Nawatakia sikukuu njema wanaMember woooooote hapa Jamii Forum naomba tuongeze mapenzi zaidi katika sikukuu hii ya wapendanao!
Nawatakia sikukuu njema wanaMember woooooote hapa Jamii Forum naomba tuongeze mapenzi zaidi katika sikukuu hii ya wapendanao!
Nawatakia sikukuu njema wanaMember woooooote hapa Jamii Forum naomba tuongeze mapenzi zaidi katika sikukuu hii ya wapendanao!
Happy valentine to yoo, msalimie Preta, nakumbuka aliikubali ofa yako ya valentine.
ha!...kwani anapokea simu yangu leo.....najuta kukubali wito ule....bora ningekubali kutoka na Mr Rocky...Valentine yangu imemiminikia chini hivi hivi.....ama kweli Ndallo amenitenda.....
Mtu Chake hajambo?
nimemdip mpaka simu imepata moto.....kwani anapiga.....?...hakuna cha Vin Rouge wala Vin Blanca.......nimelia sana leo......mpaka kope zangu zimeng'ofoka.....
We si ulinitosa bana ukamuona Ndallo ndo wa maanaha!...kwani anapokea simu yangu leo.....najuta kukubali wito ule....bora ningekubali kutoka na Mr Rocky...Valentine yangu imemiminikia chini hivi hivi.....ama kweli Ndallo amenitenda.....
We si ulinitosa bana ukamuona Ndallo ndo wa maana
Bora hata amekutosa na mimi naringa sasa
Hata kama niko single ila naringa mbaya
Ndallo thank you so much
Happy Valentine too