ladyfurahia
JF-Expert Member
- May 10, 2011
- 14,758
- 9,589
ITS NOT EASY
Si rahisi kujifunza kitu ambacho hujakipitia toka darasani
Wala si jambo rahisi ukawa Daktari wa binadamu au mifugo
Bila hata kujifunza huo utabibu wa wanadamu na viumbe. Je
unaweza kuwa mwanahisabati bila hata kujua mbinu zake?
hata kukokotoa kahesabu haka kanakushinda kwani hujajifunza
Log28 log8
log2
Hata wanasayansi nao walijifunza wakaweza kuunda kitu
sijui mwanasaikolojia Mtambuzi kama ataweza hako kahesabu
au mwanasheria mkuu Ruttashobolwa na Asprini nao wataweza
bila hata kwenda kwa lecture wao mtaalamu wa PM Moderate
Si rahisi kufanya kitu ambacho hujawahi jifunza bali unaweza
fanya pale ulipojifunza na ukawa na utaalamu nacho mpaka
ukaitwa mwanataalum fulani, mdadisi au MTAFITI.
Je ni rahisi kuumba kitu kwa mtazamo wako na kikawepo? Je ni
Rahisi kuvumbua kitu bila kuwa na hekima toka kwa Mungu au
Kipaji toka kwa Mungu? Je ni rahisi kujiumba upya?
Sitopenda kuwa mwingi wa habari bali TUFURAHIE siku hii muhimu
sana kwetu ya kumbukumbu ya kuzaliwa kwa mwalimu wa waalimu,
injinia wa Injinia, na MSTAHIKI MEYA wa jiji la mmu na vilevile
ni LECTURE wa sinagogi la mmu Ndg Mentor
hii mivyeo alipewa na Mkaguzi dr. Asprin wakati anaomba ya UMEYA
Basi marafiki zangu wapenzi wote wa mentor shusheni nyavu zenu hapa
chini kama petro alivyoshusha nyavu zake toka Kilindini. Tumtakie afya
njema, na miaka mingi ya kuishi kipenzi chetu Lecture Mentor
Bestito Mentor pokea kazawadi haka kazuri kwa afya yako ya kiroho
soma I Peter 5:6-11 kakupe mwangaza wa maisha bora na yenye ushindi
Wenu
Ladyf
Si rahisi kujifunza kitu ambacho hujakipitia toka darasani
Wala si jambo rahisi ukawa Daktari wa binadamu au mifugo
Bila hata kujifunza huo utabibu wa wanadamu na viumbe. Je
unaweza kuwa mwanahisabati bila hata kujua mbinu zake?
hata kukokotoa kahesabu haka kanakushinda kwani hujajifunza
Log28 log8
log2
Hata wanasayansi nao walijifunza wakaweza kuunda kitu
sijui mwanasaikolojia Mtambuzi kama ataweza hako kahesabu
au mwanasheria mkuu Ruttashobolwa na Asprini nao wataweza
bila hata kwenda kwa lecture wao mtaalamu wa PM Moderate
Si rahisi kufanya kitu ambacho hujawahi jifunza bali unaweza
fanya pale ulipojifunza na ukawa na utaalamu nacho mpaka
ukaitwa mwanataalum fulani, mdadisi au MTAFITI.
Je ni rahisi kuumba kitu kwa mtazamo wako na kikawepo? Je ni
Rahisi kuvumbua kitu bila kuwa na hekima toka kwa Mungu au
Kipaji toka kwa Mungu? Je ni rahisi kujiumba upya?
Sitopenda kuwa mwingi wa habari bali TUFURAHIE siku hii muhimu
sana kwetu ya kumbukumbu ya kuzaliwa kwa mwalimu wa waalimu,
injinia wa Injinia, na MSTAHIKI MEYA wa jiji la mmu na vilevile
ni LECTURE wa sinagogi la mmu Ndg Mentor
hii mivyeo alipewa na Mkaguzi dr. Asprin wakati anaomba ya UMEYA
Basi marafiki zangu wapenzi wote wa mentor shusheni nyavu zenu hapa
chini kama petro alivyoshusha nyavu zake toka Kilindini. Tumtakie afya
njema, na miaka mingi ya kuishi kipenzi chetu Lecture Mentor
Bestito Mentor pokea kazawadi haka kazuri kwa afya yako ya kiroho
soma I Peter 5:6-11 kakupe mwangaza wa maisha bora na yenye ushindi
Wenu
Ladyf
Last edited by a moderator: