Baba_Enock
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 7,076
- 2,465
Baba E, nakuheshimu sana sana tafadhali, usinipeleke huko plz plz wala tusitibuane, nina sababu gani ya kufanya hivyo? nimekosa kazi au? kama wewe una muda wa mchezo huo ni wako plz, wengine hatuna mida michafu.
Yaani kumbe bado ni yule yule Nyamayao - Hata siku ya Birthday unakuwa mkali...? wajameni? dah!!!!