Hard working woman

Hard working woman

Kuna rafiki yangu huu uzi wako utakuwa umemgonga kumoyo... ipo siku ntakuonyesha i wish.... wanaume wa namna hiyo si ndio hao tunawaita Mariooo, wanaume wa namna hiyo lazima kisaikolojia uwe tayari kuishi nao la sivyoo ngumu sana.

Kwakweli huyo shemeji yangu inafika mahali anachanganyikiwa ada za watoto,kodi ya nyumba, chakula na mavazi anahangaika yeye mwenyewe. jamaa yeye viti virefu na misele kibao akijifanya yuko bussy... jamani tujitahidi malezi ya watoto wetu wasijefanya haya makosa yetu
hahaha! mario nao hiyo ni case tofauti kidogo ila huyu ninayemsema mie ni kwamba haoni tu kama haya yanahaitajika.
yeye huona sawa na hupenda kweli wife wake afanye milele
 
NDO MANAKE!OH!
mpango wa kazi kwa mama mpango wa sifa kwa baba!

khaaa! yaani kazi nifanye mm sifa ziende kwa baba??
ila ndo kawaida na utam nautaka inabidi kukomaa tu mpaka kieleweke
 
hahaha! mario nao hiyo ni case tofauti kidogo ila huyu ninayemsema mie ni kwamba haoni tu kama haya yanahaitajika.
yeye huona sawa na hupenda kweli wife wake afanye milele

nimekupata... lakini kweli wanaume tunatofautiana... kwa uelewa wangu Mwanaume ukishaoa jukumu kubwa ni kutunza familia na kuilinda familia, sasa mwanaume wa namna hiyo siku mke hayupo si atakuwa kituko... watoto wenyewe wa siku hizi baba tegemezi watakudharau tu.
 
hilo sikatai rafiki ila amini tu kwamba kuna watu ambao hua wanaweza kuwezesha na kuna wengine sio kabisaaa.

tena unakuta mama wa aina hii akisafiri chumvi ikiisha ndani baba atampigia simu chumvi hakuna sasa hapo sijui mama atailetaje na yuko mbali
ha haaaa, unatuma kwa Mpesa, lol!
mume wa hivyo simtaki kabisaaaaaaa........
ngoja nikazane na vidume vyangu visije vikaenda kuwa irresponsible huko, lol!
 
ha haaaa, unatuma kwa Mpesa, lol!
mume wa hivyo simtaki kabisaaaaaaa........
ngoja nikazane na vidume vyangu visije vikaenda kuwa irresponsible huko, lol!


hilo ndo la msingi mamii manake mm nimesema vidume lazima vijue kwamba ni wanaume n ndio wako responsible kwa maisha yao. tena kwao hakuna msaada wala huruma kuwajibika lazima kwa kila mtu
 
mwalimu, wengine working hard is like a hobby. kiukweli hata ningeolewa na mfalme wa arabuni, nahisi ningekuwa bored stiff and to the core. hata nipewe kila kitu with a gold spoon to eat from, nadhani i still need some kind of work kuweka hii kichwa sawa.

msimamo wangu ni kuwa kila mtu anahitaji kufanya kazi kama sehemu ya kujamiiana.
uwe na valentine njema.

Hata mimi ukinipa kila kitu bila kuzunguka jua likanipiga kidogo huwa sioni kama nimejitendea haki. Kila mtu awajibike kwa nafasi yake.
 
sioni tatizo kama kuna makubaliano

mimi mchapa kazi lakini
 
jamani msinione naingilia maisha ya watu.huwa najiuliza wengine muda wa kazi na wa kuwa jf mnaupata wapi?maana wengine asubuhi mpo jf,si mchana na si usiku.au kazi zenu mabosi wenu wako poa tu kuingia mitandaoni?sina nia mbaya ya kuuliza.najua wapo self employed.nauliza kwa wale wa maofisini,maana hiyo chance mimi sina
 
jamani msinione naingilia maisha ya watu.huwa najiuliza wengine muda wa kazi na wa kuwa jf mnaupata wapi?maana wengine asubuhi mpo jf,si mchana na si usiku.au kazi zenu mabosi wenu wako poa tu kuingia mitandaoni?sina nia mbaya ya kuuliza.najua wapo self employed.nauliza kwa wale wa maofisini,maana hiyo chance mimi sina
ahahahahhahahaha
kisugaaaaar umenichekesha kweli!
WENZIO TUNA VIPIND VIWILI KWA WIKI!
dak 80,mara 4 mshahara wa mwezi mzima!
uuwih mwali pole ndo hvo tena mgawanyo wa majukumu wengine kwa kuwa nyuma ya desktop au kama ni laptop ndo tupo busy kweli kweli!
 
hahaha lara 1 umeona ehhh hii wanawake chapa kazi uko uko kwa wenzetu tanganyika pwani hamna hayo mwanamme anachapa kazi analeta home tunatumia, wewe unapaka hinna na kujiremba tooo kwenda mbele. ukipata wewe unafanya yako kabisa lakini sio kulisha home mume ndo jukumu lake ilo.
 
Last edited by a moderator:
Jamani kweli kila mtu kakulia malezi tofauti. Mie kipindi tupo na mama tunalelewa bongo mama angu alikua hajitumi kama wamama wa pale bongo.hapiki chapati akauza wala hafanyi kitu. baba ndio anafanya majukumu yote.baba akisema mie sina hela sina la kufanya maisha magumu mama anarudi kwao na anatupeleka sie kwa bibi yetu pale zanz tunahangaika na bibi.baba kwa masikitiko anachapa kazi na kuturejesha bongo tena.mchezo ukaenda ivo vio mama yeye anajiremba too mpaka baba etu akaaamua kuhama bongo na kwenda ulaya. sasa kachapa kazi uko ulaya katuleta watoto na mama etu. sisis tunasoma mama yupo ndani anatupikia na kujilemba tooo. baba anafanya kazi.na mfumo huuu nauwona kwa wazenj wingi pia huku ulaya wao wanalea watoto too na kujilemba utakuta hawazeeki haraka. lakini mimi katika maisha yangu nataka kuwa tofauti na mama.nataka kujitegemea mambo haya naona kama yashapitwa na wakati
 
I'm proud of my self and I know that I'm among hardworking ladies but type hii ingenishinda kwa kweli ..

Hayo malovidavi nayanipite tu kwa kweli.

Akuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu........

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Just out of curiosity.. Mwl gfsonwin hivi mwanaume wa namna hyo nae anajiita mwanaume???

Mwanaume shughuli/kazi! Kaaaaaaaa..

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Last edited by a moderator:
jamani msinione naingilia maisha ya watu.huwa najiuliza wengine muda wa kazi na wa kuwa jf mnaupata wapi?maana wengine asubuhi mpo jf,si mchana na si usiku.au kazi zenu mabosi wenu wako poa tu kuingia mitandaoni?sina nia mbaya ya kuuliza.najua wapo self employed.nauliza kwa wale wa maofisini,maana hiyo chance mimi sina

hahahhahah! usinifanye nikavunjika mbavu zangu mie kwa kicheko.
mwenzio mie 24/7 huwa nakuwa skype, jf na yahoo messenger na huwa ninaweza kuandika na kuchat kote kwa muda wote huo.

hata nikitoka kwenda kufanya kazi naacha on nikirudi aendelea nilipoishia.
 
Just out of curiosity.. Mwl gfsonwin hivi mwanaume wa namna hyo nae anajiita mwanaume???

Mwanaume shughuli/kazi! Kaaaaaaaa..

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums

kwani kazi/shughuli ndo ipi?? to me huyu ni bora kuliko yule anayekupa hela na kila kitu halafu ndani haonekani
 
hahaah. Hata mimi nilikuwa najiuliza hilo. Mimi niko maternity leave. Mkiniona nimepotea in the future mjue nimerudi kaziniii.


jamani msinione naingilia maisha ya watu.huwa najiuliza wengine muda wa kazi na wa kuwa jf mnaupata wapi?maana wengine asubuhi mpo jf,si mchana na si usiku.au kazi zenu mabosi wenu wako poa tu kuingia mitandaoni?sina nia mbaya ya kuuliza.najua wapo self employed.nauliza kwa wale wa maofisini,maana hiyo chance mimi sina
 
hahaah. Hata mimi nilikuwa najiuliza hilo. Mimi niko maternity leave. Mkiniona nimepotea in the future mjue nimerudi kaziniii.

hongera mwaya kichanga hakijambo?? Mm ukinikosa humu ujue niko njian ama natoka job ama naenda job vinginevyo 24/7 nipo live
 
Aiseee!

Alifuga kuku wakati Mdingi kazamia nchi za watu! Before and after, mdingi akiwepo majukumu ya dingi hafanyiiiiiii! Hela zake ni mambo yake na kutupa sisi kwa ajili ya kujipoza na extra circula activities.

Achana na Mama yule! Hataki ujinga ujinga! We kazini uende, biashara ufany kutoa hela ndani ndo uwe huna? Ah wapi! Sawa huna sasa hivi, katafute basi, ukija utakuta viporo vya majukumu!
 
Asantee. Kabebii hajambo. Anachapa usingizi sahivi. Anakaribia miezi 6, siamini muda unavyokimbia! Thats good you always stay connected. You can't miss any action.


hongera mwaya kichanga hakijambo?? Mm ukinikosa humu ujue niko njian ama natoka job ama naenda job vinginevyo 24/7 nipo live
 
kiukweli binafsi napenda sana kumsifia mtu akifanya jambo zuri, na huwez kaumini wifi yanu akifanya jambo zuri huwa nasifia yeye na kumsuta kaka kwamba uchangamke kumtia moyo mkeo tena bila kificho.

sasa inapokuja huku kwingine ndo balaa, yaani sifa zinakwend aambako hazistahili kabisaa.
he he heeee.........
kwetu hatujabahatika bado kupata wifi maana kaka alizaliwa wa mwisho na umri wa kuoa bado, lol!
sasa mimi ndo dada mkubwa, unikute ninavyotoa lecture kwa mama na mdogo wangu wa kike kuhusu huyo wifi ambaye hatujui sijui atapatikana lini? nawaambia kabisa tujipange huyo wifi akija aione kama kapotea njia. hata kama alikuja na strategies zake za kujihami ashindwe hata pa kuanzia kuzitumia
 
Back
Top Bottom