Miaka huja na kupita, na tunafanya mambo mengi sana, mabaya na mazuri pia, ila Mungu na akutunze wewe na uzao wako na kuimbuka tarehe 9 may kwamba alitoa mtoto wa faida kwa Jamii ya watanzania na wengineo pia baada ya wewe kuzaliwa nafurahia JF kwa maeneo mengi sana HAPPY BIRTHDAY BUDDY!
LIVE LONGER NA UFANIKIWE KAMA ROHO YAKO IFANIKIWAVYO
LIVE LONGER NA UFANIKIWE KAMA ROHO YAKO IFANIKIWAVYO