Mkulungwa01
JF-Expert Member
- Jul 14, 2021
- 3,977
- 5,351
Konde Gang, msanii wa Bongo Flava ameuliza kwenye wimbo wake wa dunia, kuwa ni kwa nini watu wanaokesha kusali misikitini na makanisani wana hali mbaya kiuchumi, wana maisha mabovu, hawapati baraka ambazo Biblia na Quran imeahidi kwa waumini wake, kama ambavyo Wayahudi na Waarabu wa kale walivyopata?
Anauliza kuwa ni kwanini kila kitu kizuri kinaitwa ni cha shetani?!
Haya wanajamvi tumjibu!
Anauliza kuwa ni kwanini kila kitu kizuri kinaitwa ni cha shetani?!
Haya wanajamvi tumjibu!