####### Happy Birthday Kivumah######

ladies wapo .. Hizo idara hapo juu ni uangalizi tu ..
haupiki wala nini .. wafika pale chukua check list
hakikisha kila kitu kipo hapo .. halafu unaelekea ukumbini basi..
(V.I.P section..)

nimesha tayarisha chief, waiters na waitress ...



Weee Mkaree!! Sherehe hapo itaenda....lol...
 
HAppy Bday Kivuma na hongera kwa kugonga hapo...kama alivosema Sangara akimnukuu Lincoln, kitakachotukumbusha uwepo wako ni maisha uliyoishi sio umri!

Love AshaDii hebu tujiandae twende...today I want you to have that look that kills me off...nitakuwa na ile pistol kama kawaida just in case
 
Ilikuwa poa sana haya ngoja tusubirie hiyo mialiko (Ila wewe ni mtaalamu wa ku....................[/QUOTE]

Ntaomba umalizie hapo pekunduu..
Nkisha tundika manguree ya kutosha
hata kama ni baya isiniingie sana hahah lol

Hopeful umeleta Mangure na Busa pamoja na Wanzuki ..:)
 
Subiria kwanza, manake The Finest na Kaizer ndo tuliwapta tenda ya kutafuta ukumbi, sasa huyu AshaDiianajua na anaweza kuvujisha siri kwa Kivumah wakati hii ni suprise

Ntamkeep Busy leo ijumaa ako na mimi tu ndani @Sizinga lol...najua mpenzi wangu anapendaga nini...
 
HAppy Bday Kivuma na hongera kwa kugonga hapo...kama alivosema Sangara akimnukuu Lincoln, kitakachotukumbusha uwepo wako ni maisha uliyoishi sio umri!

Love AshaDii hebu tujiandae twende...today I want you to have that look that kills me off...nitakuwa na ile pistol kama kawaida just in case

Love I am telling you nimejipanga!! (i hope tusiahirishe safari kama last time nilipotoka 'exy...) I was so MAD!! lol
 
The Finest na Kaizer combination mbaya sana hiyo..
utawakuta counter ya juu mchana kweupe..
Hapo umeniangusha ntafutie watu
wengine chop chop please thanx...:)

hahaha So AD, tupewe kamati ya vinywaji kabisa? Manake hapo tu tenda ya kutafuta ukumbi imekuwa nongwa:tongue:
 
HAppy Bday Kivuma na hongera kwa kugonga hapo...kama alivosema Sangara akimnukuu Lincoln, kitakachotukumbusha uwepo wako ni maisha uliyoishi sio umri!

Love AshaDii hebu tujiandae twende...today I want you to have that look that kills me off...nitakuwa na ile pistol kama kawaida just in case

Thanx Kiongozi. Sante sana.
@Red, ya kwako Nakushauri usiiiweke kiononi
 
hiiii! bilashaka hiyo part itakuwa ya ukweli, pombe zote za kienyeji? hakuna wa kutoka iringa hapa amletee kivumah ulanzi maana yeye kazoea dengelua tu! hahahahaha!

mmhhh
yaonekana we wajua zaidi yangu ikija kwenye za kienyeji ..
yabidi nkuachie hiyo kazi mkuu.. wa Mwanza, Singida , Tabora na
kote kwenye Pombe za kienyejizina karibishwa :)
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom