Harakati za Chadema na mbinu za kuchukuwa dola

Mkuu Kimbunga, Mkuu kingxvi, tatizo la Pro-Chadema wengi wao hawataki tutaje mapungufu ya Chadema sio siri nguvu ya Chadema kiuchumi na kiushawishi bado inabaki katika Kanda ya Kaskazini hii inatokana na ukweli waasisi wa chama na walezi wake wenye nguvu kiuchumi wanatoka kanda hiyo.



Hata kama wewe ni bingwa wa kuongopa, hapa umechemka cdm kinanguvu hata kusini nyanda za juu, mfano mbeya rukwa, iringa n.k. njama zako za kuingiza ukanda, ukabila, udini cdm, ushindwe na ulegee. Baba wa taifa alituonya, mwanasiasa aliyefilisika kama wewe hukimblia siasa za ukanda, ukabila na udini. Wewe ni mtu hatari kwa mustakabali wa taifa letu. Hii njaa yako ya siku moja isituharibie umoja na mshikamano wetu. Hapo kwenye kijani sijakuelewa, ulitaka waasisi wa cdm watoke wapi? Msoga chalinze kwa wakwele?
 
Nilichokiona kwenye andiko lako ni kulalamika au kuilaumu CHADEMA bila kuwa na Taharifa za Kutoka au kutaka kupotosha kwa makusudi na kuamau kutoitendea CHADEMA haki.unapotoa maoni kama hayo kwa CHADEMA sijui unaifananisha na CHAMA gani hapa nchini-Tanzania kwasasa labda ungeweka hilo wazi ningeweza kujua upo makini kwa kiwango gani.

Angalizo ni kwamba si sawa kuifananisha CHADEMA na CCM(muda uliokaa madarakani,fursa juu ya rasilimali za taifa) na ukijaribu kuifananisha CHADEMA na VYAMA VYA UPINZANI tulivyonavyo sasa kwenye ulingo wa siasa za Tanzania kama NCCR-MAGEUZI, CUF, TLP, UDP nk nk bado unakuwa huitendei haki CHADEMA wala vyama hivi(NCCR-MAGEUZI, CUF, TLP, UDP, DP NK NK) maana watanzania wote wanaofuatili kwa karibu siasa za Tanzania tunaona jinsi vyama hivi vinavyoendesha siasa zake(NCCR-MAGEUZI-Mwenyekiti na ubunge wa James Mbatia,TLP-Mwenyekiti na ubunge wa A.L.Mrema,DP na uchaguzi wa mdogo wa Tarime kujaza nafasi ya Chacha Wangwe,CUF na serikali ya umoja ZNZ(CCM/CUF)

CHADEMA inafanya siasa katika mazingira ambapo watawala wameshindwa kutawala lakini wanataka kuendelea kutawala na hawataki kuambiwa kuwa wameshindwa na wanapoambiwa wapo tayari kuangamiza yeyote hili wao waendelee kutawala na kufaidi keki ya taifa wao,familia na maswaiba zao.

Mfano mzuri ni jinsi serikali inavyoshughulikiwa Migomo ya Madaktari(matumizi ya nguvu-kuteka na kutesa, kutumia mahakama vibaya,kutumia bunge vibaya-kuzuia mijadala ya wabunge),walimu(kukataa/kushindwa kutekeleza madai ya walimu), kulipa viongozi wa kisiasa maslahi manono kuliko kada nyingine zote,kutenga mabilioni kwa TUME ya maoni ya KATIKA wakati nchi ipo katika kipindi kigumu.

Katika andiko lako unaonekana kuteswa sana na siasa za ukanda ndio maana unashindwa kuzungumzia/kujadili sifa kiongozi bora CHADEMA inayemhitaji unazungumzia/jadili kanda/eneo atakalo toka kiongozi /Mgombea wa CHADEMA.

CHADEMA wanaangalia kiongozi mwenye zifa za uongozi na mwenye kuweza kutimiza ahadi, kutatua matatizo ya watanzania na kutimiza malengo ya chama-CHADEMA bila kujali anoka kanda ipi? Baba wataifa aliwahi kuwaasa watanzania kuhusiana na suala hili Kwamba watanzania waangalie sifa za kiongozi bila kujali anatoka Bara au Visiwani!

Suala la ufuasi,ushabiki,uanachama,ndiyo mtaji wa chama cha siasa na unaonekana kuwa huna uhakika na idadi wa wanachama wa CHADEMA,wafuasi na mashabiki lakini kaa ukijua kuwa CHADEMA kinawahitaji hawa wote(MASHABIKI,WAFUASI,WANACHAMA)maana wanasifa za kupiga KURA.

CHADEMA NI CHAMA MAKINI NA WATAZANIA TULIOWENGI TUNAKIANGALI KAMA CHAMA AMBAPO KINASIFA ZOTE ZA KUPEWA DHAMANA YA KUWAONGOZA WATANZANIA HASA KATIKA KIPINDI HIKI AMABAPO CCM IMEPOTEZA MVUTO NA KUANDA NA MIGOGORO NA MAKUNDI NDANI YAKE,WATANZANIA TUNAJUA INAKOELEKEA CCM NI KULE ILIPO KANU-KENYA,UNIP-ZAMBIA.
Mdau-mfuasi na shabiki wa CHADEMA.
 
Wanabodi.

Chama cha Demokrasia na Maendeleo Chadema, kinafanya harakati na mbinu kuchukuwa dola lakini kuna mapungufu mengi sana ambayo ni kikwazo bahati mbaya Chadema wenyewe hawatambui hivyo vikwazo ndani ya chama chao..

Chadema bado wanategemea wanachama wasiotabirika, wanachama wake ni wale wanaoingia wakati wa mikutano ya hadhara na maandamano, Chadema wamekosa uhalali wa mtawanyo wa wanachama hai katika kila kona ya nchi.

Chadema baada kupata mafaniko katika uchaguzi mkuu uliopita wamejikuta wakihodhi wajibu wa jamii kisiasa kwa niaba ya vyama vingine wakihisi kwamba wao ni bora zaidi mbele ya jamii kuliko vyama vingine vyote nchini..

Chadema mpaka sasa hawajawa na uhakika wa jinsi ya kumpata kiongozi wa juu katika nafasi ya Mwenyekiti au Urais kutoka kanda nyingine, Chadema kimeweza kupata umaarufu kisiasa lakini bado wanakabiliwa na tatizo la umakini, uzoefu na mbinu nina hakika uteuzi wa mgombea urais kutoka Chadema ataleta mtarafuku mkubwa ndani ya chama hicho viongozi wa Chadema kutoka kanda zingine hawataafiki mgombea urais atoke eneo moja tu kila uchaguzi.

Chadema inasumbuliwa na kasumba ya ubinafsi na upendeleo wa kifamilia, Chadema wamejikuta wakipiga teke demokarasia ndani ya chama chao na wabunge wake wa viti maalum wengi wao wanatoka katika koo za waasisi wa chama.

Kuongea sana si akili ndo mfumo uutumiao, mnamlalamika asiyetawala inakusaidia nini? Wasaidie wenzako watawala kutekeleza majukumu yako ktk kuondoa migogoro iliyopo badala ya kuanza kufikiria CHADEMA ambayo si mtawala haikusaidii.
 
Kwanza nikiri kwamba kukosoa ni utamaduni wa kujenga, hapo hakuna shaka.

Umeanza vizuri kabisa mkuu, ila mimi napingana na wewe kidogo hapo kwenye red. Sishangai kwani unapokuwa vitani huchagui silaha. Na hii imekuwa silaha ambayo wapinzani wa CDM wamekuwa wakiitumia kwa muda mrefu sasa, inagawa binafsi naona kama kwa sasa haina nguvu sana ktk vita hii.

Kitu ambacho watu wengi sasa, ama kwa makusudi au kwa kutokujua, mfumo wa kisiasa wa sasa sio kama ule wa kumwondoa mkoloni. Kipindi cha uhuru, adui alikuwa mkoloni, kwa hiyo vuguvugu la mageuzi lilijumuisha jamii zote za kitanzania. Ila kwa sasa ni tofauti, vuguvugu la mageuzi linahusu jamii moja, yaani familia moja(Tanzania). Kwa maana kwamba unapambana na adui ambaye ni ndugu yako, ili upate support itategemea jinsi gani utawashawishi wanafamilia wenzako kukuunga mkono.

Kwa maana hii mwanzo wa mageuzi lazima utaanza na mtu mmoja, kisha wawili, theni watatu, wanne, watano.... nk. Kwa vyoyote huwezi kuanza na kupata wafuasi wengi kwa mara moja. Hilo sijui kama unalitambua au la, ila kumbuka unapokuwa unaanza vuguvugu kama hili adui yako naye hajalala. Lazima na yeye anatafuta mbinu za kukudhoofisha, ndio maana hapa hata wewe unatumika kuwadhoofisha wapinzani. Hii ni haki yako kabisa, maana haya ni mapambano.

Kwa issue ya ukanda au ukabila/familia halina tofauti na maelezo yangu ya hapo juu. Siku zote vuguvugu la mageuzi huanza na watu wenye mawazo na itikadi inayofanana. Hii haimfungi mtu kuanza na jamaa zake, wafanyakazi wenzake, marafiki zake kwa sababu unapoanza kunadi sera zako ni lazima utaanza na watu walio karibu yako. Na hii ina sababu nyingi tu, maana pengine ndio watu unaowaamini, mimi sioni kama hilo ni tatizo. Hata wewe kesho ukifikiria kuanzisha taasisi fulani, watu wa kwanza kuwaona lazima ni watu wako wa karibu unaodhani unawaamini.

Kuhusu kuenea sehemu mbalimbali nchini, hii iko wazi. Moto siku zote utaanza na majani makavu point A kisha utaenea hadi point B, C, D....nk. Namaanisha kwamba kuenea kwa CDM sehemu mbalimbali nchini kutategemea uwezo na kasi yake ya kujinadi, ambayo hata hivyo lazima ku'overcome resistance kutoka kwa wapinzani wake wanaozidi kila kukicha. Lakini hata hivyo wanajitahidi, maana hata wewe umekiri kwamba uchaguzi uliopita wamepata mafanikio fulani. Huu kwao ni mwanzo mzuri.

Kuhusu mgogoro wa uongozi ndani ya chama, mimi huwa sipendi kuishi kwa hisia. Maana mambo mengi yamekuwa yakichukuliwa kwa
'hear said' tuuu, lakini ukijakufuatilia unakuta ni mbinu tu za kuwombea adui yako njaa. Lakini ukweli unabaki kwamba muda huo ukifika kila kitu kitakuwa wazi, tutajua nani ndiye nani.

Ninachosisitiza ni kwamba,sio tu CDM, bali hata vyama vingine vilivyopo na vitakavyoanzishwa, visinyimwe fursa ya kujieneza kwa sababu nyepesi nyepesi kama hizi ulizotoa hapa. Waachwe watanzania wachague vyama na viongozi wanaowataka.

Nadhani nimeeleweka mkuu.

:flypig:Hivi kweli ninyi wakuu mnamachungu na hiyo CDM? Kama mnaipenda TZ Mbona hamwashauri waupande wa CCM kuacha madudu yao na kuwahudumia wananchi, kwanini kila mara chadema tu? mnaipenda hiyo chadema? mko kazini au nini tafisili yake?
 
Wanabodi.

Chama cha Demokrasia na Maendeleo Chadema, kinafanya harakati na mbinu kuchukuwa dola lakini kuna mapungufu mengi sana ambayo ni kikwazo bahati mbaya Chadema wenyewe hawatambui hivyo vikwazo ndani ya chama chao..

Chadema bado wanategemea wanachama wasiotabirika, wanachama wake ni wale wanaoingia wakati wa mikutano ya hadhara na maandamano, Chadema wamekosa uhalali wa mtawanyo wa wanachama hai katika kila kona ya nchi.

Chadema baada kupata mafaniko katika uchaguzi mkuu uliopita wamejikuta wakihodhi wajibu wa jamii kisiasa kwa niaba ya vyama vingine wakihisi kwamba wao ni bora zaidi mbele ya jamii kuliko vyama vingine vyote nchini..

Chadema mpaka sasa hawajawa na uhakika wa jinsi ya kumpata kiongozi wa juu katika nafasi ya Mwenyekiti au Urais kutoka kanda nyingine, Chadema kimeweza kupata umaarufu kisiasa lakini bado wanakabiliwa na tatizo la umakini, uzoefu na mbinu nina hakika uteuzi wa mgombea urais kutoka Chadema ataleta mtarafuku mkubwa ndani ya chama hicho viongozi wa Chadema kutoka kanda zingine hawataafiki mgombea urais atoke eneo moja tu kila uchaguzi.

Chadema inasumbuliwa na kasumba ya ubinafsi na upendeleo wa kifamilia, Chadema wamejikuta wakipiga teke demokarasia ndani ya chama chao na wabunge wake wa viti maalum wengi wao wanatoka katika koo za waasisi wa chama.


Wewe shugulikia makundi yanayokitesa chama cha mapinduzi.Chadema achananayo utakufa kwa presure
 
maadam umeanzisha wewe hii thread hata kusoma sisomi inaweza kunitumbukiza kwenye ban
 
Wanazi wa CDM ningependa kuona hoja za Ritz zinapanguliwa kwa kujibiwa kwa hoja nzito zilizosheheni mifano hai.Natamani sana wanazi wa CDM kama wangejifunza kitu toka kwa Mkuu Nguruvi3 , joka Kuu , Mkandara au Waberoya hakika mngekijengea heshima chama chenu kuliko kuvurumisha matusi.
 
Last edited by a moderator:
Chadema inasumbuliwa na kasumba ya ubinafsi na upendeleo wa kifamilia, Chadema wamejikuta wakipiga teke demokarasia ndani ya chama chao na wabunge wake wa viti maalum wengi wao wanatoka katika koo za waasisi wa chama.
Mkuu Ritz uko sahihi kwenye Red Natoa Orodha ili ku support:
  1. Vita Kawawa
  2. Zainab Kawawa
  3. Magreth sita
  4. Husein Mwinyi
  5. Abdallah Mwinyi -EA
  6. Makongoro Nyerere
  7. Januari Makamba
  8. Mtoto wa Bilal -EA
  9. Aman Karume -SMZ
  10. Anna Malecela
  11. Nape Nnauye
  12. Ridhwani Kikwete - Kamati ya Utekelezaji UVCCM(T)
  13. Salma Kikwete - Mkutano Mkuu CCM (T)
  14. Zarina Madabida
  15. Janath Kahama
  16. ....
  17. Endelea.
 
Rtz mnataka muendelee kujlmbkizia mali sio kwa kununua malor na kugawana migod na mahotel na tenda tanesco....jpange huna hoja
 
Kwa namna unavyomtetea mbatia hapa JF, kuna uwezekano mkubwa wewe ndiye mbatia mwenyewe ama la amekutuma kumuwakilisha hapa JF.
Kwa taarifa yako tu ni kwamba mbatia si tishio hata kidogo katika siasa za upinzani, bora mara kumi ukimtaja kafulila kidogo watu watakuelewa kwamba umemtaja mpinzani, lakini mbatia anafahamika siku nyingi kabla chadema haijakuwa na umaarufu ilionao leo hii kwamba ni pandikizi la ccm. Hili halihitaji mtu kujitoa akili kulitetea kwakuwa liko wazi mno.

Kwahiyo kinachotokea hapa ni wanamageuzi kukereka na tabia ya mbatia ya kujivisha koti la upinzani wakati ndani ni ccm dam dam. Na kama akiachiwa afanikishiwe mpango wa kukabidhiwa uenyekiti wa POAC ni dhahiri kwamba mashirika yetu ya umma yatakuwa ni sawa na "yamelambishwa madawa ya kulevya" hivyo kutokuwepo matarajio yoyote ya kuwa productive. Yatasinzia ili ili mafisadi wa ccm wanyonye kadri wanavyotaka, hadi siku ulevi ukiisha, tunakuta mashirika yetu ya umma yamefilisika/yame collapse.

Kwakuwa wananchi wazalendo hawapendi kuona hilo likitokea ndio maana unaona wanapaza sauti ya kutahadharisha mashirika yetu ya umma kuwekwa rehani kwa kumkabidhi uenyekiti wa kamati ya bunge mteule wa mwenyekiti wa ccm.

'Kazi nzuri msemaji wa CHADEMA'
 
Mkuu Mkandara, pole sana kwa kujiunga na wapuuzi wanaodai ati Mbatia anaitaka nafasi ya Zitto. Huo upuuzi wenu unatokana na hofu mliyonayo juu ya yeyote mnayedhani ni tishio kwa nafasi iliyowajaza kiburi ya kuwa chama cha upinzani chenye wabunge wengi kwa sasa.
Kila kukicha hata litokee tatizo la vumbi kuingia ofisini kwenu pale Kinondoni, mnakurupuka kama washirikina vile, 'atakua Mbatia huyo'. Nasema tena poleni sana.
Aidha, hili la sasa la kashfa ya rushwa mnalo, maana kwa taarifa yenu wananchi sasa wanashindwa kutofautisha mafisadi wa CCM na wala rushwa wanafiki wa chama chenu.
Mkuu wangu inasemekana Mbatia kisha enda kuomba na aliyemuomba ndiye kazitoa habari nje zikatufikia hata kabla sijazisoma hapa JF..Waswahili wanasema lisemwalo lipo na licha ya hivyo vita kubwa ya wabunge miaka yote ni kuingia katika kamati hizi maana kuna ulaji. Na Jana mkutano wa Zitto kulikuwa na harufu ya kitu kama hiki vile vile...Wa mujini tunamfahamu Mbatia, kwa hiyo usiende kusiko takiwa mkuu wangu, tuyaache kama yalivyo unajua tena wengine sisi wasema ovyo hatuna Brake.. Fanya staha kidoooogo..

Ikiwa Mbatia kaweza kusujudu kwa JK akaingizwa Bungeni wakati ni mbunge wa Upinzani hudhani kwamba Mbatia anaweza hata kumuuza mwanaye ili afanikiwe kisiasa.. How in the hell can a President elect a member of Parliament from the opposition party?.. akaacha wanachama wake wooote millioni 4, hata iwe Nape Mnauye au yeyote ila mpinzani aitwaye Mbatia?..
- Sijawahi kusikia kitu hii..
 
Mkuu wangu inasemekana Mbatia kisha enda kuomba na aliyemuomba ndiye kazitoa habari nje zikatufikia hata kabla sijazisoma hapa JF..Waswahili wanasema lisemwalo lipo na licha ya hivyo vita kubwa ya wabunge miaka yote ni kuingia kabita kamati hizi. Na Jana mkutano wa Zitto kulikuwa na harufu ya kitu kama hiki vile vile...Wa mujini Mbatia kwa hiyo usiende kusiko takiwa mkuu wangu, tuyaache kama yalivyo unajua tena wengine sisi wasema ovyo hatuna Brake.. Fanya staha kidoooogo..

Ikiwa Mbatia kaweza kusujudu kwa JK akaingizwa Bungeni wakati ni mbunge wa Upinzani hudhani kwamba Mbatia anaweza hatab kumuuza mwanaye ili afanikiwe kwa jambo.. How in the hell can a President elect a member of Parliament from the opposition party?.. akaacha wanachama wake wooote millioni 4, hata iwe Nape Mnauye au yeyote ila mpiunzani aitwaye Mbatia?..
- Sijawahi kusikia kitu hii..

Hujawahi kusikia kwa sababu hujui kwamba Hamad Rashid na Ismail Jussa waliwahi kuteuliwa na rais kuwa wabunge, wakitokea upinzani. Hujawahi kusikia mtu yoyote wa CHADEMA akiteuliwa na Rais kwenye kamati/tume ya madini.
Kama ulivyoeleza, inasemekana, na bila shaka msemaji ni wewe. Kwamba Mbatia aliomba Ubunge kwa JK hilo nalo ni tungo yako. Endelea kutunga, utaweza kuwa na stori nzuri tu ya kuwafurahisha wanaoamini maneno yako.
Siendelezi ligi na wewe.
 
Hujawahi kusikia kwa sababu hujui kwamba Hamad Rashid na Ismail Jussa waliwahi kuteuliwa na rais kuwa wabunge, wakitokea upinzani. Hujawahi kusikia mtu yoyote wa CHADEMA akiteuliwa na Rais kwenye kamati/tume ya madini.
Kama ulivyoeleza, inasemekana, na bila shaka msemaji ni wewe. Kwamba Mbatia aliomba Ubunge kwa JK hilo nalo ni tungo yako. Endelea kutunga, utaweza kuwa na stori nzuri tu ya kuwafurahisha wanaoamini maneno yako.
Siendelezi ligi na wewe.
Mbatia mkuu wangu ya nini yote haya wakati tunakujua vizuri unataka kwenda kusiko babuuu.. Hiki kijiwe tu, imesemekana unautafuta Uenyekiti na habari zimeshasambaa wala sii uongo hivyo yaache yapite kama sii kweli itajulikana. Kuingia kwako bungeni haikuwa bure na historia yako kisiasa tunaijua vizuri usifikirie siri wala tusiende huko dogo haifai...Eeeeeh!
 
Mbatia mkuu wangu ya nini yote haya wakati tunakujua vizuri unataka kwenda kusiko babuuu.. Hiki kijiwe tu, imesemekana unautafuta Uenyekiti na habari zimeshasambaa wala sii uongo hivyo yaache yapite kama sii kweli itajulikana. Kuingia kwako bungeni haikuwa bure na historia yako kisiasa tunaijua vizuri usifikirie siri wala tusiende huko dogo haifai...Eeeeeh!

Mkandara unaanza kunifurahisha sasa, yaani umeshupalia kwamba mimi ni Mbatia, endelea tu kuamini hivyo. Kila ukimwona Waridi mtandaoni jua tu ni Mbatia itakusaidia sana. Siku nyingine nambie tukutane saa ngapi mtandaoni unipe mbinu za kuwa mwenyekiti wa kamati yoyote nitakayoitaka, au sio
(Bojosi Mkandara, inye tindi mkaskazini ndi mhaya nkaiwe, noyenda nkugambile ndi wa kyalo ki, iwe owanyu ninkaa?)
 
Mkandara unaanza kunifurahisha sasa, yaani umeshupalia kwamba mimi ni Mbatia, endelea tu kuamini hivyo. Kila ukimwona Waridi mtandaoni jua tu ni Mbatia itakusaidia sana. Siku nyingine nambie tukutane saa ngapi mtandaoni unipe mbinu za kuwa mwenyekiti wa kamati yoyote nitakayoitaka, au sio
(Bojosi Mkandara, inye tindi mkaskazini ndi mhaya nkaiwe, noyenda nkugambile ndi wa kyalo ki, iwe owanyu ninkaa?)
Hapana mkuu wangu kama wewe sii Mbatia basi wa maajabu sana kwa sababu huwezi kumwekea mtu mdhamana aina yako. Mimi hapa siwezi kuwekea mdhamana maisha ya mtu, sii huyo Dr.Slaa wala Mama yangu mzazi kwa sababu yeye ni binadamu na anakutakana na majaribio ambayo siwezi kuwa shahidi wa kila kitu, kuna vitu sivijui..

Again, nashukuru sana kila mara nilikuwa najaribu sana kutafuta what in common between Mbatia, Hamad Rashid na kina Jussa... sasa naweza unganisha dots japokuwa bado sina ushahidi wa kutosha. Mimi sio Mhaya ila mtani wenu Mkerewe wa Kisorya kwa Msilanga...
 
Hapana mkuu wangu kama wewe sii Mbatia basi wa maajabu sana kwa sababu huwezi kumwekea mtu mdhamana aina yako. Mimi hapa siwezi kuwekea mdhamana sii huyo Dr.Slaa wala Mama yangu mzazi kwa sababu yeye ni binadamu na anakutakana na majaribio..

Again, nashukuru sana kila mara nilikuwa najaribu sana kutafuta what in common between Mbatia, Hamad Rashid na kina Jussa... sasa naweza unganisha dots japokuwa bado sina ushahidi wakutosha. Mimi sio Mhaya ila mtani wenu Mkerewe wa Kisorya kwa Msilanga...

Japo Mkerewe lakini umenielewa.
Hakuna cha ajabu, mimi nshasema wazi hapa JF kuwa ni mwanachama wa NCCR, na sipendi maproCDM mnavyomchafua mwenyekiti wangu utadhani aliua mtoto wenu.

Kwa kuwa unapenda kujua connections. Usichunguze hilo la Jussa na Hamad, chunguza pia haya mashindano na misigishano kati ya CDM na NCCR chimbuko lake nini. Ingiza majina ya akina Marando, Baregu, Mnyika, Komu, Abwao, Selasini, Lissu, Marehemu Wangwe na wengine ambao wamekuwa wanachama wa vyama hivi viwili kwa nyakati tofauti, walipoondoka kwetu yapo waliyotwambia watahakikisha yanafanikiwa dhidi ya NCCR. Tunapoona uchafuzi huu, hatusahau kauli zao.

Mashabiki wa leo (pengine ukiwemo na wewe) ndio wanadandia msafara kwa mbele bila kujua chimbuko.
Mtani wangu, kama hujawahi kuwa mwanachama wa chama cha siasa basi nikujulishe, kwa ushindani uliomo ndani ya siasa, watu wako tayari kuzua lolote dhidi ya wengine ili wao wa-shine.

Sasa wewe ukishikiria kwamba inasemekana hivi, inasemekana vile, siwezi kukuzuia kuamini kila utakachoamua kuamini au kuconclude wewe mwenyewe.
Sasa furu unazo mtani nije kuchukua?
 
Japo Mkerewe lakini umenielewa.
Hakuna cha ajabu, mimi nshasema wazi hapa JF kuwa ni mwanachama wa NCCR, na sipendi maproCDM mnavyomchafua mwenyekiti wangu utadhani aliua mtoto wenu.
Kwa kuwa unapenda kujua connections. Usichunguze hilo la Jussa na Hamad, chunguza pia haya mashindano na misigishano kati ya CDM na NCCR chimbuko lake nini. Ingiza majina ya akina Marando, Baregu, Mnyika, Komu, Abwao, Selasini, Lissu, Marehemu Wangwe na wengine ambao wamekuwa wanachama wa vyama hivi viwili kwa nyakati tofauti, walipoondoka kwetu yapo waliyotwambia watahakikisha yanafanikiwa dhidi ya NCCR. Tunapoona uchafuzi huu, hatusahau kauli zao.
Mashabiki wa leo (pengine ukiwemo na wewe) ndio wanadandia msafara kwa mbele bila kujua chimbuko.
Mtani wangu, kama hujawahi kuwa mwanachama wa chama cha siasa basi nikujulishe, kwa ushindani uliomo ndani ya siasa, watu wako tayari kuzua lolote dhidi ya wengine ili wao wa-shine. Sasa wewe ukishikiria kwamba inasemekana hivi, inasemekana vile, siwezi kukuzuia kuamini kila utakachoamua kuamini au kuconclude wewe mwenyewe.
Sasa furu unazo mtani nije kuchukua?
Mkuu mimi sina matatizo kabisa na NCCR tena naweza kusema NCCR toka kuanzishwa kwake ni chama kilichokuwa na dira kisiasa, lakini kimevurugwa na watu ambao wengi wao ni opportunist. Na pengine wewe jiulize why kila mtu Mbatia? kwa nini wasikuseme wewe au viongozi, na hata watu wengine isipokuwa Mbatia tuuu. Kwa nini kila siku tunamzungumzia Jussa humu au Hamad na hata Zitto lazima kuna sababu hakuna mtu anayewapenda saana kwa sura zao.

I mean iweje hawa tuu kila siku kama ni wivu kwani hakuna wabunge wengine? hakuna kamati nyingine na wenyeviti wake iweje hawa watu ndio kila siku kwenye kurasa za mbele ya magazeti?.. walichonacho kuna wabunge zaidi ya mia wanacho, Je, hawa wana tofauti gani..Ukiweza kujiuliza hivyo utaelewa sababu za hao woote ulowataja hapo juu kwa nini waliondoka NCCR na kwenda vyama vingine. NCCR kimeharibiwa na watu ambitious wenye tamaa waloingia kwa matarajio binafsi makubwa na sio swala la itikadi au sera zake...
 
Mkuu mimi sina matatizo kabisa na NCCR tena naweza kusema NCCR toka kuanzishwa kwake ni chama kilichokuwa na dira kisiasa, lakini kimevurugwa na watu ambao wengi wao ni opportunist. Na pengine wewe jiulize why kila mtu Mbatia? kwa nini wasikuseme wewe au viongozi, na hata watu wengine isipokuwa Mbatia tuuu. Kwa nini kila siku tunamzungumzia Jussa humu au Hamad na hata Zitto lazima kuna sababu hakuna mtu anayewapenda saana kwa sura zao.
I mean iweje hawa tuu kila siku kama ni wivu kwani hakuna wabunge wengine? hakuna kamati nyingine na wenyeviti wake iweje hawa watu ndio kila siku kwenye kurasa za mbele ya magazeti?.. walichonacho kuna wabunge zaidi ya mia wanacho, Je, hawa wana tofauti gani..Ukiweza kujiuliza hivyo utaelewa sababu za hao woote ulowataja hapo juu kwa nini waliondoka NCCR na kwenda vyama vingine. NCCR kimeharibiwa na watu ambitious wenye tamaa waloingia kwa matarajio binafsi makubwa na sio swala la itikadi au sera zake...

Mkuu,
Maswali mazuri, lakini hujauliza swali moja muhimu; ni namna gani bora ya kupata majibu sahihi ya maswali haya?

Nakupa dondoo fupi tu za kwanini Mbatia
  • miaka ya tisini, kijana Mbatia (born 1964) alifukuzwa chuo kikuu cha Dar es salaam kwa kushiriki mgomo wa wanafunzi uliopinga kufukuzwa kwa madaktari. Serikali ya Mzee Mwinyi iliamuru asirejee kamwe katika chuo kikuu chochote nchini kwa ajili ya masomo
  • miaka hiyo Mbatia akajiunga na NCCR, hatimaye akafanikiwa kuwa Mbunge wa Vunjo. Ulipotokea mgogoro wa Mrema na Marando, Mbatia akawa upande wa Marando uliokuwa ukipinga uimla wa Mrema. Mrema akamshitaki Mbatia huko kwao uchaggani 'kijana huyu hana adabu wasee wangu, hata kama kafanya masuri jimboni asingenipinga mimi Lyatonga'. Ubunge wa Mbatia ukayeyuka.
  • Wakati huo huo, Marando akanadi hadhani kwamba yeye ni shushushu aliyekubuhu, hakuna mbinu ya CCM asiyoijua. Mrema naye shushushu. Matokeo yake NCCR kikadhaniwa ni chama cha mashushushu. Mbatia hadi leo anashukiwa hivyo (na hii ilikuwa moja kati ya madai ya ile kambi iliyotaka kumng'oa mwaka jana)
  • Ikaja 1999, Mbatia kagombea uenyekiti wa chama akamshinda Marando. Kushindwa kwa Marando kulitokana na kashfa iliyozuka kipindi hicho kwamba kuna malipo ya ruzuku ya ziada kutoka kwa msajili wa vyama ambayo yalikuwa hayafiki chamani, yanaishia mfukoni mwa Marando na wenzake (ambao wengine ndio hao kwenye orodha niliyokutajia). Huku Marando akimalizwa na hilo, akina Ndemara wakampaka tope Mbatia kwa kuchora picha chafuchafu kumhusu. Lakini hazikusaidia akashinda.
  • Miaka ya 2000s Mbatia akapinga wagombea wa CUF ambao walikuwa hawaqualify (Hilo lilikuwa kosa lake kubwa kisiasa, ndio yakaibuliwa maneno kwamba huyu si mpinzani)
  • 2009, Mbatia akasema Mkapa aachwe, maana kumsakama kutaibua vurugu kubwa nchini (oh oo, kosa jingine)
  • 2010 akamshitaki Mdee kwa kuwita kibaraka, anapewa 40m na CCM kila wiki (wepesi wakaamini. Hii habari ukimwuliza Mdee mwenyewe atakwambia lengo lake kusema hivyo lilkuwa nini). Mdee hatimaye alimwomba Mbatia yaishe, na Mbatia akamsamehe.
  • 2011, akaibuka Kafulila na kundi lake wanapanga mapinduzi dhidi ya Mbatia. Kombora lilipowageukia, Mbatia akaonekana ye ndo mbaya, atafukuzaje Mbunge? Wakati maskini ya Mungu Mbatia alisimama kumwombea msamaha Kafulila mbele ya kikao, akaambulia kuambiwa kama yeye Padri basi aache uenyekiti akaanzishe kanisa.
  • 2012 Mbatia akateuliwa na rais kuwa Mbunge (enkhe, kosa jingine?)
  • Sasa hii ya juzi, kisa naye kashiriki kusema kuna wabunge wamehongwa ili kutetea uozo ndani ya TANESCO, basi nalo kosa, anataka uenyekiti wa kamati.

Haya, we ukipenda endelea kumhukumu unavyojua. Lakini mtani wangu, haya unayoyaona nje ni matone ya maji baharini. Watu wamelala makaburini, watu wana hirizi viunoni, watu wamefukia kondoo wazima wazima kama tambiko kuwafitini wenzao. Nguvu za giza ni nyingi katika siasa, tumwombe Mungu aliyeiumba Tanzania, aweke nuru katika siasa, vinginevyo .... Lakini mimi naamini, no matter what, mwenye haki ataendelea kusimama hata atupiwe jini Berzebuur. Niishie hapa kwa leo.
 
Mkuu,
Maswali mazuri, lakini hujauliza swali moja muhimu; ni namna gani bora ya kupata majibu sahihi ya maswali haya?

Nakupa dondoo fupi tu za kwanini Mbatia
  • miaka ya tisini, kijana Mbatia (born 1964) alifukuzwa chuo kikuu cha Dar es salaam kwa kushiriki mgomo wa wanafunzi uliopinga kufukuzwa kwa madaktari. Serikali ya Mzee Mwinyi iliamuru asirejee kamwe katika chuo kikuu chochote nchini kwa ajili ya masomo
  • miaka hiyo Mbatia akajiunga na NCCR, hatimaye akafanikiwa kuwa Mbunge wa Vunjo. Ulipotokea mgogoro wa Mrema na Marando, Mbatia akawa upande wa Marando uliokuwa ukipinga uimla wa Mrema. Mrema akamshitaki Mbatia huko kwao uchaggani 'kijana huyu hana adabu wasee wangu, hata kama kafanya masuri jimboni asingenipinga mimi Lyatonga'. Ubunge wa Mbatia ukayeyuka.
  • Wakati huo huo, Marando akanadi hadhani kwamba yeye ni shushushu aliyekubuhu, hakuna mbinu ya CCM asiyoijua. Mrema naye shushushu. Matokeo yake NCCR kikadhaniwa ni chama cha mashushushu. Mbatia hadi leo anashukiwa hivyo (na hii ilikuwa moja kati ya madai ya ile kambi iliyotaka kumng'oa mwaka jana)
  • Ikaja 1999, Mbatia kagombea uenyekiti wa chama akamshinda Marando. Kushindwa kwa Marando kulitokana na kashfa iliyozuka kipindi hicho kwamba kuna malipo ya ruzuku ya ziada kutoka kwa msajili wa vyama ambayo yalikuwa hayafiki chamani, yanaishia mfukoni mwa Marando na wenzake (ambao wengine ndio hao kwenye orodha niliyokutajia). Huku Marando akimalizwa na hilo, akina Ndemara wakampaka tope Mbatia kwa kuchora picha chafuchafu kumhusu. Lakini hazikusaidia akashinda.
  • Miaka ya 2000s Mbatia akapinga wagombea wa CUF ambao walikuwa hawaqualify (Hilo lilikuwa kosa lake kubwa kisiasa, ndio yakaibuliwa maneno kwamba huyu si mpinzani)
  • 2009, Mbatia akasema Mkapa aachwe, maana kumsakama kutaibua vurugu kubwa nchini (oh oo, kosa jingine)
  • 2010 akamshitaki Mdee kwa kuwita kibaraka, anapewa 40m na CCM kila wiki (wepesi wakaamini. Hii habari ukimwuliza Mdee mwenyewe atakwambia lengo lake kusema hivyo lilkuwa nini). Mdee hatimaye alimwomba Mbatia yaishe, na Mbatia akamsamehe.
  • 2011, akaibuka Kafulila na kundi lake wanapanga mapinduzi dhidi ya Mbatia. Kombora lilipowageukia, Mbatia akaonekana ye ndo mbaya, atafukuzaje Mbunge? Wakati maskini ya Mungu Mbatia alisimama kumwombea msamaha Kafulila mbele ya kikao, akaambulia kuambiwa kama yeye Padri basi aache uenyekiti akaanzishe kanisa.
  • 2012 Mbatia akateuliwa na rais kuwa Mbunge (enkhe, kosa jingine?)
  • Sasa hii ya juzi, kisa naye kashiriki kusema kuna wabunge wamehongwa ili kutetea uozo ndani ya TANESCO, basi nalo kosa, anataka uenyekiti wa kamati.

Haya, we ukipenda endelea kumhukumu unavyojua. Lakini mtani wangu, haya unayoyaona nje ni matone ya maji baharini. Watu wamelala makaburini, watu wana hirizi viunoni, watu wamefukia kondoo wazima wazima kama tambiko kuwafitini wenzao. Nguvu za giza ni nyingi katika siasa, tumwombe Mungu aliyeiumba Tanzania, aweke nuru katika siasa, vinginevyo .... Lakini mimi naamini, no matter what, mwenye haki ataendelea kusimama hata atupiwe jini Berzebuur. Niishie hapa kwa leo.
Kwa maelezo yako wewe, huoni mkono wa Mbatia ktk kila jambo yaani yeye ana mkosi gani kila anapoweka mguu lazima kitu kinaharibika na sababu ni watu wengine sio yeye..Wewe Unamjua Mbatia kiasi gani nje ya chama hadi wewe kuweka dhamana juu yake? Hili ndio swali langu mimi ikiwa maelezo yako tu hapo juu utamwona Mbatia kila mahala akivuruga wanachama. Mwenye haki sii lazima asimame wamekufa kina Steve Biko, kina Che sifa wakapewa watu wengine. Hata huyo Mandela alikuwa Gaidi hadi majuzi tu 2004 ndio jina lake limeondolewa ktk list of Terrorist.. Utasema saana kutetea ya mjini huyajui na siwezi yaandika hapa.
 
Back
Top Bottom