii hana achokijua juu ya jambo hilo.Konde Gang, msanii wa Bongo Flava ameuliza kwenye wimbo wake wa dunia, kuwa ni kwa nini watu wanaokesha kusali misikitini na makanisani wana hali mbaya kiuchumi, wana maisha mabovu, hawapati baraka ambazo Biblia na Quran imeahidi kwa waumini wake, kama ambavyo Wayahudi na Waarabu wa kale walivyopata?
Anauliza kuwa ni kwanini kila kitu kizuri kinaitwa ni cha shetani?!
Haya wanajamvi tumjibu!
Amekuchagua wewe akupe neema, yeye anampa amtakaye kwa sababu anazozijua yeye.! Kama unakiri kuna miujiza, na ushetani duniani, basi kiri uwepo wa Mungu pia, hujiulizi kwa nini majini yanalipuka likitajwa jina LA Yesu? Jibu ni kuwa, huo ni ushahidi tosha kuwa Mungu yupo.we umemjuaje huyo mtoa pumzi!?. anaenipushana hayo magonjwa deadly, mbona wengine anawapa!?.
Pia yeye ndiye anaamua, wote katuumba yeye, wengine anawapa magonjwa na wengine anawanyima kwa sababu anazozijua yeye.we umemjuaje huyo mtoa pumzi!?. anaenipushana hayo magonjwa deadly, mbona wengine anawapa!?.
! Ila mungu angekuwa athumani angetupiga risasi hovyohovyo! We kijana unadiriki kusema mungu ni mshenzi? Laana ya mungu iwe juu yako! Kijibwa Cha roho.Kama ulimbukeni unanisumbua, ni jambo jema.
Na kama sijapata matatizo makubwa ya duniani, ni jambo jema sana.
Na kama napotea pia ni jambo jema mno!
Nikipotea au nisipo potea, haupati faida yoyote.
Labda tu ili nipotee vizuri, itoshe kusema mungu hayupo. Na kama yupo, basi ni mshenzi.
Pia yeye ndiye anaamua, wote katuumba yeye, wengine anawapa magonjwa na wengine anawanyima kwa sababu anazozijua yeye.
! Ila mungu angekuwa athumani angetupiga risasi hovyohovyo! We kijana unadiriki kusema mungu ni mshenzi? Laana ya mungu iwe juu yako! Kijibwa Cha roho.
Hii bahari, mbingu n.k ameleta mkwe wako?prove kua yupo, we should question your thinking capacity
Hii bahari, mbingu n.k ameleta mkwe wako?
Toka seat yangu hiyoNimewai siti
HaahaaToka seat yangu hiyo
Huyo jamaa kwanza hata h9ja hajaielewa.Kiranga karibu huku unaitwa.
maajenti wa shetani utawaona tu, wanatukuza ushetani hadi pale watakaposhushwa chini kuzimu kama alivyoshushwa bashite ndio huwa wanaelewa kuwa wapo vile walivyo kwa neema tu.Konde Gang, msanii wa Bongo Flava ameuliza kwenye wimbo wake wa dunia, kuwa ni kwa nini watu wanaokesha kusali misikitini na makanisani wana hali mbaya kiuchumi, wana maisha mabovu, hawapati baraka ambazo Biblia na Quran imeahidi kwa waumini wake, kama ambavyo Wayahudi na Waarabu wa kale walivyopata?
Anauliza kuwa ni kwanini kila kitu kizuri kinaitwa ni cha shetani?!
Haya wanajamvi tumjibu!
Bwana anawajua waliowake hivyo haina haja ya kutumia nguvu kubwa kupambana na mtu labda siyo wake, wengine wataokolewa kwa neema tu kulingana na matendo yao yakiwa mema, Sasa jibu kwa harmoniza ni kwamba siyo kushinda kwenye ibada ndo kunaleta hela na Mali Bali Mungu ameshatuelekeza tutakula kwa jasho hivyo tufanye kazi za kuleta hela na Mali bila uvivu na visingizio vya kushinda nyumba za ibada, au bar, au sehemu yoyote bila kufanya kazi ya kuingiza hela na Mali utabaki masikini maana Mungu amesema tufanye kazi na yeye atabariki kazi za mikono yetu hivyo tayari tunawajibu wa kufanya kazi halali zenye baraka za Mungu Ili tupate kubarikiwa.Ipo siku utamjua mungu ni nani