Happy birthday to me jamani!

Happy birthday to me jamani!

Asante sana Da Asha (@AshaDii),

Kusema kweli hizi week za hivi karibu zimekuwa mbaya sana...may be tutarejea home tumsalimie mtoto Nyamayetu!!

Babu DC!!

Pole sana kaka DC... Ni upepo tu ulikuwa unapita, nina Imani walau sasa utaona nafuu... I bliv u are well and good DC.
 
Pole sana kaka DC... Ni upepo tu ulikuwa unapita, nina Imani walau sasa utaona nafuu... I bliv u are well and good DC.


Thanks Da Asha,

Greatly appreciated na ahsante kwa taarifa ya mtoto Nyamayetu...

Naamini maandalizi yakwenda vizuri ili tumwimbie wimbo leo...

Babu DC!!
 
Missing you Nyamayao

Do i smell birthday Cake?

birthday-cakes2.jpg
 
Last edited by a moderator:
Yaani kumbe wewe bado kigoli kabisa......???

Siku zote nakupigiaga mahesabu ya kwamba unanusa nusa RED line kuelekea Siberia...


Kama ni kweli basi Msukuma atakiwa aongeze mbwa kwa ajili ya ulinzi..., mstue ili aje kwa Babu DC akapate puppy wa Germany Shephard...watamfaa sana huko mbele ya safari kwani njia bado ndeefu kishenzi!!

images


images



Babu DC!!


hahaa, nyamayao nae kigori? mama wa watoto watatu?...kabinti kangu ka kwanza 11 yrs(wa msukuma) kuna ukigori hapo kweli, hahaha, yap ndio ukweli huo...nov 6/1982.
 
hahaa, nyamayao nae kigori? mama wa watoto watatu?...kabinti kangu ka kwanza 11 yrs(wa msukuma) kuna ukigori hapo kweli, hahaha, yap ndio ukweli huo...nov 6/1982.

Hahahahahahahaha,

Ningekuwa mie, haki ya nani ningempa hakimu kitu kidogo ili amshughulikie msukuma kwa kupindisha kidogo SOSPA (sijui kama nimepatia)!!

Utakubalije mtu amwingize mtoto wako wa miaka 19 kwenye mambo mazito mazito ya MMU...That was unfair kwa kweli!!

Labda utwambia kama hapo umefanya discount kidogo ili tupige stories!!

Babu DC!!
 
Thanks Da Asha,

Greatly appreciated na ahsante kwa taarifa ya mtoto Nyamayetu...

Naamini maandalizi yakwenda vizuri ili tumwimbie wimbo leo...

Babu DC!!

Leo ni sherehe kwenda mbele! Na hivi napenda cake na FirstLady1 kisha ileta siondoki kabisaaaa! Lol.
 
Last edited by a moderator:
hahaa, nyamayao nae kigori? mama wa watoto watatu?...kabinti kangu ka kwanza 11 yrs(wa msukuma) kuna ukigori hapo kweli, hahaha, yap ndio ukweli huo...nov 6/1982.
da!umenizidi siku 9 tu i see!
 
Happy birthday my dearest Nyamayao...

May God bless you abundantly!!!!
 
Last edited by a moderator:
Ile tabia yako ya utegezi hadi uone kinywaji chenye kilevi naomba leo usifanye hivo... Tumia fursa hii kumshawishi Nyamayao kurudi kila siku hata kama kaka Bigirita anamkorofisha... Lol.

Hebu hii famili bizinezi niachie asee....

hahaa, nyamayao nae kigori? mama wa watoto watatu?...kabinti kangu ka kwanza 11 yrs(wa msukuma) kuna ukigori hapo kweli, hahaha, yap ndio ukweli huo...nov 6/1982.

Kama mahesabu ni sahihi, basi huyo msukuma mlete tumpe miaka yake 30...akakae na kina babu seya!

Hahahahahahahaha,

Ningekuwa mie, haki ya nani ningempa hakimu kitu kidogo ili amshughulikie msukuma kwa kupindisha kidogo SOSPA (sijui kama nimepatia)!!

Utakubalije mtu amwingize mtoto wako wa miaka 19 kwenye mambo mazito mazito ya MMU...That was unfair kwa kweli!!

Labda utwambia kama hapo umefanya discount kidogo ili tupige stories!!

Babu DC!!

Mkuu Dark City, huyu jamaa ni wa segerea....:glasses-nerdy:
 
Last edited by a moderator:
Happy bday binti komando, lok. Usiwe unapotea sana manake.kumfunda MwanajamiiOne peke yetu bila.mstu wa kuwa anamfinya inatuwia ngumu.
Ngoja tuingie mitamboni kuandaa party
 
Last edited by a moderator:
Hahahahahahahaha,

Ningekuwa mie, haki ya nani ningempa hakimu kitu kidogo ili amshughulikie msukuma kwa kupindisha kidogo SOSPA (sijui kama nimepatia)!!

Utakubalije mtu amwingize mtoto wako wa miaka 19 kwenye mambo mazito mazito ya MMU
...That was unfair kwa kweli!!

Labda utwambia kama hapo umefanya discount kidogo ili tupige stories!!


Babu DC!!

jamani wakati huo nilikuwa bado chuo hata sijamjua msukuma kabisa, hahaha usimtendee dhambi msukuma wangu, lol...DC mi nimeolewa na 22 yrs, tena hapo bado nipo chuo, msukuma nimemjua nikiwa nakaribia kuingiza 21yrs, so alichukua mwaka tu akachukua jumla.
 
Happy day Nyamayao!
Naungana nawe katika kumshukuru Mungua aliyekujalie miaka hiyo yenye afya, amani na furaha ambayo yamekuwa spiced na tuchangamoto ambato amekupa ubunifu wa kupambana nato.

Furahiya siku yako pamoja na wahitaji wanaokuzunguka!

Stay blessed, dada!
 

Hebu hii famili bizinezi niachie asee....



Kama mahesabu ni sahihi, basi huyo msukuma mlete tumpe miaka yake 30...akakae na kina babu seya!



Mkuu Dark City, huyu jamaa ni wa segerea....:glasses-nerdy:

jamani msukuma ameanza kutenda dhambi na mie nikiwa ukingoni mwa 20yrs, hapo 19 nilikuwa bado simjui japo sikuwa bikira pia,lol.....naingia 22 akachukua jumla, hahah japo mama nyamayao alilalama sana but na mie ndio nilishikia bango ndio mana nasemaga kuna wengine tuliingia kwenye ndoa mapema hata hatuijui ndoa kwa undani wake, yap tumeingia na ndio imetukomaza na tunadunda bado, hahaha msukuma amenilea eti, wakati ule akija kunisalimia chuo, hahaha nampenda sana aisee japo anajua mie kichwa maji bado nampa heshima yake kwa sana, kafanya jitihada kubwa mie kusimama kama nyamayao leo hii....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom