Happy Birthday to Me...Mentor

Happy Birthday to Me...Mentor

Happy Birthday Broda Mentor

Siku nyengine uwe unatualika ukiweka uzi kama huu.

Asante jesca.
Na ambavo kutoka Ilala mpaka K'mboni ni gari moja tu...basi j'mosi hii ndo sherehe yenyewe usijesema sijakualika!
 
Last edited by a moderator:
Huez amini ni jana tu nmemwambia bro i want to upgrade my wrist watch...i think hii ni nice model ya kutafuta...asante Asnam.

Hahaha.. Asnam..nimekusoma. ntakuelezea kesho....:-*
 
Last edited by a moderator:
::
LONG LIVE
REAP THE OLD AGE
WITH HEALTH+HAPPINESS
::
G
O
D
B
L
E
S
S
you
=
 
Jamani dady nilikua nimejificha ila nimekuja kukupongeza kwa kuzima mishumaa kadhaa Mungu akulinde na akuBariki utokapo na uingiapo siku zote za maisha yako hapa duniani
 
Happy bday dearest. Kila la kheri katika kuisaka furaha yako.
 
Happy birthday Mentor!

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Last edited by a moderator:
Happy birthday Mentor ningekuwepo ningekufanyia bonge la suprise parre! Ila ni pm zawadi unayotaka nakuletea kutoka yemen! Hongera sana kwa kukua!
 
Last edited by a moderator:
Happy Birthday Buddy.....Mungu akubariki uishi miaka mingi yenye kheri na fanaka tele.....
 
Happy birthday mkuu . Ila kwenu wachoyo hadi mkimeza mate mnajificha . Lol
 
Jamani nitapeleka motion bungeni Siku ya kumbukumbu ya kuzaliwa mtu apewe off kazini...ndo mambo gani haya ya kuwekana kazini mpaka mida hii...kesho lazima niingie saa sita!!!!



Kwa wale watakaoweza kuvuka maji...Kigamboni kwa Mwingiraaaaa......:majani7:

Take a day off to celebrate you birthday. Take a year off and tell people you are younger. Happy Birthday mkuu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom