Dena Amsi
R I P
- Aug 17, 2010
- 13,082
- 4,260
bado naandika card sjamaliza..
halafu kwa taarifa kila mtu ni V.I.P..
Vipi holiday ilikwaje??
Ilikuwa poa sana haya ngoja tusubirie hiyo mialiko (Ila wewe ni mtaalamu wa ku....................
bado naandika card sjamaliza..
halafu kwa taarifa kila mtu ni V.I.P..
Vipi holiday ilikwaje??
Hahaha!!! Kivumah...Nashukuru saaana Finest.
I accept the offer. Ipi hio, ile ya Kinondoni au Sinza? ile ya Sinza bwana, daahh
...Mgosi, Hongaa...haaahhhaa hhaa.hata wagosi tuna utani na wapare, hao wa mbege ni wachaga, mie ntaleta BOHA (pombe ya miwa) na MNAZI,
hata wagosi tuna utani na wapare, hao wa mbege ni wachaga, mie ntaleta BOHA (pombe ya miwa) na MNAZI,
...Mgosi, Hongaa...haaahhhaa hhaa.
ladies wapo .. Hizo idara hapo juu ni uangalizi tu ..
haupiki wala nini .. wafika pale chukua check list
hakikisha kila kitu kipo hapo .. halafu unaelekea ukumbini basi..
(V.I.P section..)
nimesha tayarisha chief, waiters na waitress ...
Ilikuwa poa sana haya ngoja tusubirie hiyo mialiko (Ila wewe ni mtaalamu wa ku....................[/QUOTE]
Ntaomba umalizie hapo pekunduu..
Nkisha tundika manguree ya kutosha
hata kama ni baya isiniingie sana hahah lol
Hopeful umeleta Mangure na Busa pamoja na Wanzuki ..
mmmhhh
unanitamanisha eti loohh..
ntamwomba DENA atuletee Mangure na Busa..
..tehee teh teeeh. Huwa napenda saaana kusikiliza Wasambaa wanavyoongea.ekadu baba! hahaha! utaja nyemi lelo, teh teh teh!
Umeona eeehhh alivyofanya vibaya hakuna hata mwanamke kha???
Subiria kwanza, manake The Finest na Kaizer ndo tuliwapta tenda ya kutafuta ukumbi, sasa huyu AshaDiianajua na anaweza kuvujisha siri kwa Kivumah wakati hii ni suprise
mmmhhh
unanitamanisha eti loohh..
ntamwomba DENA atuletee Mangure na Busa..
HAppy Bday Kivuma na hongera kwa kugonga hapo...kama alivosema Sangara akimnukuu Lincoln, kitakachotukumbusha uwepo wako ni maisha uliyoishi sio umri!
Love AshaDii hebu tujiandae twende...today I want you to have that look that kills me off...nitakuwa na ile pistol kama kawaida just in case
The Finest na Kaizer combination mbaya sana hiyo..
utawakuta counter ya juu mchana kweupe..
Hapo umeniangusha ntafutie watu
wengine chop chop please thanx...
Utanisamehe Wifi yangu mpendwa... iwe hivo hivo....lol
HAppy Bday Kivuma na hongera kwa kugonga hapo...kama alivosema Sangara akimnukuu Lincoln, kitakachotukumbusha uwepo wako ni maisha uliyoishi sio umri!
Love AshaDii hebu tujiandae twende...today I want you to have that look that kills me off...nitakuwa na ile pistol kama kawaida just in case
Weee Mkaree!! Sherehe hapo itaenda....lol...
hiiii! bilashaka hiyo part itakuwa ya ukweli, pombe zote za kienyeji? hakuna wa kutoka iringa hapa amletee kivumah ulanzi maana yeye kazoea dengelua tu! hahahahaha!