PUMBAFUUUU....... Yaani mnaendekeza kumbeba fisadi serikali ipo wapi hiyo siyo kazi yetu kuchangia harambee za kipuuzi kwani michango ya shule tunaielewa lkn sio michango kama hii.. ya kampeni za kutaka urais tu
lowasa hawezi kuteuliwa kuwa rais kwa style anazotumia.. hela zake tunakula kama kawaida ila ajuee hawezi kuwa rais wa chi hiii atabaki kuwa mbunge wa monduli kwa huruma ya wamasai wake.
JK alishafunguka zamanii kuhusu lowasa kwamba hafai hata kwa kulumagia. TAMBUA HILO WSE MBURULAAA..[/COLOR][/SIZE][/B]
pole mkuu ila wewe ni mjumbe wa NEC wa CCM?