Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 50,467
- 203,085
Tutaweka alarm😂😂
tutakesha wote usiku wa kuamkia tar. 26 January mpaka tukio litokee kama vile Mwaka Mpya..!!
Ikigonga tu, nawaCall woteee
Tukutane mwakani
Jan to April..
Tutaweka alarm😂😂
tutakesha wote usiku wa kuamkia tar. 26 January mpaka tukio litokee kama vile Mwaka Mpya..!!
Vidimpo kumbe umezaliwa Jan 26,😂Tutaweka alarm
Ikigonga tu, nawaCall woteee
Tukutane mwakani
Jan to April..
Dogo,Vidimpo kumbe umezaliwa Jan 26,😂
Noted
Nikajua unataka kutupia nyavu ndo opener hiyo baharia mwenzanguDogo,
Ndiyo maana umenicheka? Si ungesema tu nimechanganya mafile?
Huyo shemeji yangu.Nikajua unataka kutupia nyavu ndo opener hiyo baharia mwenzangu
😂😂😂 vimeanza kupoteaVidimpo kumbe umezaliwa Jan 26,😂
Noted
Ndo unaelekea kwenye ushangazi😂😂😂😂 vimeanza kupotea
Shavu limekuwa dodo
AsubutuuuNdo unaelekea kwenye ushangazi😂
HAPPY BIRTHDAY maisha marefu na afya njema bestitoNinaye rafiki hapa jamvini ambaye sijawahi kuonana naye wala kusikia sauti yake lakini tunawasiliana kupitia PM.
Ninamtakia heri ya kumbukizi ya siku yake ya kuzaliwa. Naamini kwa wema wa Mungu ipo siku ataachia namba niweze kumuendea hewani.
Happy Birthday Depal , ishi maisha marefu yenye afya na furaha tele.
Hivi ameenda wapi jamani.
Tungechambwa wima mbona🤣🤣Nimeshtuka,
I thought it's your day halafu hatujakupost, uje kutuchamba kama yule nani..!!😂😂
MwakaniiBirthday yako lini??
Mwezi gani na unataka niniMwakanii
Sitaki kuwaza ubayaHivi ameenda wapi jamani.
Naomba niingie chimbo nimtafute, haiwezekani aisee
Nina majuto sana kuwa niliwahi kupost hii kitu humu anyway gari langu nalichukua 🤣🤣🤣🤣🤣🤣.