Harith Mwapachu afariki

Mtoto wa mh. Juma Mwapachu, Harith, amefariki ghafla leo alfajiri. Inna lillahi wa inna illaihi raj'un
sijui kama ni yeye, kuna kijana mmoja mtoto wa mwapachu tulikuwa tunashinda wote pale mikocheni B njia ya kwenda kwenye kota za mawaziri nyuma ya radio one, alikuwa anakunywa sana pombe. alikuwa simple sana, sijui anacheo gani ila nadhani alikuwa na biashara zake tu. naomba unijulishe maana ni mwaka tangu nihame mitaa ya mikocheni. RIP boy
 
... anakaa mikocheni B maeneo ya shule ya ushindi na alikuwa anakunywa sana pombe..hata kifo chake kimetokea ghafla tena akiwa karibu na bar..maeneo ya kwake,karibu na maghorofa ya bima....

Mbaya zaidi ..marehemua alikua na kashfa ya kuwa shoga...binafsi namfahamu kiasi...
Duuu...yashakuwa ya ushoga na ulevi? Ndio mambo ya kuleta habari za misiba vijiweni kama hapa.
 
RIP
sio kila mtu akifariki unaweka mada hapa labda awe na umuhimu kwetu kufahamu hiyo habari, sio kila habari ni habari.
 
Jina kubwa katika historia yetu kivipi? Alifanya nini kikubwa huyo Mwapachu?
Majina makubwa sana (a.k.a Kilimanjaro) katika historia ya nchi yetu ni Nyerere, Karume, Sokonne na Kawawa. mengine ni ya kawaida sana (a.k.a Vichuguu), na mengine kama la Mapachu ni madogo sana (a.k.a Kokoto)

mtu kuwa maarufu sio lazima awe mwanasiasa tu - hili jiina limekuwa maarufu katika nyanja za utendaji hasa serikalini kwa muda mrefu tu
 
sasa hawa wanaoleta ushoga, ulevi na madawa wana nia gani lakini?
 
CV inakusaidia nini wewe? kwa mfano nikisema nimefiwa mimi hunijui zaidi ya pole utanihoji nini? acheni hizo bwana

tutaachaje hizo?jf ina hadhi yake na member wa jf wana hadhi yake.member wa jf ana hadhi humu zaidi ya mtoto wa mwasisi wa magamba.rip tunaitoa tu kwa kuwa ni binadamu mwenzetu.R.I.P Harith.mia
 
nahisi harith ni jina la baba yao so mtoto kapewa jina la babu yake.
 
Kama ndio huyo wa Mikocheni mungu amurehemu ,ni zao la wazazi wenye uwezo,lakini ambalo watoto wao wameshindwa au wamekata tamaa ya maisha wanabaki kuwa walevi mbwa,ila jamaa alikuwa mstaarabu sana pamoja na kuwa alitoka kwenye neema
 
kama mtu amekufa ni amekufa,nini sababu yakubishana na maneno mazito.Mna pata kitu gani katika mabishano yenu?
Tujadili namna ya kuwa na uhuru wa kweli na kutekeleza,
 
mtu kuwa maarufu sio lazima awe mwanasiasa tu - hili jiina limekuwa maarufu katika nyanja za utendaji hasa serikalini kwa muda mrefu tu
Nani kasema ni lazima awe mwanasiasa au asiwe? Jibu swali, Mwapachu ni maarafu au ana jina kubwa katika historia, kwa lipi? Usinitajie vyeo vyake na amezaa watoto wangapi "walevi na mashoga" na amekuwa polisi wa kwanza ku graduate shule. I couldn't care less.

Amefanya nini na hivyo vyeo vyake kuwa "maarufu...kwenye historia ya Tanzania"? Ametusaidia ku achieve nini na ma vyeo yake?
 
Ndo maana wanauliza jibu! Kutofahamu jana isiwe sababu ya kutofahamishwa leo!
Amina! Post ulioleta inaeleweka, kw yyt aliezaliwa Tz especialy mjini mjini hatokuuliza swl km vl toa cur-vitae za Marehem e.c.t hao wakuulizao nadhani ni wenzetu waliotoka interior wavumilie
 
Hapa wamekosa Nyerere (RIP), Mkapa, Sumaye na Warioba safu itimie.

GO9G7177.JPG
 
Baba yao kina Juma na Bakari Mwapachu, alimsaidia sana Mchonga (Financially) katika harakati za kudai uhuru. Same applies to kina George Kahama, Marehemu Mzee Ally Sykes, Mzee Hamza Aziz (Kutoka Mtoni aka Mtoni Kwa Azizi Ally), Marehemu John Rupia nk. Ndio maana hawa watu miaka nenda miaka rudi, wako (au watoto wao) walikuwa kwenye vyeo vikubwa tu. Fadhila fadhila wana jamii.
 
Baba yao kina Juma na Bakari Mwapachu, alimsaidia sana Mchonga (Financially) katika harakati za kudai uhuru. Same applies to kina George Kahama, Marehemu Mzee Ally Sykes, Mzee Hamza Aziz (Kutoka Mtoni aka Mtoni Kwa Azizi Ally), Marehemu John Rupia nk. Ndio maana hawa watu miaka nenda miaka rudi, wako (au watoto wao) walikuwa kwenye vyeo vikubwa tu. Fadhila fadhila wana jamii.

Kwa kweli hiyo ni dhana potofu, sababu hiyo unayoita "fadhila", wenzako wanaita "nepotism", which, needless to say, is obviously antithetical to democratic and meritocratic principles. Kama babu yake fulani alifadhili TANU kwa shilingi elfu mbili enzi za kugombea Uhuru miaka ya 60, sioni kwa nini leo hii mwaka 2011 wajukuu wake waendelee ku-enjoy unconditional and limitless state-sponsored privileges and recognitions, haswa ukichukulia marehemu hakuwa na wadhifa wowote serikalini au kwenye CCM. Tanzania ni nchi yetu wote, siyo ya matabaka fulani ya watu ambao walibahatika kutokea kwenye familia zilizokuwa na uwezo wa kifedha enzi za ukoloni wa kuweza kumsaidia Nyerere hela ya nauli na matumizi ya hapa na pale.
 
Back
Top Bottom