Harambee za Lowassa zinakera

Harambee za Lowassa zinakera

Mzee wa upako ana usemi mmoja hivi,Watajaribu watashindwa,naona wapinzani wa lowassa mnahangaika sana kumchafua but lowassa ni kama bomu la nyukilia halizuiliki kwa maji ya mto ruvu,mtake msitake lowassa tutampa nchi 2015 kwahiyo anzeni kuzoea tu.
 
Unaweza kutuonyesha wapi kuna document lowassa alifukuzwa uwaziri mkuu?Watu kama nyinyi ndio mjiandae kupata brain concusion maana 2015 lowassa ndio atakuwa Raisi wako.
 
Back
Top Bottom