Harith Mwapachu afariki

sasa ungeandika mtoto wa balozi juma mwapachu amekufa umeandika harith mwapachu mi binafs nikajua yule aliekuwa waziri mzee harith bakar mwapachu
 
Bado hujanijibu nikakuelewa, yaani alikuwa nani katika jamii hadi ukafikia kuleta thread humu ndani? Mimi namfahamu Bakari Mwapachu yule aliyewahi kuwa Naibu Waziri kipindi kile Usamala wa Raia baade ikaletwa tena Mambo ya Ndani. Ndiyo huyo mwanae, vinginevyo mwaga CV ya marehemu badala ya kuishia kusema amekufa.

CV inakusaidia nini wewe? kwa mfano nikisema nimefiwa mimi hunijui zaidi ya pole utanihoji nini? acheni hizo bwana
 
Aliyefariki ni Harith Mwapachu, kijana, mtoto wa Juma Mwapachu. Juma Mwapachu ni kaka yake na Bakari Harith Mwapachu.
 
Ok Mnalete tena habari zizizo kua na kichwa na miguu. Hawa Mwapachu sijui Bomani wote kwao kuna Hari ?. Naweza hisi nammfahamu huyu Marehemu, maana nimesha wahi kaa meza moja na jamaa anaitwa Hari Mwapachu , kwenye harusi ya Clement Bomani, sasa je Bakari Mwapachu na JUma Mwapachu wote wana watoto wanaitwa Heri au Hari ? Maana kuna Heri Bomani, Heri Mwapachu , sasa huyu Marehemu ni yupi? R.I.P Harith !
 
jina la mwapachu ni kati ya majina makubwa sana katika historia ya nchi yetu - anyeujua ukoo huo atudadavulie....
Jina kubwa katika historia yetu kivipi? Alifanya nini kikubwa huyo Mwapachu?
 
jina la mwapachu ni kati ya majina makubwa sana katika historia ya nchi yetu - anyeujua ukoo huo atudadavulie. kwa vyovyote vile naungana na wombolezaji. RIP.

Majina makubwa sana (a.k.a Kilimanjaro) katika historia ya nchi yetu ni Nyerere, Karume, Sokonne na Kawawa. mengine ni ya kawaida sana (a.k.a Vichuguu), na mengine kama la Mapachu ni madogo sana (a.k.a Kokoto)
 
Aliyefariki ni Harith Mwapachu, kijana, mtoto wa Juma Mwapachu. Juma Mwapachu ni kaka yake na Bakari Harith Mwapachu.
Juma Mwapachu ni mdogo wake Harith Bakari Mwapachu.
Juma Mwapachu -zamani balozi Ufaransa na Katibu Mkuu EAC.
H.B.Mwapachu -zamani mbunge Tanga mjini na waziri wa sheria na baadae usalama wa raia.
 
Amina! Post ulioleta inaeleweka, kw yyt aliezaliwa Tz especialy mjini mjini hatokuuliza swl km vl toa cur-vitae za Marehem e.c.t hao wakuulizao nadhani ni wenzetu waliotoka interior wavumilie
wewe kweli kiazi tena vile vya Gairo..yaani kama hatumjui huyo Harith Mwapachu..basi tumetoka interior na tuvumiliwe!!..Wewe kwa kumjua huyo mtoto imekuongezea nini??...Acheni ushamba bwana!!
 
Who was he kitaifa hadi apewe attention kubwa namna hii? Mbona kina Hamisi Mwamedi wanakufa kila siku uchochoroni?
 
Cheo si muhimu. Umuhimu ni kwamba alikuwa BINADAM, ndugu yetu, Muislam mwenzetu!

Innalilahi Wa Innalillahi Raaj'un!

Kama ndiyo style yenyewe basi nami hapa mtaani kuna jamaa mmoja mi mwenyewe simjui sawasawa kafariki jana usiku kwa ajali ya gari,
Nimwagieni hizo pole basi.
Na mkitaka jina ili mtume RIP zenu, nyie tumieni "kijana" tu, maana mi mwenyewe simjui vizuri kwa jina.
 
Kama ndiyo style yenyewe basi nami hapa mtaani kuna jamaa mmoja mi mwenyewe simjui sawasawa kafariki jana usiku kwa ajali ya gari,
Nimwagieni hizo pole basi.
Na mkitaka jina ili mtume RIP zenu, nyie tumieni "kijana" tu, maana mi mwenyewe simjui vizuri kwa jina.
Lol.... Umenichekesha sana!...haya RIP kijana wa mtaani kwa Shark...
 
wewe kweli kiazi tena vile vya Gairo..yaani kama hatumjui huyo Harith Mwapachu..basi tumetoka interior na tuvumiliwe!!..Wewe kwa kumjua huyo mtoto imekuongezea nini??...Acheni ushamba bwana!!
Wewe kama humjui kuna wanao mjuwa yeye au wanaoijuwa family yake. Kwa hiyo, si lazima u comment na kubishana.
 
Back
Top Bottom