Kwahiyo wewe umeingiza hela kwa hii post yako ? Kweli lumumba imemwaga ajiraUmezoea kufanyiwa changia maendeleo ya elimu ya mtoto wako muda wa kuja kumchafua Lowasa JF ungeutumia kutafuta hiyo pesa.
Umezoea kufanyiwa changia maendeleo ya elimu ya mtoto wako muda wa kuja kumchafua Lowasa JF ungeutumia kutafuta hiyo pesa.
binti yangu amechapwa bakora kisa sijamlipia 5000= ya harambee ya lowasa hapa wilayani kwetu...
Imeniuma sana mtoto wangu kupewa adhabu wakati mzazi nipo. Je hiyo adhabu ndio uwe mchango wangu wa harambeee hiyoo ya lowasa???
Vilevile nashindwa kuelewa huyu lowasa yeye ni mbunge wa monduli.. Sasa kuja huku tmk kufanya kampeni hizo eti tuchangie halafu yeye atoe zake aunganishe na zetu .. Kwanza atueleze anazitoa wapi mbunge huyuu???
Vilevilee huku tmk yupo mbunge wetu iweje sasa yeye awe kama msindikizaji tu badala kuwa ndio mgeni mkuu apokee huo mshiko wa lowasa? Badala yake lowasa ndio kafanywa mgeni mkuu... Shame!!!
Kampeni za lowasa zilianzia makanisani baadae misikitini now! Zimehamia mashuleni tena tunaambiwa ni lazima kutoa hiyo harambee la sivyo mtoto hasomi shule..
Jamanii... Jamani... Wananchi wenzangu.. Hebu tusaidiane hili.. Kweli mwanangu afukuzwe shule kisa sijatoa 5000= ya harambee ya lowasa???
Ubwetee,kwani mara ngapi kaadhibiwa na wewe upo?binti yangu amechapwa bakora kisa sijamlipia 5000= ya harambee ya lowasa hapa wilayani kwetu...
Imeniuma sana mtoto wangu kupewa adhabu wakati mzazi nipo. Je hiyo adhabu ndio uwe mchango wangu wa harambeee hiyoo ya lowasa???
Vilevile nashindwa kuelewa huyu lowasa yeye ni mbunge wa monduli.. Sasa kuja huku tmk kufanya kampeni hizo eti tuchangie halafu yeye atoe zake aunganishe na zetu .. Kwanza atueleze anazitoa wapi mbunge huyuu???
Vilevilee huku tmk yupo mbunge wetu iweje sasa yeye awe kama msindikizaji tu badala kuwa ndio mgeni mkuu apokee huo mshiko wa lowasa? Badala yake lowasa ndio kafanywa mgeni mkuu... Shame!!!
Kampeni za lowasa zilianzia makanisani baadae misikitini now! Zimehamia mashuleni tena tunaambiwa ni lazima kutoa hiyo harambee la sivyo mtoto hasomi shule..
Jamanii... Jamani... Wananchi wenzangu.. Hebu tusaidiane hili.. Kweli mwanangu afukuzwe shule kisa sijatoa 5000= ya harambee ya lowasa???
Kwahiyo wewe umeingiza hela kwa hii post yako ? Kweli lumumba imemwaga ajira
Acheni akili za kitoto na kuungana mkono kwenye mambo ya kijinga,ebu muulize amechangia harusi ngapi tena zaidi ya hiyo pesa ya bia mbili kwa return ya kupigiwa makofi kikaoni lakini buku tano inamfanya aende kununua vocha na kuja kumsema mchangia maendeleo ya nchi.Shame on you Misukule
Ebu ficha ujinga wako muda wa siasa za majitaka umepitwa na wakati watanzania watamchagua mchapakazi na yule atakaewaletea maendeleo mengine baadae.
Mkuu kinachokuuma ni kipi kuchangia Elimu au mtoto wako kuchapwa?kama ni kuchangia Elimu basi humjali mwanao kwa kuto support juhudi za kuboresha Elimu anayopata,Kama ni kuchapwa JE unauhakika Lowasa ndiye aliyeagiza hivyo?,au una chuki binafsi na Lowassa?,taasisi kubwa za Elimu duniani zimefanikiwa kwa sababu kuna watu Kama Lowasa wanaochangia kila Mara,sasa kwa nini tutegemee tu Serkali kufanya kila kitu?, njia iliyotumika na waandaaji wa hiyo harambee ya kulazimisha watoto kwa kuwachapa sio sahihi lakini sidhani Kama Lowasa anaweza agiza vitendo hivyo.binti yangu amechapwa bakora kisa sijamlipia 5000= ya harambee ya lowasa hapa wilayani kwetu...
Imeniuma sana mtoto wangu kupewa adhabu wakati mzazi nipo. Je hiyo adhabu ndio uwe mchango wangu wa harambeee hiyoo ya lowasa???
Vilevile nashindwa kuelewa huyu lowasa yeye ni mbunge wa monduli.. Sasa kuja huku tmk kufanya kampeni hizo eti tuchangie halafu yeye atoe zake aunganishe na zetu .. Kwanza atueleze anazitoa wapi mbunge huyuu???
Vilevilee huku tmk yupo mbunge wetu iweje sasa yeye awe kama msindikizaji tu badala kuwa ndio mgeni mkuu apokee huo mshiko wa lowasa? Badala yake lowasa ndio kafanywa mgeni mkuu... Shame!!!
Kampeni za lowasa zilianzia makanisani baadae misikitini now! Zimehamia mashuleni tena tunaambiwa ni lazima kutoa hiyo harambee la sivyo mtoto hasomi shule..
Jamanii... Jamani... Wananchi wenzangu.. Hebu tusaidiane hili.. Kweli mwanangu afukuzwe shule kisa sijatoa 5000= ya harambee ya lowasa???
Nafikri tunahitaji tena ile sera ya kuzitaifisha hizi shule binafsi ili zisaidie watanzania wengi. Ada ziko juu michango ndo usiseme. Elimu ni huduma siyo biashara.TAREHE 26 OCT LOWASA MBUNGE WA MONDULI (SIYOWAZIRI MKUU MSTAFU NI WAZIRI ALIYETIMULIWA NA KIKWETE KWA MANUFAA YA NCHI) NDIO MGENI RASMI ANAKUJA KUFANYA HARAMBEE ST ANTONI SEC SCHOOL mbunge wetu WA TMK yeye anakuja kama mgeni mualikwa this is SHAME!!!!!!!!
Jana baada ya kusikia hilo Tangazo redioni likimtaja EL kuwa mgeni rasmi nilimuuliza wana-RC mkeleketwa aliyewahi kuniambia kuwa Yesu Kristu ndo mgeni rasmi katika ibada zao kuwa 'Ni lini Yesu Kristu amekoma kuwa mgeni rasmi mpaka mnamuita EL ndo awe mgeni rasmi kwenye ibada ya harambee? Au mkiwa mnatafuta pesa mnajaribu na sehemu nyingine?Tahere 27 Oct. atakuwa anaomba wananchi pesa kwa ajili ya kanisa la RC Kijenge Arusha.