Mi nilijua anakimbilia 50 hv kumbe mwili tu ...sema usmart nao unamfanya mtu aonekane kijana zaidMbona anazeeka wakati bado mdogo Sana.
utakalia majungu mwenzio keshaga pata exposure, usikute hata bando umeomba kwa shemeji ako. Hela aliyo nayo anauwezo wa kuwalisheni BAvicha na Bawacha kambi nzima mwaka mzima.CCM inazeesha sana.
Mdogo wangu acha maneno ya kishoga, pia jifunze kwa waliofanikiwa.Kwa jinsi ulivyommwaagia misifa..... Lazima atakuwa hapo kisogoni kwako.
Level tena??? We Unadhani kwa mafanikio aliyonayo, angekuwa sio CCM angekuwa na muonekano huo??? Na hizo level unazotishia nazo watu zinatoka wapi msimu huu mbona hakuna mambo hizo tena?? Na Sijui kipimo ipi umetumia kuniita mdogo wako na kujiita mtu wa level?? Hebu weka si unit hapa tuone nan dogoooooMdogo wangu acha maneno ya kishoga, pia jifunze kwa waliofanikiwa.
Mrisho mpoto ameshapiga hatua katika kujikwamua kimaisha halafu wewe unajifanya kumbeza kwa itikadi za chama....hata kama una mahaba sio kiivo Mangi....badilika jombaaa
Halafu mie sio level zako chalii
kwa hiyo kuwa ChaGGadema ndo busaraLevel tena??? We Unadhani kwa mafanikio aliyonayo, angekuwa sio CCM angekuwa na muonekano huo??? Na hizo level unazotishia nazo watu zinatoka wapi msimu huu mbona hakuna mambo hizo tena?? Na Sijui kipimo ipi umetumia kuniita mdogo wako na kujiita mtu wa level?? Hebu weka si unit hapa tuone nan dogooooo
Sanasana utanizidi muonekano kwa sababu wewe ni fisiem.
Mbona anazeeka wakati bado mdogo Sana.
kwa unavyoandika you are on the same level!Mdogo wangu acha maneno ya kishoga, pia jifunze kwa waliofanikiwa.
Mrisho mpoto ameshapiga hatua katika kujikwamua kimaisha halafu wewe unajifanya kumbeza kwa itikadi za chama....hata kama una mahaba sio kiivo Mangi....badilika jombaaa
Halafu mie sio level zako chalii
Mie mwenyewe najuaga labda ana miaka hata 48 hivi
hahhaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa kwani sio mtu wa maana umenichekesha kweliUtafikiri mtu wa maana.