Happy birthday Edward Lowassa

Happy birthday Edward Lowassa

JERUSALEM 2006

JF-Expert Member
Joined
Apr 23, 2012
Posts
527
Reaction score
596
Tarehe 26 August 1953, Mheshimiwa rais mtarajiwa alijaliwa kuliona jua. Naomba wapenzi, mashabiki na wote wanaoitakia nchi yetu neema, baraka na fanaka, tujumuike kwa pamoja kumtakia Ndugu Mh. Lowasa heri ya kuzaliwa.

NB. Ifikapo saa sita kamili usiku, naomba makamanda wote tumimine salam zetu za kuzaliwa kupitia uzi huu.

Happy birthday Mh. Lowasa.
 
Happy birthday Mh Mungu akupe nguvu na hekima zaidi unapoenda kuwa muamuzi mkuu wa Taifa hili.
 
H.b.d comred Edward Ngoyai Lowassa.
Taifa litambua uwepo wako.
 
Live longer and prosper Mr President

attachment.php
 
Wale wote wanaomombea Lowassa atangulie huko wanakowahi kumtanguliza wa wahi huko kutangulia wao.
 
Happy b/day ndugu Lowassa.
Mungu akujalie maisha marefu na yenye afya tele.
 
Mh. Edward nakuombea kwa Mungu wa Mbinguni uzime mishumaa elfu moja
 
tarehe 26 august 1953, mheshimiwa rais mtarajiwa alijaliwa kuliona jua. Naomba wapenzi, mashabiki na wote wanaoitakia nchi yetu neema, baraka na fanaka, tujumuike kwa pamoja kumtakia ndugu mh. Lowasa heri ya kuzaliwa.

Nb. Ifikapo saa sita kamili usiku, naomba makamanda wote tumimine salam zetu za kuzaliwa kupitia uzi huu.

Mods tafadhali, tunaomba kwa kumuheshimu mh. Uzi huu usitolewe.

Happy birthday mh. Lowasa.

duh ni wa 1953 kumbe, ina maana hata jk ni mkubwa kwa lowassa, mbona kazeeka hivyo, whats wrong with him??? I can't imagine, let us be seriuos? Why yuko vile
 
Happy birthday edward lowassa rais wangu,Mungu awatangulize wanaotangaza kifo chako
 
Happy birthday mh. Lowassa Mungu akujalie maisha marefu ili uweze kutuongoza vyema watanzania
 
Happy birthday rais wangu wa moyoni Edward Ngoyai Lowassa.
Mungu akupe maisha marefu, afya njema na moyo wako huohuo wa kutukomboa Watanzania kutoka kwenye umasikini unaotutafuna hivi sasa.
Pia nakuombea ushindi wa kishindo hapo October huku mimi pia nikiwa ni mmoja kati ya watakaosababisha ushindi wako kwani kura yangu ni kwako.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom