nipo online
JF-Expert Member
- Sep 10, 2022
- 1,379
- 3,152
naomba kujua bei ya had disk telabite 4 wakuu, samahani kwa usumbufu asubui hii na vip risk ya kununua hizi disk ubovu sijui expire time
Mkuu umeamka? Soma uzi freshM Dsm Tela ndio nini
Telabite ndio kitu gani?naomba kujua bei ya had disk telabite 4 wakuu, samahani kwa usumbufu asubui hii na vip risk ya kununua hizi disk ubovu sijui expire time
Tera sio TelaMkuu umeamka? Soma uzi fresh
Bei ni kuanzia laki mbili na nusunaomba kujua bei ya had disk telabite 4 wakuu, samahani kwa usumbufu asubui hii na vip risk ya kununua hizi disk ubovu sijui expire tiime
Hakuna kitu kama expire time, disk inaweza kukaa miaka ishirini bila shida au ikafa ndani ya wiki hauwezi kutabiri zaidi ya kuchukua tahadhari za kawaida kama kutoidondosha.naomba kujua bei ya had disk telabite 4 wakuu, samahani kwa usumbufu asubui hii na vip risk ya kununua hizi disk ubovu sijui expire time
Maximum 150K mtaani ila unapata hadi 100K,naomba kujua bei ya had disk telabite 4 wakuu, samahani kwa usumbufu asubui hii na vip risk ya kununua hizi disk ubovu sijui expire time
Mkuu, natamani kupata internet unlimited plan kwa bei poa. Sasa nakaa Kibamba, hakuna TTCL fibre wala tigo fibre. Nimeona Halotel wanasema wana plan ya kuuziwa line ambapo utakuwa unalipa Tshs. 50,000/= na kupata unlimited data. Kifaa cha kuwekea line utanunua mwenyewe. Swali langu kwa vile wewe ni pro wa haya mambo, vipi speed yao hawa jamaa ni poa? Router za bei nafuu ila kali ni zipi?Maximum 150K mtaani ila unapata hadi 100K,
Health wa naangalia, kama unatumia windows crystaldiskinfo unaangalia health ya disk,
Hapo kuna mambo mawiliMkuu, natamani kupata internet unlimited plan kwa bei poa. Sasa nakaa Kibamba, hakuna TTCL fibre wala tigo fibre. Nimeona Halotel wanasema wana plan ya kuuziwa line ambapo utakuwa unalipa Tshs. 50,000/= na kupata unlimited data. Kifaa cha kuwekea line utanunua mwenyewe. Swali langu kwa vile wewe ni pro wa haya mambo, vipi speed yao hawa jamaa ni poa? Router za bei nafuu ila kali ni zipi?
Kwa hizi HDD ye akae akijua hizo kudumu nazo ni kama unapoamua kuoa mke tu (NDOA)...Hakuna kitu kama expire time, disk inaweza kukaa miaka ishirini bila shida au ikafa ndani ya wiki hauwezi kutabiri zaidi ya kuchukua tahadhari za kawaida kama kutoidondosha.