lara 1
JF-Expert Member
- Jun 10, 2012
- 15,700
- 29,190
lara 1 ni mamako huyu huyu aliyekuwa anafuga kuku na kufanya overtime ili msome au?
well ni kutaka tu kusema kuwa familia nyingi na hatukuanza sisi leo
vitu vinarun kwa nguvu ya mama!
hili nilikua nikiliona nafikir sidhani kama naweza kubadilika sasa!
Alifuga kuku wakati Mdingi kazamia nchi za watu! Before and after, mdingi akiwepo majukumu ya dingi hafanyiiiiiii! Hela zake ni mambo yake na kutupa sisi kwa ajili ya kujipoza na extra circula activities.
Achana na Mama yule! Hataki ujinga ujinga! We kazini uende, biashara ufany kutoa hela ndani ndo uwe huna? Ah wapi! Sawa huna sasa hivi, katafute basi, ukija utakuta viporo vya majukumu!