####### Happy Birthday Kivumah######

####### Happy Birthday Kivumah######

cake213.jpg


....Naomba JF Members wooote kila mmoja akate kipande chake cha Keki hapo juu, Tule tufurahi pamoja.
Thank U. Hio Namba hapo juu it means a lot to me Leo hii.



Kivumah.... I am happy for you kua you have been LUCKY
kufikia Umri ambao ni brand new kwako....
Nakuombea kwa Mwenyezi Mungu akubariki na kukuzidishia
miaka mingi maisha yalojawa na Upendo na Mafanikio pia....

😛oa...HAPPY BIRTHDAY...😛oa
 




Kivumah.... I am happy for you kua you have been LUCKY
kufikia Umri ambao ni brand new kwako....
Nakuombea kwa Mwenyezi Mungu akubariki na kukuzidishia
miaka mingi maisha yalojawa na Upendo na Mafanikio pia....

😛oa...HAPPY BIRTHDAY...😛oa
Thank U sooo Much AD,
 
mmhhh jamani.
Nlishe basi..
sasa Party ya Kivumah tunaifanyia wapi.??
shiiiiiiiiii usimwambie ni Surprise...🙂

Subiria kwanza, manake The Finest na Kaizer ndo tuliwapta tenda ya kutafuta ukumbi, sasa huyu AshaDii anajua na anaweza kuvujisha siri kwa Kivumah wakati hii ni suprise
 
Subiria kwanza, manake The Finest na Kaizer ndo tuliwapta tenda ya kutafuta ukumbi, sasa huyu AshaDiianajua na anaweza kuvujisha siri kwa Kivumah wakati hii ni suprise

Hapa sasa ndo umemwaga siri Sinziga!! (wee ndo utalipa excess ya hela katika budget kama adhabu! lol)
 
Hapa sasa ndo umemwaga siri Sinziga!! (wee ndo utalipa excess ya hela katika budget kama adhabu! lol)

Aaagfh...lol sikujua kumbe ndo nimemwaga mchele mbele ya njiwa, anyway kuna contena 7 za vinywaji light na strong zinaenda pale "merrybrown" nahisi pako pouwa kwa tafrija
 
Na tafadhali....sera hii kwenye signatory izingatiwe...we Kivumah, waambie waalikwa kwamba:
350nn82.gif
 
Subiria kwanza, manake The Finest na Kaizer ndo tuliwapta tenda ya kutafuta ukumbi, sasa huyu AshaDiianajua na anaweza kuvujisha siri kwa Kivumah wakati hii ni suprise

The Finest na Kaizer combination mbaya sana hiyo..
utawakuta counter ya juu mchana kweupe..
Hapo umeniangusha ntafutie watu
wengine chop chop please thanx...🙂
 
The Finest na Kaizer combination mbaya sana hiyo..
utawakuta counter ya juu mchana kweupe..
Hapo umeniangusha ntafutie watu
wengine chop chop please thanx...🙂

Basi tuunde tume kama vipi...manake hayo makontena yakija yataisha kabla ya jioni....
 
The Finest na Kaizer combination mbaya sana hiyo..
utawakuta counter ya juu mchana kweupe.
.
Hapo umeniangusha ntafutie watu
wengine chop chop please thanx...🙂

Hapa Sweetie itabidi anisamehe maana nimeona hilo ila as a wife bana nilishindwa.....

The Following 3 Users Say Thank You to afrodenzi For This Useful Post:

AshaDii (Today), Kivumah (Today), Sizinga (Today)
 
Basi tuunde tume kama vipi...manake hayo makontena yakija yataisha kabla ya jioni....

itabidi tutafute mtu ambae hatumii narudia tena hatumii pombe
tumuweke kwenye idara ya vinywaji.... ..

idara ya mapambo King'ast
Idara ya Vyakula AshaDii
idara ya maombi Wiselady
mabaunsa Kakakiiza, na "REJAO"
DJ wako wawili DJ babu na nanilii


V.I.P
Asprin, Klorokwin , MJ1, Kaizer, The finest naendelea kuandika hizi invitation cards..

naomba ukutane na uporoto , hakikisha kila kitu kuhusu wageni kiko sawa..
Nakutegemea sana usiniiangushe ... mwahh🙂
 
Hapa Sweetie itabidi anisamehe maana nimeona hilo ila as a wife bana nilishindwa.....

The Following 3 Users Say Thank You to afrodenzi For This Useful Post:
AshaDii (Today), Kivumah (Today), Sizinga (Today)

hahahahahah lol Pole my dear ..
usjali lakini tumeweke tu kwenye list ya "V.I.P"
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom