Jamani nitapeleka motion bungeni Siku ya kumbukumbu ya kuzaliwa mtu apewe off kazini...ndo mambo gani haya ya kuwekana kazini mpaka mida hii...kesho lazima niingie saa sita!!!!
Kwa wale watakaoweza kuvuka maji...Kigamboni kwa Mwingiraaaaa......:majani7: