Happy birthday - dena amsi

1008-012-34-1069.gif
 
Mhhhh Tall,

Nitajuaje wakati hata kabila yangu nilishaisahau??
WEWE NDIO ULIANZA KUSEMA AMEMLAANI DENA NDIO MAANA NIKAKUULIZA MPO KABILA MOJA??? MAANA ULIJUA ILE NI LAANA BASI HUENDA NI WAMOJA,SIE WENGINE TULIONA NYOTANYOTA TU.Aaaaaaaaaaaah kuhusu kabilla lako usijali nitakukumbusha Baba ni mzaramo na mamaaaaaa..........mhhhhh kuhusu mama sikumbuki vizuri ngoja nimpigie simu babu yako JIBU ATAKUWA NALO.
 
Many warm birthday greetings to you Dena Amsi........Have an enjoyable day and may His Almighty grant you everlasting blessings today and always. :A S 465::A S 465::A S 465:
 
anachanganya na chubuku 5 za mbege bila kusahau ugoro pakiti 1
Mweleze kabisa chibuku HAITAKUWEPO. Akitaka akanzie hukooooo madongo poromoka akija pale anileteee risiti nitamrefund mimi mwenyewe kama mwenyekiti. lakini chibuku hataikuta. Halafu kuhusu ugoro daaaaah hapa ngoja ninyamaze. Lakini ongea nae taratibu si unajua ni mtu mnzima HESHIMA MBELE.
 
Ningekuwa dena nsingekubali salamu yako mpaka ubadilishe avatar
KIPI HUKIPENDI KWENYE AVATAR YAKE??? Halafu huyu jamaaa nikimualika sijui watu wataconcetrate kumuangalia tuuuu badala ya kusheherekea birthday ya DA??
 
Back
Top Bottom