Shadeeya
JF-Expert Member
- Mar 12, 2014
- 52,030
- 126,023
Hahahaaa. Lol.Wapi wameandika 54 yrs hata hivyo ni binti wa zamani
Hahahaaa. Lol.Wapi wameandika 54 yrs hata hivyo ni binti wa zamani
Husemi uongo hata. Upo sahihi kabisa.Au nasema uongo?
Kwa kweli Huna bayaa mtaniii, 😂😂😂Ahsante sana Mtani. 🙏
Sijui kwa lakini nimejikuta nacheka tu hiyo eti "huna baya" 🤣🤣
Abee Ely...
Niko poa kabisa Kipenzi..hofu kwako...Ahsante sana Mdogo wangu kipenzi.
Nakupenda pia japo harakati za kutafuta ugali zinatufanya tusionane kabisa yaani.
I hope uko poa.
Ahsante sana Mtani wangu. Tupo pamoja. 🤝Kwa kweli Huna bayaa mtaniii, 😂😂😂
Wee ishi sana tuu.
Amiin mdogo wangu. 🙏Niko poa kabisa Kipenzi..hofu kwako...
Inshallah Mungu atupe uzima tu...Tutaonana siku moja..
Anasahau haraka sana huyoHusemi uongo hata. Upo sahihi kabisa.
Japo huyo jamaa kaamua tu kucomplicate vitu vidogo. 🤣
Happy birthday love, all the best 😘😘😘Amiin InshAllah. Pia ahsante sana Wifi yangu kipenzi.
Mwenzio ndo naenda uzeeni hivyoo. 😃
Swadaktaaaa!! 🍰Ahsante sana Mtani wangu. Tupo pamoja. 🤝
Nipo mwananchi.... Now majukumuu yameongezekaThanks aisee. Rafiki wa kudumu.
Bila shaka uko poa.
Thanks a lot my dear. 🙏Happy birthday love, all the best 😘😘😘
Kawaida hiyo na kadri umri unavyosonga ndo hayaepukiki kabisa yaani.Nipo mwananchi.... Now majukumuu yameongezeka
Ila mdogo wangu umenisusa sana ujue.Miaka mingi kwako dada"♥️♥️