hata Wasira anaweza kuwa "BWANA" !!BWana ilihali hao hawamwamini Bwana?
Hivi schedule yake huyu kiongozi wetu mbona iko loose loose tu? Yani jamaa nchini hakai, akikaa hayuko ofisini, siku haipiti bila kumwona Kikwete kwenye vishughuli vya tafrija, misiba ya ma cousin wa viongozi, futari, safari za Bagamoyo, sijui kumwona waziri anasumbuliwa na ngozi na vishughuli vingine visivyohusiana na kazi, hayuko Ikulu, ukimkuta Ikulu ujue anamkaribisha Dwight Howard wa NBA, Hashim Thabit, sijui CEO wa Vodacom, sijui anakutana na ma shehe na ma sista, yani huwezi kumwona yuko Ikulu anatangaza government policy au ana huggle na legislators, ni vishughuli mwanzo mwisho...
Hivi schedule yake huyu kiongozi wetu mbona iko loose loose tu? Yani jamaa nchini hakai, akikaa hayuko ofisini, siku haipiti bila kumwona Kikwete kwenye vishughuli vya tafrija, misiba ya ma cousin wa viongozi, futari, safari za Bagamoyo, sijui kumwona waziri anasumbuliwa na ngozi na vishughuli vingine visivyohusiana na kazi, hayuko Ikulu, ukimkuta Ikulu ujue anamkaribisha Dwight Howard wa NBA, Hashim Thabit, sijui CEO wa Vodacom, sijui anakutana na ma shehe na ma sista, yani huwezi kumwona yuko Ikulu anatangaza government policy au ana huggle na legislators, ni vishughuli mwanzo mwisho...
Nani kasema ni lazima awe mwanasiasa au asiwe? Jibu swali, Mwapachu ni maarafu au ana jina kubwa katika historia, kwa lipi? Usinitajie vyeo vyake na amezaa watoto wangapi "walevi na mashoga" Amefanya nini na hivyo vyeo vyake kuwa "maarufu...kwenye historia ya Tanzania"? Ametusaidia ku achieve nini na ma vyeo yake?
jina la mwapachu ni kati ya majina makubwa sana katika historia ya nchi yetu - anyeujua ukoo huo atudadavulie. kwa vyovyote vile naungana na wombolezaji. RIP.
...wee ***** kama unataka kujua uliza kistaarabu sio kutoa kashfa na kuita watu walevi,we kama humjui wenzako wanamjua na ndio maana wameleta topic humu na hata kwenye msiba wake umeona maraisi na viongozi wa juu wameenda,wivu utakuua wewe na ushamba wako...seems uko bitter sana na maisha yako na roho yako ya korosho. [/FONT][/COLOR]
hapo umepotosha wameenda kama maswahiba,
HATA MIMI IMENICHANGANYA SANA KWANI NInaVyojua MIMi kWAMBA HArITH MWAPACHU NDIO JINA LA BAKARI MWAPACHU MWENyEWE,NINAVYOFIKIRI MIMI HUYO ATAKUWA NI MTOTO WA JUMA MWAPACHu ,HII HABARI IMEANDIKWA KWA KUTUCHANgANYA,HAIELEWKI KABISA NAFIKIRIA MTOAJI AU MWANDISHI WA HII HABARI HAKUWEZA KUIWEKA SAWA SAWA ILI IELEWEKE VIZURI,MWENYEZI MUNGU ATAIWEKA ROHO YAKE MAHALI PEMA PEPONI,..AMEEEN.
Hivi schedule yake huyu kiongozi wetu mbona iko loose loose tu? Yani jamaa nchini hakai, akikaa hayuko ofisini, siku haipiti bila kumwona Kikwete kwenye vishughuli vya tafrija, misiba ya ma cousin wa viongozi, futari, safari za Bagamoyo, sijui kumwona waziri anasumbuliwa na ngozi na vishughuli vingine visivyohusiana na kazi, hayuko Ikulu, ukimkuta Ikulu ujue anamkaribisha Dwight Howard wa NBA, Hashim Thabit, sijui CEO wa Vodacom, sijui anakutana na ma shehe na ma sista, yani huwezi kumwona yuko Ikulu anatangaza government policy au ana huggle na legislators, ni vishughuli mwanzo mwisho...