Happy birthday mkuu . Ila kwenu wachoyo hadi mkimeza mate mnajificha . Lol
mimisa, jus enough to walk you down the aisle!:A S shade:Happy birthday Mentor...imefika mingapi?
hahahahahahahahaha duh haya bwana ila naskia kwenu kuchafu hadi mende wanavaa viatu .
Heri ya siku ya kuzaliwa mpendwa..Have a remarkable one!!!
With agape love from Dareda!!!
Ni siku kama ya leo miaka thelatha karibia
tarehe kama ya leo asubuhi iliwadia
upepo na vipepeo angani vilirukia
kazaliwa bwana Mentor namshukuru Muumba.
baba kapigiwa simu kidume mejipatia
akaiacha kalamu mitihani kakimbia
imemjaa mihamu mtoto kumpokea
kazaliwa bwana Mentor namshukuru Muumba.
Miaka mingi mepita vikwazo nazo huzuni
furaha nimezipata na ya simanzi moyoni
kwa neema nimepata kuona mema machoni
kazaliwa bwana Mentor namshukuru Muumba.
:A S-baby: