Harambee za Lowassa zinakera

Harambee za Lowassa zinakera

mkimaliza ugomvi nitarudi,,,Lowasa go go go wapiiiii? o jimboni kwake ?kuweni makini Rais sio rahisi rahisi hivyo ,,kuna siku nitakuta jina la Kinana hapa nae anataka Urais
 
lowassa ndio kamchapa mwanao? Aliyemchapa mwanao hushughuliki nae, unashughulika na lowassa. hivi unataka kusema lowassa ndie kaagiza watoto wachapwe au?
 
MWALLA nimefuatilia hii habari sio ya kweli kabisa, hata sisi tuna watoto wanasoma pale mbona hatujaambiwa hiyo michango????
 
Ieleweke kuwa kiongozi yeyote mwenye kutaka kuwaletea maendeleo watu wake si lazima asubiri aingie ikulu.Lowasa anaongoza kwa vitendo na wenye akili timamu wanamtambua.
AKILI ZAKO NA ZA LOWASA NI HIZI HAPAA....
Wapo watanzania wenzetu wanaujua ukweli kuwa tuko zaidi ya watanzania mil.45 miongoni mwao wapo watu hawajawahi kulitia hasara taifa hata senti na ni wachapakazi lakini bado unakuta anatumia social media kumpigia debe Lowasa!

Pengine wanatumia kauli zake akiwa ndani ya kikao cha Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya Chama Cha Mapinduzi (CCM)ya ccm nanukuu "Mh. Mwenyekiti nilikuuliza mara nyingi kuhusu ufanisi wa hiyo kampuni lakini uliniambia unawafahamu na mchakato uendelee, inakuwaje unamwachia Nape azunguke nchi nzima kwa hela za Chama kunichafua" ,“Uliponitaka ushauri wa mtu wa kutusaidia ili kuondokana na aibu ya Richmond kushindwa kutimiza mkataba wake, nilipokutajia jina la Rostam, haraka ulikubali na kusema, naona hilo ni sawa,” Richmond Development Company (RDC), ilivyopewa zabuni ya kufua umeme wa dharura nchini ni kwa nukuu ya kwanza na Dowans nukuu ya pili.

Sasa kwa kauli hizo tu Lowasa munamuondoaje kwenye hizo kashifa na kuona anafaa kuliongoza taifa kama hata ushauri wake kwa raisi ulikuwa ni wa ovyo hata kama raisi aliupokea kwa mikono miwili! Nawataka munaompigia debe tazameni masilahi ya taifa kwa mapana mwingine ameenda shule lakini kakaza buti Lowasa Lowasa fikirieni sana!
 
mwalla nimefuatilia hii habari sio ya kweli kabisa, hata sisi tuna watoto wanasoma pale mbona hatujaambiwa hiyo michango????

hujanisoma weye makoyo.. Mtoto wangu hasomi hapo.. Ila hiyo harambee ndio itafanyika hapo st anthony.. Tujiulize tuu shule za lowasa za kata zipo kibao mbona hajachagua hata shule moja itumike kufanya hiyo harambee??
Hii nikudhihirisha kwamba shule za kata ni majanga tosha.
 
Wapo watanzania wenzetu wanaujua ukweli kuwa tuko zaidi ya watanzania mil.45 miongoni mwao wapo watu hawajawahi kulitia hasara taifa hata senti na ni wachapakazi lakini bado unakuta anatumia social media kumpigia debe Lowasa!

Pengine wanatumia kauli zake akiwa ndani ya kikao cha Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya Chama Cha Mapinduzi (CCM)ya ccm nanukuu "Mh. Mwenyekiti nilikuuliza mara nyingi kuhusu ufanisi wa hiyo kampuni lakini uliniambia unawafahamu na mchakato uendelee, inakuwaje unamwachia Nape azunguke nchi nzima kwa hela za Chama kunichafua" ,"Uliponitaka ushauri wa mtu wa kutusaidia ili kuondokana na aibu ya Richmond kushindwa kutimiza mkataba wake, nilipokutajia jina la Rostam, haraka ulikubali na kusema, naona hilo ni sawa," Richmond Development Company (RDC), ilivyopewa zabuni ya kufua umeme wa dharura nchini ni kwa nukuu ya kwanza na Dowans nukuu ya pili.

Sasa kwa kauli hizo tu Lowasa munamuondoaje kwenye hizo kashifa na kuona anafaa kuliongoza taifa kama hata ushauri wake kwa raisi ulikuwa ni wa ovyo hata kama raisi aliupokea kwa mikono miwili! Nawataka munaompigia debe tazameni masilahi ya taifa kwa mapana mwingine ameenda shule lakini kakaza buti Lowasa Lowasa fikirieni sana!
 
kwani temeke mbunge nani, hawezi kufanya harambee...?
 
AKILI ZAKO NA ZA LOWASA NI HIZI HAPAA....
Wapo watanzania wenzetu wanaujua ukweli kuwa tuko zaidi ya watanzania mil.45 miongoni mwao wapo watu hawajawahi kulitia hasara taifa hata senti na ni wachapakazi lakini bado unakuta anatumia social media kumpigia debe Lowasa!

Pengine wanatumia kauli zake akiwa ndani ya kikao cha Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya Chama Cha Mapinduzi (CCM)ya ccm nanukuu "Mh. Mwenyekiti nilikuuliza mara nyingi kuhusu ufanisi wa hiyo kampuni lakini uliniambia unawafahamu na mchakato uendelee, inakuwaje unamwachia Nape azunguke nchi nzima kwa hela za Chama kunichafua" ,“Uliponitaka ushauri wa mtu wa kutusaidia ili kuondokana na aibu ya Richmond kushindwa kutimiza mkataba wake, nilipokutajia jina la Rostam, haraka ulikubali na kusema, naona hilo ni sawa,” Richmond Development Company (RDC), ilivyopewa zabuni ya kufua umeme wa dharura nchini ni kwa nukuu ya kwanza na Dowans nukuu ya pili.

Sasa kwa kauli hizo tu Lowasa munamuondoaje kwenye hizo kashifa na kuona anafaa kuliongoza taifa kama hata ushauri wake kwa raisi ulikuwa ni wa ovyo hata kama raisi aliupokea kwa mikono miwili! Nawataka munaompigia debe tazameni masilahi ya taifa kwa mapana mwingine ameenda shule lakini kakaza buti Lowasa Lowasa fikirieni sana!
lowassa ni mchafu sawa,! ninan msafi ndan ya CCM?
 
Huyo mwizi hata acheze uchi kichawi Uraisi hapati ng'oo!!
Mihela ya wizi anayo mengi hata kwenye hisa za simu!! Amefilisi saana taifa angoje Serikali adilifu aendeupango!!!
 
Back
Top Bottom