Ni kweli mkuu mie naweza kuwa na njaa kali lakini ujumbe wangu umefika.
Mimi nadhani wewe ndio una matatizo.. Kwa mtu yeyote anayeitazama nchi hii kwa Ukanda nadhnai yeye ndiye mwenye matatizo kwa sababu unategema mtu kutoka kanda nyingine atawezesha maendeleo kanda yake..Haya ndio makosa makubwa ya Muungano wetu na Zanzibar..
Makosa ambayo yaletufikisha hapa tulipo tukawapata kina Mwinyi, Mkapa na sasa JK kwa kutazama dini zao na Asili yao..Kwa fikra hizo Muungano unazidi kuwa na matatizo zaidi na zaidi na sasa imefikia mahala hatuwezi tena kuungana..Yalitokea Suda, Ethiopia na sasa imefika mahala Tanzania na Nigeria lazima zivunje muungano wao kutokana na tofauti zao..
Kwa sababu hata siku moja sii Mnauye wala Mukama wala JK hawezi kufanya kazi na Chadema au kusifia sera na mipango yao. Pengine Mbatia pekee na ndio maana anaitaka nafasi ya Zitto, sijui na yeye mdini?.. I like Zitto, na tunampenda wengi lakini kuna wakati unashindwa hata kumtetea.Hata mie nadhani nyie Pro-Chadema wengi JF ndio mna matatizo sana ya ubaguzi hivi unaweza kunipa sababu za msingi karibia 95% Pro-Chadema hawamtaki Zitto Kabwe kwa sababu gani.
Kwa sababu hata siku moja sii Mnauye wala Mukama wala JK hawezi kufanya kazi na Chadema au kusifia sera na mipango yao. Pengine Mbatia pekee na ndio maana anaitaka nafasi ya Zitto, sijui na yeye mdini?.. I like Zitto, na tunampenda wengi lakini kuna wakati unashindwa hata kumtetea.
Ubaguzi wowote huitwa Ubaguzi ikiwa kundi moja linanufaika na jingine kukandamizwa. Waislaam hawakandamizwi Chadema, kutopewa nafasi haina maana wanatengwa isipokuwa Waislaam wenyewe wamejitenga na CUF kutokana na dhana na fikra kama zenu.
Dah mkuu umesha futur au bado?... nimesema kwamba anayoyafanya Zitto hayawezi kutokea kwa Mnauye, Mukama wala JK kufanya kazi na CDM.. Zitto anafanya hivyo, ni kinyume cha miiko ya kisasa. Hivi nambie ni mwanasiasa gani unayemjua wewe mbali na Zitto anajihusisha sana na sera na mipango ya CCM?. Only Zitto na yuko Upinzani..Kwa nini asi cross tu kwenda upande wa pili ijulikane?.Mkuu hujajibu swali naona unazunguka unaleta stori za CUF halafu usiwasemee Waislam kuwa wamejitenga na CUF sijui umeipata wapi mie ni Muislam lakini sipo CUF labda ungeniambia Waislam wa Zanzibar na CUF yao...ebu nijibu kwa nini Zitto hapendwi na Pro-Chadema wengi JF.
Dah mkuu umesha futur au bado?... nimesema kwamba anayoyafanya Zitto hayawezi kutokea kwa Mnauye, Mukama wala JK kufanya kazi na CDM.. Zitto anafanya hivyo, ni kinyume cha miiko ya kisasa. Hivi nambie ni mwanasiasa gani unayemjua wewe mbali na Zitto anajihusisha sana na sera na mipango ya CCM?. Only Zitto na yuko Upinzani..Kwa nini asi cross tu kwenda upande wa pili ijulikane?.
And for that, he is very wrong na asiutumie Uislaam kujikinga hapana ni yeye mwenyewe kwa maamuzi aloyafanya hayana uislaam wala Ukristu. Uislaam maana yake ni TOTAL submission to God (Allah) sio kutiwa maji au kuitwa Mohammad, wako waarabu kiibao wakristu, Mabedui na wasiokuwa na dini wanaitwa Mohammad tena Ukerewe kwetu tunawaita Mwamedi..
Wewe hauko CUF hapa janvini lakini najua ni kada wa CUF hiyo CCM umekaa hapo kwa sababu ya JK ngoja uchaguzi ukaribie tutakusikia ukija na sura nyingine - Nakukumbuka sana 2010..
Mkuu hujajibu swali naona unazunguka unaleta stori za CUF halafu usiwasemee Waislam kuwa wamejitenga na CUF sijui umeipata wapi mie ni Muislam lakini sipo CUF labda ungeniambia Waislam wa Zanzibar na CUF yao...ebu nijibu kwa nini Zitto hapendwi na Pro-Chadema wengi JF.
Wanabodi.
Chama cha Demokrasia na Maendeleo Chadema, kinafanya harakati na mbinu kuchukuwa dola lakini kuna mapungufu mengi sana ambayo ni kikwazo bahati mbaya Chadema wenyewe hawatambui hivyo vikwazo ndani ya chama chao..
Chadema bado wanategemea wanachama wasiotabirika, wanachama wake ni wale wanaoingia wakati wa mikutano ya hadhara na maandamano, Chadema wamekosa uhalali wa mtawanyo wa wanachama hai katika kila kona ya nchi.
Chadema baada kupata mafaniko katika uchaguzi mkuu uliopita wamejikuta wakihodhi wajibu wa jamii kisiasa kwa niaba ya vyama vingine wakihisi kwamba wao ni bora zaidi mbele ya jamii kuliko vyama vingine vyote nchini..
Chadema mpaka sasa hawajawa na uhakika wa jinsi ya kumpata kiongozi wa juu katika nafasi ya Mwenyekiti au Urais kutoka kanda nyingine, Chadema kimeweza kupata umaarufu kisiasa lakini bado wanakabiliwa na tatizo la umakini, uzoefu na mbinu nina hakika uteuzi wa mgombea urais kutoka Chadema ataleta mtarafuku mkubwa ndani ya chama hicho viongozi wa Chadema kutoka kanda zingine hawataafiki mgombea urais atoke eneo moja tu kila uchaguzi.
Chadema inasumbuliwa na kasumba ya ubinafsi na upendeleo wa kifamilia, Chadema wamejikuta wakipiga teke demokarasia ndani ya chama chao na wabunge wake wa viti maalum wengi wao wanatoka katika koo za waasisi wa chama.
Wako watu wa kutoa ushauri kwa CDM na huo ushauri wao ukapokelewa kwa mikono miwili lakini sio wa kutoka kwako ritz labda mtu awe mgeni hapa jamvini. Kawashauri magamba wenzio.