Happy Birthday Lecture Mentor

Happy Birthday Lecture Mentor

Asante ladyfurahia my dia...hizo sifa sasa! :dance::dance::dance:

Anyway, Namshukuru sana Mungu kwa siku ya leo...na nichukue fursa hii kuwatakia heri ya siku ya kuzaliwa pacha wangu wote: Preta, manyaga Sr., Evelyn, Leah, na Naomi (huyu tulizaliwa hospitali moja, siku moja, mwaka mmoja...mama tofauti)

God bless you all!!!
mwallu kipenzi, nangojea wish yangu by the way...sijasahau!!!
 
Last edited by a moderator:
Happy_Birthday-1.jpg
 
nakupa zawadi ya MATHAYO MTAKATIFU 7:24-25
neno la mungu likawe ngome yako
shetani asipate kukuangusha
ukaishi maisha ya kumpendeza mungu na uwe mwema kwa watu wote

pia pokea zawadi hii
WATHESALONIKE WA KWANZA 5:16
maisha yako yakawe ya furaha siku zote
uso wako upambwe na tabasamu kutoka pande zote hususani kutoka kwa wana jf
maana sisi ni marafiki wa kweli daima
HAPPY GREAT BIRTHDAY MENTOR
 
Mi nataka kujua whay are you ladyfurahia usin much energy and huge efforts in this Thrade ?
Mapambio nyomi !
I believe there's somethin behind the scene !
Ngoja Shemeji yangu Mentor atanitonya tu!
Unajua always action speak louder than words.
 
Last edited by a moderator:
nakupa zawadi ya MATHAYO MTAKATIFU 7:24-25
neno la mungu likawe ngome yako
shetani asipate kukuangusha
ukaishi maisha ya kumpendeza mungu na uwe mwema kwa watu wote

pia pokea zawadi hii
WATHESALONIKE 5:16
maisha yako yakawe ya furaha siku zote
uso wako upambwe na tabasamu kutoka pande zote hususani kutoka kwa wana jf
maana sisi ni marafiki wa kweli daima
miss neddy .........!!!!!!!!!
 
Last edited by a moderator:
[SUP]6 [/SUP]Humble yourselves, therefore, under God’s mighty hand, that he may lift you up in due time. [SUP]7 [/SUP]Cast all your anxiety on him because he cares for you.
[SUP]8 [/SUP]Be alert and of sober mind. Your enemy the devil prowls around like a roaring lion looking for someone to devour. [SUP]9 [/SUP]Resist him, standing firm in the faith, because you know that the family of believers throughout the world is undergoing the same kind of sufferings.
[SUP]10 [/SUP]And the God of all grace, who called you to his eternal glory in Christ, after you have suffered a little while, will himself restore you and make you strong, firm and steadfast. [SUP]11 [/SUP]To him be the power for ever and ever. Amen.

Amen....
 
Back
Top Bottom