Happy birthday to me jamani!

Happy birthday to me jamani!

Hahahahahahahahahah,

Yaani nyie watu mmenifurahisha sana....

You can easily tell the difference between watoto na watu wazima....!!

Kweli wewe Nyamayao si mtoto tena...Nitamwambia mzee mwenzangu Asprin afute kauli yake...wewe ni "mkongwe mwenzetu"...ingawa miaka inakuangusha!!

Babu DC!!!
kama mimi enh?
 
kama mimi enh?


Kumbe na wewe unapenda premature promotion/upgrdading?

Haya bwana....hata wewe snowhite tunakubali kuwa eti ni "Mkongwe mwenzetu"...lol!!

Umenikumbusha enzi zetu...kabinti hata kakiwa 13 years, kakishaolewa kanadai eti nako ni kakubwa....!!

Haina neno kwani kazi mnayofanya kuwabeba na kuwanyonyesha hao wenzetu kama alivyosema Nyamayao si haba ati!!

Babu DC!!
 
Last edited by a moderator:
Kumbe na wewe unapenda premature promotion/upgrdading?

Haya bwana....hata wewe snowhite tunakubali kuwa eti ni "Mkongwe mwenzetu"...lol!!

Umenikumbusha enzi zetu...kabinti hata kakiwa 13 years, kakishaolewa kanadai eti nako ni kakubwa....!!

Haina neno kwani kazi mnayofanya kuwabeba na kuwanyonyesha hao wenzetu kama alivyosema Nyamayao si haba ati!!

Babu DC!!
wala si uongo ati!kazi yake si mchezo
we unafanya masikhara kukatizwa kucheza rede!
sasa mkinikataa huku na kule kwa kina lara 1 sifit tena lol!
ah humu humu bana!
 
Last edited by a moderator:
wala si uongo ati!kazi yake si mchezo
we unafanya masikhara kukatizwa kucheza rede!
sasa mkinikataa huku na kule kwa kina lara 1 sifit tena lol!
ah humu humu bana!

Nimekubali usiitwe tena mtoto Bibi snowhite...

Maadam ulishaamua kuzeeshwa basi, karibu kwenye chama cha watu wasio na madhara tena...

Kama ingekuwa porini, basi ni chama cha wale simba wasioweza kuwinda tena.. Ila usije ukaanza kuomba kukimbia!!

But...it is unfair kumfanyia ukatili binti mdogo kwa kumbebesha vibaba na vitambi vyao...

Ndiyo maana kuna watu kibao wanamwonea huruma Lulu!!

Babu DC!!
 
Last edited by a moderator:
happy birthday to nyamayao, namshukuru sana Mwenyezi Mungu kwa kunipa uzima/afya tele mpaka leo hii nagonga miaka kadhaa chini ya hili jua, ups and downs kibao lakini amenipa ujasiri wa kupambana, akiniinua pale nilipojikwakaa na kuanguka na kunipa nguvu za kusonga mbele kwa ujasiri zaidi, my family, musukuma/kids, my lovely mama/sis, na wana JF wote, nawapenda sana sana!...happy birthday to nyamayao jamani....

Happy B day aisee
DR Riwa hajakununulia zawadi?
basi atupishe tujisogeze kama haelewi somo lol
 
Nyamayangu! kwanza nisamehe nilikuwa nimezamia kwenye mitandao ya uchaguzi wa marekani muda mfupi uliopita nikasema let me pass here quickly ndio nikakuta hii thread ya hepi besdei yako, nami nisipitwe, HAPPY BIRTHDAY Nyamayao
 
Last edited by a moderator:
Happy B day aisee
DR Riwa hajakununulia zawadi?
basi atupishe tujisogeze kama haelewi somo lol

huwezi amini, wewe jisogeze tu bwana, Riwa hana sera kabisa, bado yupo mndenyi, nina uhakika unapenda vitu vizuri na mie ni kimojawapo...lol
 
Hongera kwakutimiza miaka 18 sasa uko humu kihalali... Happy Birthday to you.. nakuja na pipi na pampas
 
Ile tabia yako ya utegezi hadi uone kinywaji chenye kilevi naomba leo usifanye hivo... Tumia fursa hii kumshawishi Nyamayao kurudi kila siku hata kama kaka Bigirita anamkorofisha... Lol.
Hey......nimekumiss kiaina!
Whats up gal?
 
I think I missed you more hadi imebidi niku alert kiaina... Lol. Am good broda, what of you? (so happy to see you).
I am good.........very good.
uwe unanisalimu bana......napataje raha unavyonipaga Hi??!!
 
Naaam nipo wangu mzima wewe? Naona Bigi anataka kwenda kinyume na matakwa ya chama


hahaha! Usiwe na wasi na Biggie, kakangu wa damu huyo; yeye huwa nambana tu kumlinda wifi yangu... Lol.

Mie mzima wa afya Kimey... Thank u.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom