Happy Birthday Lecture Mentor

Happy Birthday Lecture Mentor

ladyfurahia

JF-Expert Member
Joined
May 10, 2011
Posts
14,758
Reaction score
9,589
IT’S NOT EASY


Si rahisi kujifunza kitu ambacho hujakipitia toka darasani
Wala si jambo rahisi ukawa Daktari wa binadamu au mifugo
Bila hata kujifunza huo utabibu wa wanadamu na viumbe. Je
unaweza kuwa mwanahisabati bila hata kujua mbinu zake?
hata kukokotoa kahesabu haka kanakushinda kwani hujajifunza



Log28 – log8
log2



Hata wanasayansi nao walijifunza wakaweza kuunda kitu
sijui mwanasaikolojia Mtambuzi kama ataweza hako kahesabu
au mwanasheria mkuu Ruttashobolwa na Asprini nao wataweza
bila hata kwenda kwa lecture wao mtaalamu wa PM Moderate


Si rahisi kufanya kitu ambacho hujawahi jifunza bali unaweza
fanya pale ulipojifunza na ukawa na utaalamu nacho mpaka
ukaitwa mwanataalum fulani, mdadisi au MTAFITI.

Je ni rahisi kuumba kitu kwa mtazamo wako na kikawepo? Je ni
Rahisi kuvumbua kitu bila kuwa na hekima toka kwa Mungu au
Kipaji toka kwa Mungu? Je ni rahisi kujiumba upya?


Sitopenda kuwa mwingi wa habari bali TUFURAHIE siku hii muhimu
sana kwetu ya kumbukumbu ya kuzaliwa kwa mwalimu wa waalimu,
injinia wa Injinia, na MSTAHIKI MEYA wa jiji la
mmu na vilevile
ni LECTURE wa
sinagogi la mmu Ndg Mentor
hii mivyeo alipewa na Mkaguzi dr. Asprin wakati anaomba ya UMEYA


Basi marafiki zangu wapenzi wote wa mentor shusheni nyavu zenu hapa
chini kama petro alivyoshusha nyavu zake toka Kilindini. Tumtakie afya
njema, na miaka mingi ya kuishi kipenzi chetu Lecture Mentor

Bestito Mentor pokea kazawadi haka kazuri kwa afya yako ya kiroho
soma I Peter 5:6-11 kakupe mwangaza wa maisha bora na yenye ushindi

Wenu

Ladyf


 
Last edited by a moderator:
images


HAPPY BIRTHDAY MENTOR
 
Je ni rahisi kuumba kitu kwa mtazamo wako na kikawepo?
Kwenye red, kama ulimanisha kugunduwa sawa ila kuumba hapana maana mwenye uwezo wa kuumba ni Mungu pekee. Katika sayansi ukigunduwa kitu lazima kiwekwe kwenye jopo la wanasayansi wakitolee maoni na siyo wewe peke yako ukiamulie hatima yake.
Je ni Rahisi kuvumbua kitu bila kuwa na hekima toka kwa Mungu au
Kipaji toka kwa Mungu?

Nchi na vyote viijazavyo ni mali ya bwana ila usisahau kuna baadhi ya wavumbuzi hawaamini uwepo wa Mungu na vumbuzi zao unazisoma na kuziamini hata wewe unayeamini uwepo wa Mungu.
Je ni rahisi kujiumba upya?

Si rahisi kabisa na wala haiwezekani kuumba mtu mwenye roho kamili.


Happy birthday kwa Mentor
 
Last edited by a moderator:
IT’S NOT EASY

Si rahisi kujifunza kitu ambacho hujakipitia toka darasani
Wala si jambo rahisi ukawa Daktari wa binadamu au mifugo
Bila hata kujifunza huo utabibu wa wanadamu na viumbe. Je
unaweza kuwa mwanahisabati bila hata kujua mbinu zake?
hata kukokotoa kahesabu haka kanakushinda kwani hujajifunza



Log28 – log8
log2



Hata wanasayansi nao walijifunza wakaweza kuunda kitu
sijui mwanasaikolojia Mtambuzi kama ataweza hako kahesabu
au mwanasheria mkuu Ruttashobolwa na Asprini nao wataweza
bila hata kwenda kwa lecture wao mtaalamu wa PM Moderate


Si rahisi kufanya kitu ambacho hujawahi jifunza bali unaweza
fanya pale ulipojifunza na ukawa na utaalamu nacho mpaka
ukaitwa mwanataalum fulani, mdadisi au MTAFITI.

Je ni rahisi kuumba kitu kwa mtazamo wako na kikawepo? Je ni
Rahisi kuvumbua kitu bila kuwa na hekima toka kwa Mungu au
Kipaji toka kwa Mungu? Je ni rahisi kujiumba upya?


Sitopenda kuwa mwingi wa habari bali TUFURAHIE siku hii muhimu
sana kwetu ya kumbukumbu ya kuzaliwa kwa mwalimu wa waalimu,
injinia wa Injinia, na MSTAHIKI MEYA wa jiji la
........... na vilevile
ni LECTURE wa
sinagogi la mmu Ndg Mentor
hii mivyeo alipewa na Mkaguzi dr. Asprin wakati anaomba ya UMEYA


Basi marafiki zangu wapenzi wote wa mentor shusheni nyavu zenu hapa
chini kama petro alivyoshusha nyavu zake toka Kilindini. Tumtakie afya
njema, na miaka mingi ya kuishi kipenzi chetu Lecture Mentor

Bestito Mentor pokea kazawadi haka kazuri kwa afya yako ya kiroho
soma I Peter 5:6-11 kakupe mwangaza wa maisha bora na yenye ushindi

Wenu

Ladyf


 
Last edited by a moderator:
Mbonyi tsapfo Mentor
Happy birthday kaka mkubwa. Mungu akujalie maisha mema ya furaha na amani na baraka zikawe juu yako. Ubarikiwe sana sana mkuu

Daah mkuu umenikumbusha miaka ya 2009 Nniliokuwa na babu kule Mwika....R.I.P babuuu

Happy birthday Mentor
 
Last edited by a moderator:
Happy birthday twin......

[SUP]6 [/SUP]Humble yourselves, therefore, under God's mighty hand, that he may lift you up in due time. [SUP]7 [/SUP]Cast all your anxiety on him because he cares for you.
[SUP]8 [/SUP]Be alert and of sober mind. Your enemy the devil prowls around like a roaring lion looking for someone to devour. [SUP]9 [/SUP]Resist him, standing firm in the faith, because you know that the family of believers throughout the world is undergoing the same kind of sufferings.
[SUP]10 [/SUP]And the God of all grace, who called you to his eternal glory in Christ, after you have suffered a little while, will himself restore you and make you strong, firm and steadfast. [SUP]11 [/SUP]To him be the power for ever and ever. Amen.
 
Back
Top Bottom