Thanx smile, sori 4 mother`s sicknessthax musimo sory for the loss of your mother
Mungu Atamponya na kumpa nguvu.i wish with all my heart mkuu.thax
Thanx Smile....nashukuru sana once againdaah thax the finest .miss u a lot my dia.pole sana kwa msiba.na shughuli zote.stay blessed
happ birth day mama...dah nilikuwa nimesahau jamani,leo ni birthday ya mama yangu mpendwa
namuombea kwa mungu amjalie kila lililo la kheri katika maisha haya
i wish mama upone uwe kama zamani
nakumbuka kipindi naenda shule ulivokuwa unanitengenezea kuku wa kula njiani ili nisile vitu vibaya njiani.sasa nimekuwa mkubwa i wish nikutengenezee na wewe kuku ila huwezi kula tena swit mamy why you
nakumbuka ulivokuwa unanipeleka vidudu nilipokataa maana wenzangu walikuwa wananitania eti na vimashimo kwenye mashavu i wish nione vyakwako mama.
to be honest kuumwa kwako ni kitu kinanikosesha furaha hapa duniani mama
in your birthday nakuombea kwa mungu upone tu jamani
i love you my mother with all my heart
sema mama mkwe
mmmmhhhhhhhhh