happy Chupi day!

happy Chupi day!

Pouwle sasa tatizo majina yenu tata wewe ni me au ke?

una agenda gani na jinsia?
chupi ni chupi tu, ukisema bikini hata wanaume wanazo ...au unabisha? @ Stevoh
 
Hapa hatukuvaa chupi, ushaelewa sasa??
13538726.jpg

Hapa nimeingia choo cha kikeeee au?!!! Hili jukwaa si Chit-Chat?? Mbona ghafla limekuwa kama lile la Kimbweka and co...?
 
Heh! Sikujua jana ilikuwa ni pichu day, ningevaa! Dah, hapa hadi next year..
 
una agenda gani na jinsia?
chupi ni chupi tu, ukisema bikini hata wanaume wanazo ...au unabisha? @ Stevoh

Sina fact wanaovaa bikin labda ni ndugu zake na kamerun
 
ALWAYS REMEMBER TO GIVE CREDITS TO THE SPECIFIC OWNERS::::::::::::::::::

HII UMETOA SEHEMU FULANI ILA HUJA ACKNOWLEDGE SOURCE:::::
SIFA NYENGINE JAMANI HAZIFAI. KAMA HUAMINI HEBU NENDA BONGO JOKES kwa kuhakikisha.

NAPITA NJIA TU!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Hahahaha! (hapo nimevaa ipi). Hili vazi silipendi hadi huwa nasahau kulivaa. Lol
 
Hahahaha! (hapo nimevaa ipi). Hili vazi silipendi hadi huwa nasahau kulivaa. Lol
ingekuwa miaka ileee ya zamani ya chupi za jinja za kufunga na kamba ningesema wewe ni yule wa kupigwa chapchap jukwajuu kwa hiyo unaona itakupotezea muda hadi kuivua, lakini ck hizi zilivyo za aina nyingi hadi zile za mikanda kama ya kandambili zinazoingia kati ya makalio bado uone uvivu kuvaa??? ,mh mi nadhani uwahi kwa daktari!
 
dahhh na kwa sisi tunaobadili mara tatu kwa siku tutaje zote au ??
 
afro any prob! why 3 times a day?? any substance flowing from down there? sorry for embarrasing questions!

teh teh teh teh lol
kuna gym asubuhi na mapema (1st one)
kuogaa badili ajili ya kwenda kazini (2nd)
jioni kuoga kubadili , after work (3rd)..........

na kama Mr. akiwa anahuzuni, mawazo au uchovu kidogo muhimu kumpa" lingerie show" 🙂
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom