Hard working woman

Hard working woman

he he heeee.........
kwetu hatujabahatika bado kupata wifi maana kaka alizaliwa wa mwisho na umri wa kuoa bado, lol!
sasa mimi ndo dada mkubwa, unikute ninavyotoa lecture kwa mama na mdogo wangu wa kike kuhusu huyo wifi ambaye hatujui sijui atapatikana lini? nawaambia kabisa tujipange huyo wifi akija aione kama kapotea njia. hata kama alikuja na strategies zake za kujihami ashindwe hata pa kuanzia kuzitumia

na hiyo ndo dawa ya mtu mwenye jeuri, unakuwa simple but clear akikaa kusaka wa kuburuzana nae hampati period
 
Maisha ni kusaidiana lakini hii ya mwanaume kuweka mguu juu akitegemea mke ni hard worker atafanya kila kitu haikubaliki to me! Mwanaume mvivu mvivu hapana!
 
Happy Valentines Day kwenu nyote.

Katika kusherehekea siku hii napenda kuwa na ninyi nyote na kwakua ni ngumu sana kuwa na kila mmoja physically basi naomba hapa ndani ya key board tuwe pamoja tukijadili hili.

Sitaki sana kuinglia fani ya Mtambuzi ila kwa siku ya leo ningependa kuongelea maisha ya ndani ya ndoa yale ya ukweli kabisaaa jinsi ambavyo watu wengi wanaishi ndoani na ii ni ili kuwasaidia wale ambao ni juniors kwenye hii fani ambao hawaishi kutuma Pm za kuomba ushauri.

ukweli halisi wa maisha ya ndoa umegawanyika katika mafungu tofauti tofauti kutokana na jinsi nilivyoona (from anecdote) ila naomba niongelee kundi moja tu lakini ndilo kundi kubwa kati ya makundi mengi nalo ni hili ambalo mama ndiye mwajibkaji zaidi.

kwenye maisha tunategemea baba na mama wawajibike kila mtu kwa nafasi yake ili maisha ya ndani yaendelee. lakini hali halisi haiko hivyo kabisaa...............kwani kwenye familia nyingi utakuta mama ndiye mwajibikaji na mfanyaji wa vitu nyumban hasa vinavyohusu hela.

akina mama walioangukia katika kundi hili hujikuta wakilazimika kutafuta hela zaid ili maisha ya nyumban yaende kama vile watoo kusoma, ujenzi wa nyumba na ufanyaji wa kazi za maendeleo. ilihali waume zao wao hujua kupenda tu na kucare basi.

kibaya zaid waume wanaoangukia kwenye aina hii ya ndoa kwa matendo yao mazuri hujikuta wanawaziba mdomo wake zao kwenye maswala ya fedha kiasi kwamba mama huwa anasahahu ama anashindwa kuulizia pesa ya kufanyia jambo fulan kisa tu ma love na ma care anayopewa.

sasa mama inabidi akili imkae sawa kwenye kumake things happen na asipojitahidi huyu mama mwisho wa siku huumbuka yeye.

wanaume ambao wakao kwenye aina hii ya maisha wao hujua kupenda tu, yaaani ikiwa umeangukia kwenye kundi hili la ndoa ni ngumu sana kumkuta mumeo na maswala ya kucheat na tena atakujali sana wewe, na atakusaidia kazi za ndani ikiwa inabidi na tena ni watu ambao hawaoni aibu kujipa raha na wake zao popote pale. Lakini yote hii hutumika kama njia ya kumfunga mwanamke mdomo, hivyo mama akajikuta hawazii mapungufu mengine kwa mapenzi anayopata yanamtosha kabisa.

mama hujikuta akifikiria na kubuni njia mbadala za kipato iwe kwa biashara ma kwa upatu na vikundi ili kufidia gap ambalo baba hajalijaza. na mama huyu huakikisha hashindwi kabisa kwenye anachotaka kukifanya. mathalan kama mama atataka nyumba ipakwe rangi basi utakuta hata kama kamwambia baba, baba huishia kusema lakini ni kweli mke wangu ukuta umechafuka sana ila humkuti akiingia mfukoni kutoa pesa ukuta upakwe rangi. na mama kwa kuona hapa sina haja ya kumuuliza basi hulazimika kutafuta pesa na kupaka rangi.................baba yeye huishia kusema mke wangu hongera sana ukuta umependeza.......

tena wanaume wanaoangukia kundi hili wengi hata kama ni kazi za ukweni kwa mume basi mke ndiye mtendaji iwe ni za sherehe ama misiba ama ugonjwa na baba hubaki kupokea sifa tu kwamba amefanya mambo yamekuwa.

CC snowhite, cacico mwaJ , @fp
Kuna siku nilikuwa na wababa tukijadili mke mwema anaeongelewa katika mithali 31:10-31. nikawauliza kama mwanamke atabeba majukumu hayo yote na kuwa mke mwema mwanaume atafanya kazi gani ktk majukumu ya familia,walinijibu kazi ya mume ni kumsifia tu mkewe. wakaongeza wao wanapenda wake zao wawe wawajibikaji sana ili wao wakae kuwasifia tu.
 
Kuna siku nilikuwa na wababa tukijadili mke mwema anaeongelewa katika mithali 31:10-31. nikawauliza kama mwanamke atabeba majukumu hayo yote na kuwa mke mwema mwanaume atafanya kazi gani ktk majukumu ya familia,walinijibu kazi ya mume ni kumsifia tu mkewe. wakaongeza wao wanapenda wake zao wawe wawajibikaji sana ili wao wakae kuwasifia tu.

pale kwenye mthali bana mwanamke ameangushiwa mzigo mzito sana na ukisoma kwa makini utagundua kwamba neno la kuzaa wa uchungu ndio implication yake, ingawa watu husema kuzaa kwa uchungu ni pale kwenye labor tu.

wanawake wote kwenye biblia walikuwa ni wachapa kazi sana kuliko hata wanaume
 
kwani kazi/shughuli ndo ipi?? to me huyu ni bora kuliko yule anayekupa hela na kila kitu halafu ndani haonekani
gfsonwin I mean ... mwanaume mwajibikaji lol. Anaetambua majukumu yake kama BABA.. sio kupiga bla blaaaaa!
 
Last edited by a moderator:
Hitimisho la hii mada ni kuwa "LIKE MOTHER LIKE DAUGHTER"

Refer misimamo ya gfsonwin in relation to how she was raised by her mom and general setup ya familia yao na
misimamo ya Lara moko in relation to how she was raised by her mom na muundo mzima wa kimajukumu katika familia yao.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom